Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Status
Not open for further replies.
Bila samahani Mkandara, au Bob Mkandara, kama ndugu yangu mmoja anavyokuita. Pia anapenda kusema, ndugu yangu huyo anapenda kuanza kwa kusema, heshima mbele. Bahati mbaya mara nyingi tunashindwa kuheshimiana na ndugu yangu huyo. Sad situation.

Anyhow, ukifanya kazi World Bank wewe sio mhamiaji wa nchi hiyo ulipo. Green Card ni hali ya uhamiaji, immigrant status, specifically permanent resident status. Unapopata kazi World Bank, au IMF ama offshoots zingine za UN wewe huna jukumu la kutafuta uhamiaji wa nchi enyeji. Ni nchi hiyo yenyewe ndio imekubali kuwa mwenyeji wa ofisi za jumuiya hizo za kimataifa na wao ndio watajiju katika kukupa haki za uwepo ambazo sio lazima ziwe umamiaji wa kudumu.

Pale Arusha, kwa mfano, sisi ni wenyeji wa Wakenya, Waganda, Waburundi na wa Rwanda katika EA Community. Hawa hatuwaulizi vibali vya kudumu vya kuishi Arusha. Hawakutaka kuishi Arusha isipokuwa kwa kazi za jumuiya.

Similarly, the US does not, it can not, require immigrant status, especially permanent residence, of anybody in the employ of a world body that they have agreed to host in their own volition.

"Lau" asingehitaji Green Card kufanya kazi World Bank katika ofisi zilizoko Marekani, au mahala pengine popote pale duniani. Lakini hata hivyo this is a moot point kwa sababu FMES ameshakubaliana na mimi kwamba Waziri "Lau" hakuwahi kufanya kazi World Bank, kinyume na alivyo indicate mwanzoni.

- Irrelevant kama kawaida!
 
Kuhani,
Mkuu nimekuelewa sana na ndio maana sikupenda jinsi mnavyozidi kuzama ktk maisha ya Masha.. unge drop kuhusu maisha yake toka mwanzo tusingefikia hapa hata kidogo!..hii ndio point yangu.
 
Lusajo,
Mkuu jamaa kamaliza masters 1993 na ajira ya kwanza iliyoandikwa ni 1995. kati ya hapo alikuwa akifanya nini!... besides jamani hii kweli ni kazi yetu kujua kama alifanya kazi WB..kafanya hakufanya itapunguza ama kuongeza kipi ktk sakata hili la Mengi! Au wafanyakazi WB wana akili sana hawawezi kufanya makosa alofanya...

Masha hakufanya kazi WB and I highly doubt alikuwa na offer, otherwise asingeondoka US. Ukweli ni kuwa, Masha alikuwa hapati professional job wakati akiwa US, ndio sababu hasa ya yeye kuamua kurudi Tanzania.

Capital Hill,
Bado haijajibu utaratibu wa mtu ambaye tayari yuko Marekani ana green card au Working permit. Je, haiwezi kuondoa taabu ya kurudi nyumbani na kuomba hiyo G4 visa?..

Ulipata kazi ya udereva ukiwa US na una green card, unaweza kufanya kazi kwa kutumia hiyo status. Kama ni professional job, field officer, director level and above you either has to have(kwa US) a US citizenship au uwe tayari ku relinquish your permanent residency status, kwa sababu lazima utumie G4 visa. Na hata kama ulikuwa na working permit(say H1B, H1B1) pia lazima u-relinquish na ukubali G4 visa.
 
1.
Mzee unaonekana una data za kutosha kuhusu huyu jamaa. Lakini pengine tatizo ni presentation tu; yaani ungefuta hivyo vijembe unavyo vichomekea wangekuwa wanakuelewa kirahisi mno. Halafu labda tatazi dogo, ambalo pengine si kosa, ni kwamba pengine waheshimiwa wanataka ushahidi zaidi kuhusu maneno yako. Lakini naona hapa ni kama unataka wakuamini tu maneno yako. Sasa sidhani kama waheshimiwa wana wasiwasi kwamba wewe ni mtu safi, na huwezi kutudanganya. Kwa hiyo pengine wanaweza kuamini unachoongea. Lakini ungetoa hata kaproof kadogo kangewasaidia wao kuamini zaidi, na wakitoka hapa wanaweza kuutetea huo ukweli kwa mtu mwingine. La sivyo watapata shida kum-convince mtu mwingine, kwa sababu kitu pekee watakachoweza kusema kuutetea ukweli huo ni "Field Marshall ES ndiye katuhakikishia". Sasa hiyo itawapa wakati mgumu kama inabidi kum-convince mtu huko mtaani ambaye hakufahamu mkuu.

- Mkuu naona uko mbali sana na the ishu hapa, ni kwamba jamaa nimembana mbavu kwenye topic yake ya Hall of fame, ndio kaamua kuja kulipiza kisasi hapa, nilipokuwa US na mkulu wangu Lau huyu bwana hakuwepo US, ila alienda later na anajua, kwamba ati nilete ushahidi you got to be kidding me ushahidi wa nini hasa? Mboina the ishu ni Masha na Mengi sasa mimi nina ushahidi wa nini?

2.
Kwa mfano ukiwapoint kwenye ki-tovuti kinacho imply kwamba jamaa alikuwa WB wakati fulani, itakuwa bonge ya boost. Au copy fulani ya CV yake. Any third party source would do. Au kwa sababu jamaa ni mshkaji, anaweza kukupa copy za vijikaratasi vinavyo mlinki yeye na WB wakati huo. Photocopy ya ktambulisho (ambacho sasa hivi kitakuwa kime expire) ndio kitawaziba kabisa mdomo hawa waheshimiwa.

- Sina uhakika kabisa hapa na unachosema, yaani haya yote yana uhusiano gani na the ishu ya Mengi na Masha? Unajua mkuu mtu ninayemfahamu unapoteza muda bure tu kulilia none ishu naona it is about time sasa mkarudi kwenye the ishu Masha na Mengi.

4.
Mzee kama hiyo itashindikana, itabidi uwe mpole tu. Waombe wakuamini maneno yako, ila itakuwa ngumu kuyafanya yachukuliwe kama ndio ukweli kwasababu ya ugumu wa kuthibitisha kwa hakika. Kwa upande wangu mimi hata kama mtu anafanya kazi kwa mungu, hiyo haina umuhimu sana hasa kwa maswala ya uadilifu ambayo ndiyo yanakereketa humu. Ila tu napenda statement yeyote anayoitoa mtu iwe inaweza kutetewa kwa hoja.
Natanguliza heshima.

- Irrelevant! I mean juzi ulikuwa una-make sense lakini sio leo, unajaribu sana kuficha tatizo lako lakini unashindwa vibaya sana, muacheni kijana afanye kazi asimamie sheria, hizi chuki za binafsi bila sababu za msingi mtapata ugonjwa wa moyo bure wakuu!

Thanxs!
 
Kisura,
Well then inawezekana Masha alipata kazi ya udereva WB na ndio maana aliondoka kurudi Bongo kuchukua kiti cha Uwaziri!.. kwii kwii kwii!
 
Masha hakufanya kazi WB and I highly doubt alikuwa na offer, otherwise asingeondoka US. Ukweli ni kuwa, Masha alikuwa hapati professional job wakati akiwa US, ndio sababu hasa ya yeye kuamua kurudi Tanzania.

- Sio kweli, alipokuwa anarudi alikua akifanya kazi kama manager wa kitengo Playland, na pia alipata offer ya kazi World Bank, lakini akaamua kurudi bongo, hayo yako mkuu sio ya kweli unless kuna something sielewi, ila all the time nilikuwa naye mpaka siku ya mwisho nikampeleka Airport.

Thanxs!
 
Ok, time out. Tatizo hapa nini haswa? Kwamba Masha alifanya kazi WB (not sure what the big deal is), alikuwa offered kazi WB akaitosa, kwamba Masha ni green card holder, or what? I'm confused.
 
Kuhani,

Mkuu nimekuelewa sana na ndio maana sikupenda jinsi mnavyozidi kuzama ktk maisha ya Masha.. unge drop kuhusu maisha yake toka mwanzo tusingefikia hapa hata kidogo!..hii ndio point yangu.

Ha haa haaaaaa

Wengi tunazama lakini mimi tu ndio naambiwa ni drop the subject ?

Ha aha aaaaaa

Mkandara, mimi kama ume notice nimekuwa najibu maswali yako kuhusu wewe unavyochimba masuala ya immigrant status ya wafanyakazi wa World Bank!

Mwanzoni nilikuwa najaribu kurekebisha rekodi za employment credentials za waziri, ambazo FMES amesharekebisha. Tena nikasema toka mwanzo, tu move forward, Mkuu alionyesha u-gentleman kwa kurekebisha public statements zake, okay.

So, let's just move forward Mkandara, lets plug away. Na usihofie kumwambia wengine pia wanapokuwa wanayachimba hayo maisha ya "Lau" hata kama wanatumia size za maandishi ya kutisha. Wanaambilika.

So, again, let's not over communicate here, let's just move along.
 
Lau alikua ndio kwanza amemaliza Georgetown, akawa anafanya kazi Playland, akiwa anasubiri green card yake ili akafanye kazi World Bank akaamua kufanya hiyo Bar, akashinda na kuipata,

- Eti kwenye hii quote yangu hapo juu kuna mahali nimesema Lau asingeweza kufanya kazi World Bank bila Grreen Card?

Haya mkuu yamekushinda huyawezi, sasa rudi kwenye Masha na Mengi, wakuu punguzeni chuki na wivu maana taifa litakufa na chuki na hasira namana hii za bila sababu za msingi, suala la waziri na Mengi sasa litaenda kwenye sheria, sasa tusubiri majibu badala ya kujaribu kumhukumu kijana mdogo waziri haileti maendeleo, tuache chuki maisha kila mtu na yake na kila mtu hula kwa urefu w a kamba yake, mengine ni fact of life hakuna remedy through chuki na wivu!
 
Kuhani,
Statement yangu ya kwanza leo hii ilikuwa kwa FMES nikimwambia aachane na Kumshabikia masha.. kachemsha! - unajua hilo, na kusema kweli FMES hakurudi wakati mawe bado yaliendelea kurushwa..

Hatuna haja ya kuendeleza mjadala wa maisha ya Masha wakati huyo Mengi hazungumziwi.. nadhani hii ndio sababu inayomfanya FMES asimame nyuma ya mshikaji wake. Hey hata mimi naweza kusimama nyuma yako mkuu inapofikia vita ya JF na mtu wa nje..
 
Utadhaniwa una majina mengi, am afraid. Ni mtizamo wangu tu.
 
Kuhani,
Statement yangu ya kwanza leo hii ilikuwa kwa FMES nikimwambia aachane na Kumshabikia masha.. kachemsha! - unajua hilo, na kusema kweli FMES hakurudi wakati mawe bado yaliendelea kurushwa..

Hatuna haja ya kuendeleza mjadala wa maisha ya Masha wakati huyo Mengi hazungumziwi.. nadhani hii ndio sababu inayomfanya FMES asimame nyuma ya mshikaji wake. Hey hata mimi naweza kusimama nyuma yako mkuu inapofikia vita ya JF na mtu wa nje..

Fair enough Bob Mkandara.

End o' story. Agreed to kill it. Heshima mbele, heshima mwisho. Mandatory in the story.
 
Capitol Hill,
Bado haijajibu utaratibu wa mtu ambaye tayari yuko Marekani ana green card au Working permit. Je, haiwezi kuondoa taabu ya kurudi nyumbani na kuomba hiyo G4 visa?..

Mkuu I do not have a clear answer zaidi ya ku inform hii forum juu ya kidogo ninachokijua kuhusu Immigration processes za hapa U.S. especially kwa sisi "wakuja". Lets assume kwamba niko kwenye status ya uanafunzi F-1, then nikamaliza shule na kupata kazi. Kama nikipata mwajiri ambaye sio International Organization (WB, IMF, UN agencies, etc), basi mwajiri wangu anatakiwa ani sponse visa yangu ya kazi. Aina ya hii visa ni H1-B. Mwajiri atatuma maombi ya kuni retain mimi foreign born hapa Marekani kwa ku prove kwamba hapakuwepo an American citizen mwenye capacity yako kujaza hiyo kazi. Mwajiri atatuma maombi USCIS (zamani ilikuwa INS) na USCIS wakikubali wanamtumia mwajiri approval notice. Hiyo approval notice inajulikana kama form I-797A. Hii form I-797A pamoja na madocuments mengine kama W2's, Tax returns, Letter of employment, Pay stubs, ndivyo nitayatumia kwenda kwenye U.S. Embassy ya Dar es Salaam kuombea muhuri H1-B(visa stamping) utakao niruhusu kuingia na kutoka Marekani kwa ile duration ya kazi na mwajiriwa wangu wa hapa U.S. Sio lazima ukipata approval notice yenye form I-797A urudi nyumbani kwani hiyo form inaonyesha kwamba uko hapa legally. Ila ikitokea ukarudi nyumbani kusalimia familia na mambo mengine, ni lazima urudi Marekani na visa hiyo H1-B.

Sielewi procedure ya International Organization kwa hiyo siwezi kusema zaidi ya kujua kwamba at the local U.S. Embassy the employee atatakiwa apply kugongewa G-4 visa stamp. Ninachojua mimi ni kwamba maombi ya hizi visa za Non Immigrants (kuanzia B2,F1,H4,H1-B,G-4,etc), mwombaji anajua fate yake ndani ya muda mfupi ukilinganisha na zile za kuomba permanent residency (green card).
 
1.
Mwanzoni nilikuwa najaribu kurekebisha rekodi za employment credentials za waziri, ambazo FMES amesharekebisha. Tena nikasema toka mwanzo, tu move forward, Mkuu alionyesha u-gentleman kwa kurekebisha public statements zake, okay.

- You have to win by anymeans necessary hata kama kuandika uzushi na uongo kama huu hapa juu, hakuna nilichorekebisha Masha alikuwa na kazi World Bank ipo uamuzi ulikuwa ni wake, akaamua kurudi bongo, sasa you vcan jump and cry, lakini hilo huwezi kunibadilisha, unaweza kuandika hizi comedy zako as much as you want lakini huwezi nibadili msiamo hata siku moja.

2.
So, let's just move forward Mkandara, lets plug away. Na usihofie kumwambia wengine pia wanapokuwa wanayachimba hayo maisha ya "Lau" hata kama wanatumia size za maandishi ya kutisha. Wanaambilika.

- Mimi nikuhofie wewe? are you serious au unatania asiyeambilika anajulikana mkuu, ila nakukumbusha kua huwezi kunitisha umejairbu asubuhi na matusi mazito sana lakini unapoteza muda bure, ya Mengi na Masha yamekushinda sasa unajaribu kila njia kulazimisha hoja acha hizo mkuu, hoja ikiwa na ukweli haihitaji kulazimishwa kama unavyohangaika.
 
Duh! wakuu zangu hapo US mnafukuzia binti mmoja nini?...maanake ndio ugonjwa wa mtu mweusi.
 
1.
Kuhani,
Statement yangu ya kwanza leo hii ilikuwa kwa FMES nikimwambia aachane na Kumshabikia masha.. kachemsha! - unajua hilo, na kusema kweli FMES hakurudi wakati mawe bado yaliendelea kurushwa..

- Bob hapana sikurudi kwa sababu ya heshima yangu kwako, lakini sio kwa sababu Lau kachemsha, hapana maana maneno ya waziri yako wazi kule kayaone mkuu kuwa yeye kama waziri anasimamia sheria na sio anything esle!

2.
Hatuna haja ya kuendeleza mjadala wa maisha ya Masha wakati huyo Mengi hazungumziwi.. nadhani hii ndio sababu inayomfanya FMES asimame nyuma ya mshikaji wake. Hey hata mimi naweza kusimama nyuma yako mkuu inapofikia vita ya JF na mtu wa nje..

- toka mjadala ulipoanza tu kulikuwa na sauti zinazodai nije, nikaja na kuchagua side ya waziri, it does not matter kama wote mko upande mmoja huwa hatuamui kufuta upepo, huwa tunajali facts na kusimama hapo hapo, you know that. Hapa kwangu sheria haiko upande wa Mengi na nisingetaka tabia ya Mengi kutishia serikali na viongozi iruhusiwe kuendelea, ndio maana ninataka hiii ishu iende kwenye sheria, that is all haya yote mengine ni kawaida kwangu hakuna jipya!

Na so far I am having a lot of fun na hii topic kwa sababu inaonyesha wazi where sisi wananchi are na uelewa wa ishus muhimu za taifa letu, na kwamba ni kwa nini itachukua muda mrefu sana taifa hili kusonga mbele I mean tuna a lot ya ku-overcome ndugu zangu!

Respect!
 
nilifikiri hii topic ni ya mengi na masha sasa what the f... issue ya uhamiaji inaongelewa hapa.
 
Field Marshall Es,
Sidhani kama Mengi alimtishia kiongozi isipokuwa alisema yeye ndiye anayetishiwa...(nitarudi kusoma) lakini mkuu, Masha kwa kila jinsi amekiuka sheria mwenyewe na wala halikuwa swala la Mengi vs Masha ambaye hakumtaja kwa jina..
Kilichotokea ni wasiwasi ya Masha kufahamu kwamba aliyoyasema yamefika, tena kwa mtu mwenye vyombo vya habari.. kusema kweli inatisha kwa kiongozi yeyote..Sasa tofauti inakuja tu pale kiongozi huyo atakavyopokea lawama kama hizi na Masha kachemsha, kakurupuka na joho lake la uwaziri na kama angefanya alivyosema mwishoni kutaka kumsaidia Mengi angepeleka askari kumhoji kwa madhumuni ya kumlinda na sio kutoa majibu ktk vyombo vya habari ukitaka ushahidi within 7days wakati hufahamu hatari aliyokuwepo Mengi.
Sisi wote watoto wa mjini tunafahamu kilichotokea na Masha hawezi kutumia fimbo ya Uwaziri kujisafisha isipokuwa haya ni maswala ya mjini kutishana na kama kawaida ya wazee wetu wanafahamu kuwa ukitishiwa maisha kuwa wa kwanza kupiga mayowe!.. Hata simba hukimbia!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom