Meremeta & TANGOLD Revealed!

Meremeta & TANGOLD Revealed!

.... people deserve the leaders they elect, mpaka mtakapoacha kuwapa hawa kura za bure kwa kisingizio upinzani TZ ni weak,hii ni haki kabisa na wala watu wasilalamike...damn,cant believe kama PM anaweza kuongea utumbo kama huo.
 
Mimi nimeshasema hii serikali haina siri hivyo vidubuwasha vyao wanavyovita siri sijui ni vipi?Rais anasema aaxhiwe atashughulikia ni mangapi kashuhulikia so far kama sio ana kiherehere na Marekani na safari za kila leo?Majina ya drug pushers alisema anayo atayafanyia kazi kafanya nini?huyu mtu sijui ana lipi?
He is a million things together with all the people surrounding him and their shadt dealings.
 
What the hell is he talking about? Does it mean if Jeshi is involved we can't question or is he trying to say that Jeshi is above the law? You know what, he is trying to use Jeshi deter people from asking serious questions.
 
Siamini kama haya maneno yametolewa na PM! Yaani PM! He is not serious. Lakini pamoja na majibu yake dhaifu, moto lazima uwawakie MAFISADI.
 
Hii Serikali kweli kichwa cha mwendawazimu. Yaani nina GHADHABU!! with these idiots... who thinks are above everything, including the law.
 
NAIBU SPIKA, ANNA MAKINDA ANASEMA, SHERIA YA HAKI, MAADILI NA MADARAKA YA BUNGE inasema; "SI ruhusa kuongelea mambo ya ulinzi na usalama isipokua kama Rais atakua ameridhia.."

Maana yake ni kwamba baada ya Pinda kusema Meremeta ni suala la USALAMA basi ndio kusema LIMEZIKWA!!!! Wakati nafahamu kuwa tayari uchunguzi wa kuweza kuwafikisha mahakamani wahusika wote wa Meremeta ulikua katika hatua za mwisho, sasa KULIKONI PINDA!!???

...tuombe Mungu kusije kuwa.... lakini kukitokea machafuko nchini kutokana na kasumba hizi za kutetea ufisadi, ukiritimba na wizi wa wazi wazi dhidi ya mali za Taifa; watakacholaumu ni kambi za Wapinzani... wakati hali halisi ni kwamba utetezi huu na ukiritimba wanaotaka na kuujenga ndiyo kigezo kikubwa kwa wananchi kusema liwalo na liwe...
 
Ndiyo Limeisha,

Inauma snaa,ila mie nilitegemea sana kauli hii kwa leo sababu ya kikao kilichopita cha NEC-CCM,haya ndiyo waliyoambiwa wayaongelee na ndiyo maana kwa mara ya kwanza kwa mwaka huu Mzee Mkapa alikuwepo.

Yes Jana nilisema,Nataka kujiunga na Usalama wa Taifa.Ndiyo nimeamua kujiunga nao sababu hawataki tujue wanachokihadaa.

Thus why kwa sasa watoto wa mafisadi wameaanza kupelekwa Usalama wa taifa kufanya kazi..Ni kwa jili ya haya.

Masikini hatumkujua Pinda
 
NAIBU SPIKA, ANNA MAKINDA ANASEMA, SHERIA YA HAKI, MAADILI NA MADARAKA YA BUNGE inasema; "SI ruhusa kuongelea mambo ya ulinzi na usalama isipokua kama Rais atakua ameridhia.."

Maana yake ni kwamba baada ya Pinda kusema Meremeta ni suala la USALAMA basi ndio kusema LIMEZIKWA!!!! Wakati nafahamu kuwa tayari uchunguzi wa kuweza kuwafikisha mahakamani wahusika wote wa Meremeta ulikua katika hatua za mwisho, sasa KULIKONI PINDA!!???

Mhh kanuni za Bunge zimepitwa na wakati zinahitaji kurekebishwa
 
....sijui niseme "nchi imemezwa na mafisadi ama mafisadi wameiteka nchi".... nisaidieni waungwana ipi ni sahii kati ya hayo mawili!!.

huyu PM ni yule yule tuliejua yuko makini.... tukamshangilia kwa nguvu zote.... nafikiri huko tuendako mbele kuna kazi kubwa zaidi ya hapa tulipo....

awamu hii ya 4 na baraza lake litakuwa litabadilishwa mara 4 hadi tumalize ungwe yetu ya awamu ya 4.
 
NAIBU SPIKA, ANNA MAKINDA ANASEMA, SHERIA YA HAKI, MAADILI NA MADARAKA YA BUNGE inasema; "SI ruhusa kuongelea mambo ya ulinzi na usalama isipokua kama Rais atakua ameridhia.."

Maana yake ni kwamba baada ya Pinda kusema Meremeta ni suala la USALAMA basi ndio kusema LIMEZIKWA!!!! Wakati nafahamu kuwa tayari uchunguzi wa kuweza kuwafikisha mahakamani wahusika wote wa Meremeta ulikua katika hatua za mwisho, sasa KULIKONI PINDA!!???

Wanatulazimisha tuzugike kwa staili ya ajabu..Kwanini???Mwanakijiji kesho lazima...Nitakutumia PM baadaye
 
....sijui niseme "nchi imemezwa na mafisadi ama mafisadi wameiteka nchi".... nisaidieni waungwana ipi ni sahii kati ya hayo mawili!!.

huyu PM ni yule yule tuliejua yuko makini.... tukamshangilia kwa nguvu zote.... nafikiri huko tuendako mbele kuna kazi kubwa zaidi ya hapa tulipo....

awamu hii ya 4 na baraza lake litakuwa litabadilishwa mara 4 hadi tumalize ungwe yetu ya awamu ya 4.

It must be BOTH
 
Mimi niliwaambia watu huyu mtu bonge la joker the very first day aliposimama katika bunge kukubali uwaziri mkuu.

Watu ooh aaah, tunaona sasa.
 
Watanzania tunakwenda wapi ? Hivi kweli waziri mkuu anaweza kuhalalisha wizi kwa kusema Jeshi liko involved . Kwa hiyo kama wanajeshi wakiiba hela basi bunge halitaweza kusema kitu kwa sababu ni masuala ya usalama wa taifa .

Huu ni ujinga hali ya juu , sasa hili bunge kazi yake ni nini ? Na huyu Pinda to make a long story short is an idiot.
 
Is the army beyond scrutiny? Which body governs it?
 
Hivi kwa nini waheshimiwa wanakaa kwenye vikao vya bajeti wakati kuna uwezekano wa kutoa mafungu bila wao?
 
.... Hapa Tanzania, Kuna haja kubwa ya migomo makazini kuanza kutumika kama mashinikizo kwa serikali yetu... Bunge na kanuni zake naona hazitoshi na hazitoshelezi!!

....Migomo makazini kwa nchi nzima is an unexplored option ambayo ni "salama" na huleta matumaini kwa wanyonge pale ambapo haki hazitendeki au zinakiukwa makusudi!!

....Kama migomo inakubalika, Watanzania tukubali kusafa kwa hata wiki moja alimradi tu hatuanzishi uasi baina yetu ili kuonesha kutoridhishwa kwetu... at the end of the day, tunasafa tayari na kupotea kwa hela hizi ambazo nyingi zinaendelea kupotea bila hata wanaohusika kuona adha inayowapata walalahoi.
 
Bunge la Tanzania ni kichekesho. Kama wao ndio wanaaotunga sheria, iweje kuwe na sheria inayompa mamlaka rais ya kuamua ni kitu gani wabunge wajadili na kipi wasijadili ? Do we really need these comedians ?
 
hii sinema haitakwisha,mpaka bisi tulizoingia nazo kwenye jumba la sinema zitakwisha,unaangalia weee mpaka unachoka, pale unapofikiri sasa mwisho unakaribia,anatokea mwigizaji mwingine.
huyo PM jibaba zima mwenye akili timamu anakuja na majibu kama haya, yote haya yanatokea pale tu nizamu ya woga inapopita mpaka, mtu anakuja anasema lolote analotaka na hafanywi lolote, siku wangeshikana mashati nadhani hasingesubutu mtu kuja na majibu yake ya chumbani.
 
.... Hapa Tanzania, Kuna haja kubwa ya migomo makazini kuanza kutumika kama mashinikizo kwa serikali yetu... Bunge na kanuni zake naona hazitoshi na hazitoshelezi!!

Kwanini leo Sitta Hakuwepo,Huu ndiyo Mgawanyiko tuliokuwa tunausema..Hyu Mama Makinda yupo pale kwa Maslahi ya wezi..Hata kama anasifika Yeye ni mtaalam wa mambo ya Anga.

Aache kutufanya siye Mazezeta..Huu Ni Mtego unasao,

Ndugu watanzania,

Ninazidi kumjua Vizuri Muungwana ni mtu wa Namna Gani,ataki alaumiwe na watanzania ili abaki kuwa shujaa wakati hizi ni siasa za kizamani na zisizo na Msingi.
 
Back
Top Bottom