1. - Haya maneno sio mara yangu ya kwanza kuyasema hapa, kuna wakati nime-debate sana na Fundi Mchundo, nilisema exactly nilivyosema leo kua Lau aliacha kazi World Bank na kurudi nyumbani, lakini kwa sababu ni lazima tu ushinde kwa any means necessary, unajaribu kuigeuza geuza ishu wakati iko very clear na leo sio mara yangu ya kwanza kusema kua wakati anarudi nyumbani, Lau alikuwa tayari ana ajira World Bank, kwa hiyo hujabadili wala kuongeza anything ila unapoteza muda wako na wa wananchi hapa bure kwa kujaribu kunitega na kunizunguka huku ukijua wazi kuwa una -deal na a pro wa this game. Nafikiri kati yangu na wewe kila mwananchi hapa ana akili saafi ya kuona wazi nani ni a funny guy!
Hilo tumelimaliza. Ni factoid ndogo tu uliteleza, umerekebisha, Waziri hakuwahi kufanya kazi World Bank, tume move forward. I don't think we should keep rehashing it ad nauseam.
2. - Naomba nirudie tena kwamba mimi binafsi ndiye niliyemuendesha na kumpeleka kwenye mtihani, Lau alikua ndio kwanza amemaliza Georgetown, akawa anafanya kazi Playland, akiwa anasubiri green card yake ili akafanye kazi World Bank...
Huhitaji green card kufanya kazi World Bank!!
Baharia we kitambo maisha haya, mbona unaniangusha tena kwenye issue za safari na za Wazee wa nondo tena ?
...ya kudai unajua sana US kuliko wengine wote...
Siijui, sijadai na hutaniona nadai kujua chochote cha US au cha Usangi. Tena "weledi na wajuzi" feki nawachukia kama janga la kideri. Ila chochote ninachoandika hapa kuhusu US kuna ma elfu na labda malaki ya Wabongo wanaoishi US wanasoma. Nikisema michemsho ya uongo hapa trust me kuna ma vigilantes wapo chonjo wanangoja kurusha madongo, you will know, trust me.
3.- Naomba nirudie tena kwamba baba yake Lau alikuwa na matatizo mengi sana kisiasa na watawala wa wakati huo, kwanza hata kurudi kusoma bongo haikuwa rahisi, na mengine mengi ambayo sio sawa kuyaweka hapa kuhusu utata wa baba yake na siasa za watawala wa enzi hizo, infact ndio maana hata baba yake ambaye aliwahi katibu mwenezi wa TANU taifa, alikuwa UN badala ya bongo,
Issue za Baba hazielezei, haihalalishi, mtoto ku- dogde National Service.
Obviously kama aliweza kupeteshwa wakati wengine wote walienda National Service ina maana alikuwa a scion of the privileged class. Sasa matatizo ya Baba ndio yalimfanya iwe rahisi kuingia chuo kifisadi fisadi kweli ? You got it backwards Field Marshall.
kwa hiyo hata huku nako huna hoja wala ukweli just drop it and quit maana unazidi kuaibika bure tu na wewe ndiye bingwa wa analytic na critical thinking hapa JF ni heshima kubwa sana mkuu kuwa nayo na kujiingiza na haya malumbano yasiyo na faida hata kidogo kwa wananchi taifa kwa ujumla, ni waste of time!
So I am a waste of time, which is proof positive that I couldn't be that champion of whatever it is you have just anointed me to be. Kuabika mimi naabika kila siku hapa. Sio hatari. Natukanwa for almost every post and viewpoint that I posit. And you know it. You threw a four letter epithet at me today, I took it in the chin. You know, I take my lumps. "Kuabika" ? Not fazed whatosever.
In any event, bado hatujajua "Lau" alivyo dogde National Service na alivyoingia ingia UDSM.