Meremeta & TANGOLD Revealed!

Meremeta & TANGOLD Revealed!

Zitto...Nakupa hint.
Nilishangazwa sana nilipoona UMMA wa masikini ulivyompokea MFALME KICHAKA!
Sasa kukawa na rumours za maandamano!
Serikali ikafanya propaganda...Ikadai maandamano hayo ni ya WAISLAM!
Sasa this you should know for sure...Kwamba ni kweli KABISA WAISLAM HAWAMPENDI BUSH!
AT THE SAME TIME...WAKRISTO NAO HAWAMPENDI KWANI WANADAI NI MPINGA KRISTO!
Kaazi kweli kweli!
HATA HIVYO..WEWE NA KIKWETE MKAMPA SUPPORT!
NDUGU YANGU SIYASAPOTI MAMBO YANAYOENDELEA ZIMBABWE!
LAKINI...USHAURI WA KICHAKA NA MBWEA HAUWEZI KUWA MZURI KWA AFRIKA!
NA UKITAKA KUJUA HUU NI WAKATI WA MUNGU...WAISLAM NA WAKRISTO WATAUNGANA AGAINST SERA ZA KICHAKA,MBWEA,NA KIKWETE.
TOKA HUKO NA MULIJENGE TAIFA JIPYA!
BUSH KWISHA!
BLAIR ALIMALIZWA NAYE...NA WENGINE WANAFUATIA!
 
nilijua mambo ya pinda ni kupinda pinda tu!!!! viongozi wetu mpaka leo hata kesho watakuwa ni wale wale wawili tu "mwalimu nyerere na sokoine" wengine ni vipusa hawana la kututetea,wao kulindana kila siku.... mungu waunguze na moto,watanzania wamechoka kuwaona....
 
Ndo maana nimesema Jumatatu jamani....... Nani kawaambia nina urafiki na Pinda? Pia mkumbuke sisi kwa sasa ni political class! In a context pls

Sasa wakija kuzima hizo TV zao si hatutakusikia mkuu. Maana tungependa kuziona cheche zako
 
Duh! Mwaka huu mbona tutasikia mengi sana yaani pole pole yanakuja, mkuu Icadon lete dataz mwanangu!

Angalia PM yako....
Huyu Mkulu, Apson na Mahita naona waliamua kutufisadi kikweli kweli...Sijui polisi nako kulikuwa na kaghost company kama Kagoda na Meremeta.
 
TANZANIA, Nchi yangu naipenda sana lakini sasa hivi inakatisha tamaa kabisa!...
Eeeh Mungu weeee ibariki nchi hii ipate viongozi waliobarikiwa!...Haya madudu ya Pinda ni kama tumepigwa laana jamani!!!! ....UUUUWIIIIIIII! mkerewe acha nilie kikwetu leo.

Kama Meremeta ingekuwa ni jambo la siri ktk usalama wa nchi tusingesikia hata jina hilo wala isinge sajiliwa kama wamiliki wa Machimbo ya madini!..Labda kwa kutumia busara za uzee wangu je inawezekana kuwa Meremeta inahusiana zaidi na URANIUM?...Kama ndiyo inakuwaje iwe siri hata kwa baadhi viongozi na wananchi wake.. Kisha kama sikosei kuna wakati Jeshi liliuza hisa zake na kujiondoa!... sasa ni ktk usalama gani wa Taifa jeshi linaweza kujikata ktk mradi unaohusiana na national security?..Inabidi niitafute tena ile report ya Meremeta... REV. Kishoka nipige jeki mkuu nakumbuka ipo sehemu lakini swala la muda kidogo nipo nyuma.

Swala jingine Je, hii ndio aliyokuwa akizungumzia Mama Meghji kuwa Balali alimwingiza mjini?... Kama jibu lake ni ndio, ilikuwaje baadaye huyu Mama Mewghji waziri wa Fedha aligundua kuwa ilikuwa kafungiwa Kanyaboya!... Hivi kweli Balali alijua zaidi kuhusu National security kama mwajiriwa wa serikali kuliko viongozi wa ngazi za juu ndani ya serikali hiyo hiyo?...
 
Hahahha! That's Fun! Unajua Wakati Tuko Nyumbani Familia Yetu Tulikuwa Na Hilo Neno ``siri Ya Kijeshi`` Maana Yake Ni Siri Ambayo Usimwambie Mtu Yeyote. Yaani Ilikuwa Ni Siri Tunayosema Haitolewi Mpaka Adui Amekufa, Yaani Mpaka Ikiwa Hatari Yake Imeisha Kabisaa. Hii Kitu Naona Chama Cha Mafisadi Wamechukua Kutoka Kwa Charlie Black, Au Kwenye Kitabu Cha Republican `politics Of Fear` Kuwaogopesha Wananchi. Na Kikwete Akiacha Hii Ipite!? Mhh. Bado Tupo.
 
sasa mkuu umetoa taarifa rasmi kwamba jumatatu
watu watashikwa pabaya, i hope pamoja na kuzima simu
na itinerary yako umeizima (siri) pia.

nenda ufike na mola akulinde.
 
TUMEKWISHA? Labda, Pinda anatupa hints hapa......mnakumbuka kuwa Mwema alidai kuwa hawa watu (fisadis)wana nguvu hata ya kuweza kuingusha serikali?......sasa hii ndio maanake, hata yule ambaye majuzi alitupa ka-hope sasa naye kamezwa.

Sasa swali ni TUFANYE NINI?


Kuhusiana na kampuni ya MEREMETA, ambayo inahusisha pia kampuni ya Tangold, Waziri Mkuu alisema suala hilo linahusisha ulinzi na usalama na kwamba si jambo la uraiani, hivyo hawezi kulizungumzia.

"Siwezi kulizungumzia, mkiona mnisulubishe kwa hilo sawa," alisema Waziri Mkuu, ambaye katika majibu yake alionekana kujiamini, huku akizungumza kwa lugha ya upole na yenye kueleweka.~Source Majira

Maandishi mekundu maana yake ni....mlitakalo na liwe mimi sijali.....yaani waungwana, mnaona hawa viongozi walivyo na kibri?....ghafla tu huyu kabadilika kutoka kwenye viji kaunda suit na sasa kwenye masuti ya gharama, hata lugha inabadilika....ina nikumbusha enzi zile za mjee Jongo kwenye mchezo wa radio......
 
duh huyu pinda kweli kapinda.huyu jamaa amepewa kazi serikalini sijuhi kwa sifa ipi,maana uongozi hauwezi kabisa,kila jibu analotoa linakuwa halina maelezo sahihi

ushauri kwa pinda;rejea na majibu yako yote bungeni na yale ukiwa na waandish wa habari then jiuzuru kazi,hivi wew pinda hayo majaibu unayoyatoa uwa umeambiwa na kikwete nn?pindi baada ya hayo majibu huwa unafikiria ulizungumza nn?mbona ujirekebishi wewe?
 
Mzee Mkandara... mbona Uranium kuchimbwa kwake siyo siri Tanzania? Mimi najua siri ya Meremeta na ni usalama wa "nani" unaolindwa. Lakini kama alivyosema Zitto... tusubiri wiki ijayo "Jumatatu"... mwiko utavunjwa!!! I can't wait...!!! Go Zitto Go!
 
Mzee Mkandara... mbona Uranium kuchimbwa kwake siyo siri Tanzania? Mimi najua siri ya Meremeta na ni usalama wa "nani" unaolindwa. Lakini kama alivyosema Zitto... tusubiri wiki ijayo "Jumatatu"... mwiko utavunjwa!!! I can't wait...!!! Go Zitto Go!

Plan A Killango haikuwa mbaya sema bado alibanwa!
Plan P PINDA HAKI...Nayo imekwama!
Kutokana na FORMULA HII...
Walivuka PLAN A HADI PLAN P.
MAKOSA!
SASA NI PLAN ZITTO!
THE LAST LETTER IN ALPHABET AND THE MEANING OF THE WORD ZITTO=HEAVY!
Heavy hummer is the end Z END!
Formula Z ambayo ni ya mwisho alphabetically should WORK!
Z ZITTO ZE END!
GO GET THEM!
 
Na kwanini nasema hivyo?
Ni kwasababu sasa TAIFA ZIMA na Some of the honest and free citizens OF THE WORLD KNOWS among other stuff...THIS...

The Meremeta Gold Company
The Governor is the custodian of this ill conceived mining project. He guaranteed this project from the Government for USD 100 million in 1999.

Anna Muganda Ballali was a major shareholder and partner who brought in Time Mining to manage and operate the Meremeta Mines on behalf of the Government of Tanzania. She went on to become the wife of Balali in 2004.

The Meremeta Mines was a classic example of Daudi Balali giving Guarantees to companies in which he had an interest, the company thereafter filed bankruptcy and the Bank of Tanzania paid the funds against the Guarantee. Noting the strategic importance of having its own Gold Mine, Bank of Tanzania invested heavily into this mine while the South African partners raised the money andsoldtheir shares after utilizing the funds in the first year of operation.

The Governor, after supporting the loss making operation for 7 years, sold the mining rights to Rand Gold, making the Government mine
unsustainable.

The loss to Government of Tanzania is USD 132 million paid to the lenders against the Guarantee from BOT with interest and penalties.
The Governor made payments in October 2005 before the end of Third Phase Government.

He sold the mining rights to RAND Gold for below market prices causing a further loss of USD 100 million. Total loss to Government of USD 232 million
 
Na kwasababu sasa tunajua kuwa MEREMETA INA UHUSIANO NA BALLALI ALIYEPOTELEA MBALI...THEN TUNATAKA SERIKALI YETU IKUBALI FBI WATOE TAARIFA ZA UCHUNGUZI WAO KUHUSU KIFO CHAKE KILICHOKUWA MPANGO WA MUNGU!
 
Sijamjibia kubwajinga ambae nimemwita kaka K. Nimemwambia asome upya post yako kwani kuna hoja kuhusiana na 'matusi' ya mmoja wetu hapa na kinachofuatia kutoka kwa wana JF.

Naona mkulu ulijaribu kukata makali ya jina, lakini baadaye ukaamua kujimwaga mzimamzima maana akika Kaka K wako wengi..

Hapa imebidi inichukue 5 min kuvunjika mbavu. Ooh God!! I love JF
 
Hizi PESA ZA WAVUJA JASHO MKAPA ALIZOZIFUJA...ZINGEWEZA KUOKOA MAISHA MANGAPI KWA MAGONJWA NA NJAA?

JE NI KWELI UCHUMI WETU ULIKUWA UNA GROW KAMA IMF..SHIRIKA LA KIFEDHA LA DUNIA LILILOTULETEA BALLAI LILIPOKUWA LIKIMTETEA MKAPA BAADA YA KUWAUZIA NCHI?

JE..KIFO CHA BALLALI NI MAPENZI YA MUNGU KAMA KIKWETE ALIVYOTAKA TUAMINI?

JE...NI KWELI MEREMETA NI KWA UASALAMA WA TAIFA AMA SIRI YA JESHI KAMA ALIVYOSEMA PINDA HAKI MIZENGWE?

ZITTO...I CANT WAIT TILL MONDAY!

NITADROP OFF SHULE KAMA SIJAGRADUATE KUJA KUKAMPENIA WAZALENDO!
 
Hilo la meremeta kuwa ni tete na linahusu usalama wa taifa la wadanganyika si sahihi. Ili kuwa na mwendelezo mzuri tu wa uwajibikaji basi kila kitengo inabidi kusimama na kueleza kile ilichofanya...kwani ni kitu gani hicho cha usalama ambacho ni siri kikatengenezewa mgodi? Waache kusafisha pesa za wizi kupitia hali ya usalama. Sisi kama wananchi na walipa kodi wazuri inabidi tupatiwe majibu mazuri tu jinsi pesa yetu inavyotumika. Kwa mtazamo wangu Pinda atakuwa ametukosea na kutotundea haki taifa letu. Kwa mtaji huu ipo siku watu wataingia mtaani maana haya majibu yanaudhi. Angalia nchi kama SA, viongozi waliwajibishwa kwenye mambo ya kijeshi...na sisi ni nani basi na tuogope hayo mambo ya kijeshi? tunatengeneza nuklia bomb (elbaradei hupo?) au tunafinance vita katika nchi za great lakes? sasa ina maana gani?
 
Huyu PM ni dick-head, hana lolote, kila mtu anajua huyu ni kichwa kibovu, naona huruma sana kwa watanganyika. Kikwete wanted a yes man, resembling former PM like Sumaye; to balance issues between conservative Tanzanians, moderates and Mafisadi. Now he is singing the real Music, and Wadanganyika have to wait again to the next 7 years to get a new president; but in a short time to the end of these seven years he will be singng the same music! This is Tanzania, this is Africa!
 
Back
Top Bottom