Meremeta & TANGOLD Revealed!

Meremeta & TANGOLD Revealed!

Is the army beyond scrutiny? Which body governs it?

Un belieavable indeed!
Ina maana hata kesho wakienda wakavamia mabenki na kukwapua mihera wasiguswe kwa vile ni watu wa usaama wa Taifa? my beloved PM Pinda, usitufanye tukubaliane na usemi kwamba jina humfanana mwenye nalo na hivo kutuaminisha kwamba kweli UMEPINDA!
 
Is the army beyond scrutiny? Which body governs it?

Magari ya jeshi, helikopta za jeshi, rada ya kijeshi, ..... sukari ya jeshi, wezi jeshini, wanajeshi kupiga watu????!!!!!! eheee haya nayo tusiseme!!!!!!!!!!!!!!
 
Na huu ndiyo ukweli kuhusu Meremeta
Meremeta Gold, the firm that was paid a whopping Sh155 billion by the Bank of Tanzania in unclear circumstances in mid last year, was an offshore company, registered in United Kingdom in 1997, The Citizen can reveal today.

That means that chances of recovering the taxpayers' money and the necessary taxes up to the date it closed shop are negligible.
A senior Cabinet minister told The Citizen in Dar es Salaam yesterday that "since it was registered as an offshore company" it would be difficult to recover the billions it had been paid.

Speaking on condition of anonymity, the minister said: "First of all, I am surprised that an offshore company was allowed to operate in this country but the clear point is that any offshore company is untraceable."
Legal experts concurred, saying that it would be difficult for the Government to recover the Sh155billion, due to the tough protection accorded to such business entities.


An offshore company does not conduct substantial business in its country of incorporation. Such firms are sometimes known as non-resident companies.
But the Companies Act 212, states clearly that offshore company can only be registered and given a certificate of compliance after fulfilling certain conditions, including renunciation of its original registration.
The Act prohibits offshore companies from operating in Tanzania unless they change and indicate that they will not be protected by offshore registration procedures.


Strangely, the Government registered Meremeta Gold. Asked why the State entered into partnership with an offshore company, the Minister for Energy and Minerals, Mr William Ngeleja, said: "The Government wasn't aware until mid last year after the company went bankrupt."


And fresh details show that the company wasn't owned by Tanzania People's Defence Forces (TPDF) and the South African Army, as was alleged in 1997, when its existence became public.


The firm started as an army project managed jointly by TPDF and the South African Army, to mine and export gold, before becoming a ghost company that looted about Sh155 billion from the public coffers.


Contacted yesterday, the Minister for Defence, Dr Hussein Mwinyi, said: "I am not familiar with the issue because I wasn't in office during that period."
He asked The Citizen to send him written questions by this morning.
The amount stashed away by the defunct company can build 500 kilometres of tarmac road or 7,500 classrooms at the cost of Sh20 million for each class.
Meremeta, the Kiswahili word for glitter, will not be glittering when the defunct gold company scandal is raised in Parliament.


After the controversial Richmond tender and External Payments Arrears (EPA) scandals, opposition and ruling party MPs believe that Meremeta poses a serious threat to the integrity of previous regime and the current administration.
Musoma Rural MP Nimrod Mkono of CCM plans to table a private's member's motion to establish who the real owner of Meremeta Gold is and why was the firm paid billions of shillings after going bankrupt.


The details, which are part of an investigation report sent to the donor community recently by the opposition parties led by Chadema's Dr Willibrod Slaa, says that the defunct gold company was registered as an offshore company on August 19, 1997, and given a registration No. 3424504.


The reasons for the formation of offshore firms are privacy, asset protection, tax savings, lawsuit protection, flexible business laws and confidentiality
The opposition parties' report, which was made available to The Citizen, says that the company was then registered in Tanzania on October 3, 1997 as a branch of a foreign company and given a Certificate of Compliance No.32755.
On Sunday, our sister paper, Mwananchi Jumapili, quoted Mr Mkono as saying that the Government had been hesitating to reveal the real owners of the company that has cost taxpayers billions of shillings.


On Monday, speaking with The Citizen from the US: Mr Mkono said: "I have evidence that this ghost company pocketed a total of Sh181 billion and yet nobody wants to speak about it."


This amount is more than what CAG revealed in the 2005/6 auditing report.
"If we are investigating EPA and Richmond why not Meremeta," asked the Musoma Rural MP.


But the available details show that 50 per cent of the company's shares were owned by the Registrar of Treasury, and 50 per cent by South Africa's Trienex (PTY) Co Ltd.


Yesterday, Mr Ngeleja said: "The Government issued a statement on shareholders of Meremeta in June last year and clearly explained the profile of the company and why it had to be liquidated I'm working on the issue and I will get back to you later in the day,"


According to CAG report, BoT paid Meremeta debts amounting to Sh155 billion for unknown reasons.
The CAG revealed that a total of $118,396,460.36 was transferred to an unknown account of Nedbank Ltd of South Africa through HSB of New York, in 2005/6. The balance of $13,736,628.73 was paid to Tangold account with NBC Corporate Branch Dar-Es-Salaam.


According to available details, Tangold Ltd is a foreign registered company that was registered again as an offshore company in Mauritus (No C 205006121) dated 8 April 2005 and subsequently registered in Tanzania as a branch of foreign company with Certificate of Compliance No 55661 dated 20th February 2006.
During last year's budget session, former Energy and Minerals minister Nazir Karamagi defended the defunct company, saying it was a Government project, which was later replaced by Tangold Ltd.


While winding up his budget speech, Mr Karamagi told Parliament that Meremeta was jointly owned by the Government and South African firm called TRENEX PTY LTD.


The company was formed in order to buy gold from small scale miners in Lake zone regions, with a business plan of buying 300kg of gold a month. However, Mr Karamagi said it managed to buy only 40kgs.
 
CAG anasema ofisi yake haijawahi kuona hesabu za Meremeta, Benki kuu wanasema Meremeta haipo kwenye orodha ya makampuni ya serikali, Pinda anasema Meremeta inahusu usalama wa nchi hivyo hawezi kuigusa. Huyu ndiye mtu tuliyeambiwa ni makini ! Very discouraging.

Wana JF naomba mnieleweshe: Hivi MATUMIZI ya pesa za serikali katika wizara ya ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA huwa hayafanyiwi AUDIT na ofisi ya CAG??!!!!

PM amenichanganya.
 
Hivi kweli tunaliwa hivi hivi!!!!!!!!!!!!!Nimeshangaa majibu ya Mh Pinda. na hizo data ambazo wakina Slaa wanazo???
Natamani na hilo jeshi liguswe na matatizo ya nchi lituondolee ujinga huu.
Du hii kali next watasema jeshi lilichukua hela ya EPA
 
Pinda hata leo amerudia tena kuwa amekuwa mwanafunzi mzuri sana wa Lowasa alipokuwa chini ya Lowasa. Bila shaka naye baada ya kikao hiki cha bajeti atatuma mawaziri wake wazunguke mikoani kuwaeleza wananchi ukweli kuhusu EPA, Meremeta...
 
Jeshi ni nini ?

Jeshi jina ya Kiswahili (Kifaransa armée) pia na Kiswahili ni Shurutisho ya Jeshi. Latumika hasa kwa Jeshi la ardhi, Jeshi la majini (au Jeshi la wanamaji) ama pia Jeshi la Anga. Lakini jina la "Jeshi" pekee sana latumika kufafanua Jeshi la ardhi.Pia hasa kuna Jeshi la Taifa, hasa uudaji wa tabaka ya kijeshi ambayo inahusu Kundi ya jeshi kadhaa.Kuna Jeshi aina nyingi, Jeshi ambao ni makereketwa kwa watu wengine, au Jeshi kama za dini hasa k.m. Jeshi la wokofu.

Jeshi la taifa

Jeshi la Taifa ni jeshi ambalo lachukua ubinzani kwa vita kwa ardhi, kwa mfano Jeshi ya Uganda ama Jeshi ya Wafaransa Armée de Terre).Shurutisho nyingi za jeshi hutofautishana kati ya Jeshi la Ardhi, Jeshi la Anga na Jeshi la Majini, hasa kugawa jeshi kwa matawi tatu. Kwa historia, Jeshi la anga lilikuwa pamoja na Jeshi la ardhi, hasa kwa historia ya Uchina ama Jeshi ya ukombozi ya umma wa Uchina ilichanganya (jeshi la ardhi, jeshi la majini, jeshi la anga, divisheni za makombora na usayari) kwa tawi moja.Majeshi ya kisasa yaitwa pia huduma, ama askari watawala). Hii inaweza kuhusu pia matawi ya Vita: Jeshi kwa miguu, vifaru, makombora, na mhandisi wa jeshi, na pia Wasafirishaji wa matawi kama: mawasiliano, watambuzi, daktari, wapeleka vifaa, na Jeshi la ndege (tofauti na jeshi la anga).

ninavyo fahamu mie ilitubidi tuanzishe kampuni ya meremeta kwasababu mojawapo nikuweza kupata fedha kuimarisha jeshi letu,wakati huo taasisi nyingi za fedha dunia zilikuwa na sera ya kutokusaidia majeshi,isitoshe walitaka majeshi mengi ya pungue.wakati huo huo mataifa ya ya magaribi (mitaa yenu) hususan marekani hilikuwa inaisaidia Rwanda na Uganda kuongeza uwezo wao kijeshi na Uingereza ilikuwa inaisadia Kenya (kuna eneo huwa lina tumiwa sana na Grenedier guards wa uingereza kwa mafunzo ya vita za porini ndio maana Kenya jeshi lao limepunguza kutumia bunduki ya AK 47 wameanza kutumia bunduki aina ya SA80 A1 waingereza wamewapa wao wanatumia SA80 A2 kwa sasa). silaha nyingi za kivita zilikuwa zinapitia hapa nyumbani(bandari zetu).

sie tumekatazwa kuongeza na kumaimarisha jeshi wenzetu wanasaidiwa na hao walio tukataza sie kuongeza na kuimarisha,mlitegemea tukae tunasubiri siku moja wao watuvamie,halafu iweje?.Mnabahati huyu Pinda mstaharabu sana,mie ningewalia bati tu,CIA MI6 nk wana makampuni mangapi hewa? wale majasusi wa uchumi walikuwa na pitishwa kwenye ma congress?

tuwe makini
 
SIJA edit: PInda anasema:

MEREMETA, Tangold, Ngeleja naona tutamuonea. Kwa mazingira ya jambo lenyewe suala la Meremeta limejikita ndani ya JWTZ, haukuwa mradi tumeukuta uraiani in unique situation... mimi kuanza kusema kila kitu siwezi.... Ni suala linalohusiana kwa karibu sana na mambo ya ulinzi na usalama wetu, ni lazima tulilinde,,, Kama mtaona inatosha sawa, kama mnataka kunisulubu nitakuwapo pale kwa ajili hiyo

EPA naona ina mvuto mkubwa sana. Kuna fedha ambazo watanzania wanataka kujua zimetokaje BOT, mradi zilikua BoT katika chombo cha serikali, haiwezekani ukamwachia mtu tu akachukua hizo fedha,. Hoja hapa zimekwenda kwa nani, utaratibu umefuatwa? Rais kasema tumwachie, wote tuna interest, sasa kwa mtazamao wangu shauku ni kubwa, watu wangependa leo, nafirikri tufanye subira, muda wenyewe umekwisha labda sana sana watasema muda uongezwe, lakini hapo baadaye tutaulizana maswali oooh zilikuwa za mhindi, ooh zilikua za nani!!! Naomba nitoe rai kwa muda uliobaki tusubiri. Nitakwambia sijui, hata mimi Mwanyika nikimuuliza anasema... Liko la Ballali marehemu na Slaa, serikali itoe taarifa, halafu kuna mahali alisema Slaa, kutotoa taarifa kaa tunachezea, angetamani iundwe kamati ya kuchunguza kifo cha Ballali! Sasa sijui lakini naelewa iko connected kwamba alijua siri, hili wazo kuhusu usiri kama kwamba BAllali ... huyu mtu amefariki na ndugu zake wanasema amefariki, sasa kuendelea kumzungumza huyu marehemu. Kifo chake hofu iko wapi? Labda muombe postmortem, nani asiyejua kwamba hakuwapo. Tungoje taarifa ya mapesa yetu, kama watamtaja basi tungoje, Mkisema niseme, labda ndugu zake, lakini si serikali, hamtutendei haki. Na kwa merehemu akifa, kwa kweli ngumu sana.... Nadhani kwa sasa serikali haioni sababu ya Kamati, EPA kama anahyusika atatajwa tu... Hawa wanasukuma ajenda wana sababu tu. Kama kuna ushahidi zaidi ya tulio nao mtu anaweza kuuleta tukautazama.

KIWIRA nalo mimi najua Dk. Slaa akisema mpaka unaogopa... Wakaniletea maelezo marefu sana. Wakaleta itakusaidia? Mimi siwezi kuingia katika jambo technical, nilidhani ili kuwapa fair pix hii Kiwira, mturuhusu, Ngeleja aje na kauli ya serikali ili apate muda wa kulizungumza kwa upana wake, ili kujua ... Kiwira wakati ikiuzwa ilikua dead proj ilikua katika hali mbaya sana.. Ili tuweze kuwa na benefit ilikuwa smooth exercise ilikuwa interest kupata mwekezaji, ningeomba nipate more details.

Hivi vyote ni vitisho tusihoji mali zetu... tofauti na zimbabwe hapa iko wapi
 
Is the army beyond scrutiny? Which body governs it?

exactly,
hata kama iko chini ya rais, inamaana yeye pinda yuko tayari kusulubiwa kuliko kufanyia kazi shughuli ya wizi ilioko mbele yetu?
stupi*!!!
 
Taratibu tunakwenda tu, mwisho tutakuta hakuna tofauti. Sasa wizi unafichwa jeshini.

na maana yake mkienda huko mnakutana na mitutu, nwakati nyie mnamawe mikononi

nakwambia huu mwaka sidhani kama utaisha salama kwa majibu ya kijinga kama haya....

majibu rahisi kwa maswali magumu
 
walitabiri wanaume
Mwaka wa Shetani.

hivi kweli patachimbika tena hapa kweli, mama Anna?
 
Hapa kuna two pictures, moja ni big picture na nyingine ni small picture,

1. Small picture Meremeta ni mali ya jeshi la wananchi, lakini wananchi haturuhusiwi na sheria kuiulizia ingawa ni jeshi letu wananchi kama jina linavyojisema.

2. Ni nani waliohusika na kuianzisha, this is the big picture ambayo wote hapa tunai-overstep, kwa sababu ni kwenye hiki kipengere ndio utapata the whole truth na nothing but the truth ya mafisadi walioko behind hii deal na deal yenyewe kwa ujumla,

Kwa sababu mmoja wa wahusika wa hii deal nimewahi kumuona huko Majuu akikutana na wazungu flani kwa siri katika Hoteli moja karibu na Airport kuhusiana na hii deal,

3. Haya maneno ya Pinda ni moja ya matokeo ya kwenda kwa mkapa kwenye NEC majuzi, sio siri hilo tunajua tena wazi, sasa pinda aliyosema amesema, lakini haina maana kuwa ndio mwisho wetu wananchi kufuatilia kwa undani na makini, wao wenyewe serikali ndio wanatupa sababu ya kuwafuatilia kwa karibu halafu tukitoa dataz wanakaripiana huko ma-corridor ya Ikulu, dawa ni ile ile kuendelea kuwapigia kengele,

Halafu kuna wengine hapa forum mnajua vizuri sana kuhusu hii deal kwa sababu baba zenu wamehusika sasa kuweni wazalendo na wakweli mseme, sio kutuhadaa hapa ana maneno ya kumsingizia pinda, ni baba zeni ndio wamemshinikiza pinda kusema huu ujinga, sasa jitokezeni hapa mseme ukweli wakiwa viongoziw engine wasiowahusu mnakuwa na maneno mengi, sasa hapa baba zenu ndio hasa wanaohusika na hii Meremeta jitokezeni sasa!

It is about time sasa tukaanza kuita the spade for what it is yaani the spade! Mushi unasikia hii!

Ahsante Wakuu! na Hii ni Sauti Ya Umeme Wazee wa radio Station ya FMES
 
Ngoja niende kusoma JOKES kwanza, halafu nije kuzisoma paragraph mbili zilizobaki.
Goodness my gracious me! Lahaulah!


Argrrh!

😱 😱





.
 
Tabia ya mnyama aliyezingirwa pande zote na adui...Inafurahisha.

Mara zote anaonyesha tabia ya ajabu isiyotegemewa.

Kwa kawaida angetakiwa AKIMBIE au ASHAMBULIE.

Lakini Kama kibano ni kikali sana. Anazichanganya hizo Tabia mbili na kuwa moja.

And you know what is the outcome....?

Anakuwa kwenye full confusion.

Anachanganya kukimbia na kushambulia kwa kwa wakati mmoja .... Na kujikuta kwenye mwendo wa kuzunguka kwenye mduara kwa kasi....yaani hakimbii wala hashambulii....JUST SPING infront the enermy.

Wana JF

Wala mstie shaka...

The goverment is totaly conered.

Very soon watajimaliza wenyewe..tu.....Kipuuzi na kirahisi kabisa... They are spining infront of the wanachi, confused...Inahitaji nguvu kidogo kuwashinda.

Kwa maonyesho na matamasha wanayofanya huko bungeni....THEY ARE DONE!
 
Back
Top Bottom