If:
a. is TRUE
and,
(b) is TRUE
and
(c) is also TRUE
then, MY RESPONSE WILL NEVER BE SUFFICIENT!
Man..you are damn fool! Lol
...mara nyingine mengi huwa anakurupuka kutaka sympath....
1.alipokgombana na karim ,mmiliki wa kwanza wa tv nchini[ctn]...alikimbilia kusema anatishiwa kuuwawa...kitendo kilichofanya naibu waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani...[wakati huo]augustne mrema kuagiza mrema apewe ulinzi wahsusi wa polisi na TISS[VIP Protection unit]......akawa na mpambe wa kumfungulia gari na kumlinda anayelipwa na state[nadhani alikuwa mfanyabiashara wa kwanza kupewwa hadhi hiyo]..na gari la surveillance ..etc.
MATOKEO HAKUULIWA WAALA KURUSHIWA JIWE...NA BAADAYE IKAGUNDULIKA KUWA ..UGOMVI ULIKUWA WA KUSHINDANIA KUONESHA AFCON....LIVE...CTN WALIPEWA RITES NA CAF..MENGI KWA KUWAKOMOA AKAWEKA TV KUBWA MNAZI MMOJA ..WATU WAANGALIE...NA AKAONESHA LIVE BILA KIBALI....CHA CAF.
yule mmiliki wa CTN alikuwa so frustrated akauza kile kituo ...akaondoka kwenda nje kupumzika...labda alisharusi....
2.scenerio ingine ya mengi ni pale alipokuwa anashindania tenda ya kununua KILIMANJARO hotel...Akashindwa kwenye taratibu za tenda,...akaaamua kwenda hewani akidai kaonewa na akataka sympathy yetu kuwa mzawa amenyimwa tenda.....akagomnbana sana na huyu waziri wa usalama wakati huo......wilson masilingi...akamuweekea masilingi curf kwenye vyombo vya habari hadi akaporomoka kisiasa......[huyu mzee lazima mjuwe kuwa ana netwok ya ajabu na anajuwa propaganda hasa]
well KILIMANJARO HOTEL IMEJENGWA NA MUWEKEZAJI MPYA ...NA SASA NI MOJA YA HOTELI ZA FAHARI KAMA ILIVYOKUWA......sana tu tungeomba serikali iwe inalazimisha kampuni kama hizi zitenge share kwa ajili ya ushirikishwaji wa wazawa kwenye stock market.
3.ugomvi wa mengi na manji pia ni wa kibiashara ...manji alimzidi mengi kwa ujanja ..kama kawaida yake mengi akaenda public...nadhani walikuwa wanagombea haki za kuendesha mchezo wa kamari kwenye tv...remember jackpot bingo[ilimtoa sana mengi hii].....
4.ugomvi wa mengi na tido [tvt]...kuonesha live kombe la ligi uingereza..[everbody here knows how mengi behaved in seeking public support....
5.ugomvi wa mengi /..tvt/ze comedy .....its not a new story..you know....
so in conclussion ..i suggest that we must be very careful ..when tackling mengi..griviances ...,history has shown that he is very smart in rallying mass sympathy against his haters....though sometimes its true me its true that he is being a target ....the starategy that he normally uses nullfy all his rightful complain as it becomes too monotonous...wanasema aah huyu analalamikaga ...hata malalamiko ya kweli ..watasema aah ni kawaida yake!..you see.....
......nadhani mengi anatakiwa kufuata mfano wa marehemu nyaulawa ..huyu pamoja na kumiliki media ..huwa habari zake zilikuwa haziwekwi ....kwenye lead page....sidhani kama waandishi wa IPP media wana uhuru wa kutosha .....kuna kila dalili kuwa ..wanaandika kwa malengo fulani....
hii inadhibitika na ukweli kuwa kila mara mtu anayegombana na bosi wao..ndio mara zote anakuwa targeted kushambuliwa...,,,pamoja na kudhamini mchango wake ..nafikiri kwa nia njema inabidi kama nchi tuangalie idadi ya media tunazoweza kuwacha kumilikiwa na mtu mmoja...especially kama atakuwa anazitumia kwa ugomvi dhidi ya wagomvi wake.....
...pamoja na hayo naunga mkono kwa moyo moja na kuunga mkono juhudi za serikali dhidi ya ufisadi.....namuunga mkono yeyote anayeupinga....najuwa kuwa kama taifa itabidi tuwe na starting point ...katika kupigana na ufisadi...na mwanzo ndio huu........
lakini tusibadili vita ya ufisadi kuwa visasi au ugomvi binafsi...lazima tujenge vita endelevu!!!
You fool! Sasa ulitaka auawe au apigwe jiwe ndio uamini????
Hivi kweli kuna mtu anaweza kukurupuka na kukuongezea kodi bila mpango. Mimi nilifikiri wakaguzi wa fedha na wahasibu kazi yao ni kuhakikisha kuwa receiver anapata kinachostahili. Sasa leo Mh. Mengi ambaye ni muhasibu by profession anatumbia mtu anaweza kubambikiziwa kodi. Labda ni biashara ya uchochoroni. Unless hakuna rule of law TZ. Otherise ana lake jambo!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi kweli kuna mtu anaweza kukurupuka na kukuongezea kodi bila mpango. Mimi nilifikiri wakaguzi wa fedha na wahasibu kazi yao ni kuhakikisha kuwa receiver anapata kinachostahili. Sasa leo Mh. Mengi ambaye ni muhasibu by profession anatumbia mtu anaweza kubambikiziwa kodi. Labda ni biashara ya uchochoroni. Unless hakuna rule of law TZ. Otherise ana lake jambo!!!!!!!!!!!!!!!
..kaka ungeweza kunipinga kwa hoja bila kuniita mpumbavu...!...that is below the belt jeb....if you are wise enough you can apologize...unless otherwise!
.......ujumbe niliotaka kuubeba kwa kusema "hakuuwawa wala kutupiwa jiwe..."..ni simply hapakuwa na tishio la kufikia kuuwa ...zaidi ya hekaya za kufikirika....
.....kama tukichukulia tishio la sms...na kulipa uzito wa aina hii...basi mjuwe hata rais watu wana namba yake na anapokea msg za matusi..kama watu wengine.....UKWELI JUU YA TISHIO LOLOTE UNARIPOTIWA POLISI..
Bw. Mengi alithibitisha kuripoti vitisho hivyo kwenye Kituo cha Polisi cha Oysterbay na tayari uchunguzi umeanza kufanyika.
WAO NDIO WANA NAMNA BORA YA KUCHUNGUZA .....NI BORA KUFANYA HIVI KABLA YA KWENDA PUBLIC....
MARA NYINGINE JAMBO AMBALO HALIJAWA PROVEN KAMA ALLEGATION ANAZOTOAGA MENGI ....ZINAWEZA KU INCITE HASIRA ZA WANANCHI......WE HAVE TO BE CAREFUL....
STYLE ZA MENGI HAZITATUSAIDIA KAMA TAIFA ...LAZIMA TARATIBU ZA KIUSALAMA ZIFUATWE,,..!
..MNAKUUMBUKA JUZI TU HAAPA KATOA FOOTAGE ...YA WATU WALIOKUWA WAKIPANGA KUMDHURU YEYE NA MBOWE......SASA HATUJAJUWA ILE IMEFIKA WAPI ..TAYARI INAKUJA HII...
SASA ITAKUWA INACHANGANYA WANANCHI....NAMSHAURI MENGI AFANYE KAZI KWA KARIBU NA IDARA ZA USALAMA KUFIKISHA KILA AINA YA TISHIO ...KABLA YA KWENDA PUBLIC...
PENGINE WATAALAMU WA USALAMA WANAWEZA KUMSHAURI PALE AMBAPO INABIDI APIGE MAKELELE ...NA PALE AMBAPO INABIDI AKAE KIMYA ...KUZUIA KUHARIBU UPELELEZI.....!
swala la kudhibirti mtu mmmoja kuwa na vyombo vya habari vingi ni muhimu.....kumbukeni ...haya italy wamepata kupata taanu na SILVIO BERLUSCONI....wakitaka monopoly yake kwenye media ipunguzwe.....mengi ndio silvio berlusconi wetu...kasoro hamiliki timu.....ya mpira..
....otherwise heshima ya watanzania kwa mengi ipo juu...na tungependa tuwe na mengi angalau 100...kwa kuanzia ..uchumi ungekuwa!!!
...mwanakijiji una muda na speed kali sana ya kufikiria na kuandika,mimi naona ningetumia siku nzima hayo uliyoandika hapo juu,na pls umshauri ngabu arudi shule!
..kaka ungeweza kunipinga kwa hoja bila kuniita mpumbavu...!...that is below the belt jeb....if you are wise enough you can apologize...unless otherwise!
.......ujumbe niliotaka kuubeba kwa kusema "hakuuwawa wala kutupiwa jiwe..."..ni simply hapakuwa na tishio la kufikia kuuwa ...zaidi ya hekaya za kufikirika....
.....kama tukichukulia tishio la sms...na kulipa uzito wa aina hii...basi mjuwe hata rais watu wana namba yake na anapokea msg za matusi..kama watu wengine.....UKWELI JUU YA TISHIO LOLOTE UNARIPOTIWA POLISI....WAO NDIO WANA NAMNA BORA YA KUCHUNGUZA .....NI BORA KUFANYA HIVI KABLA YA KWENDA PUBLIC....MARA NYINGINE JAMBO AMBALO HALIJAWA PROVEN KAMA ALLEGATION ANAZOTOAGA MENGI ....ZINAWEZA KU INCITE HASIRA ZA WANANCHI......WE HAVE TO BE CAREFUL....
STYLE ZA MENGI HAZITATUSAIDIA KAMA TAIFA ...LAZIMA TARATIBU ZA KIUSALAMA ZIFUATWE,,..!..MNAKUUMBUKA JUZI TU HAAPA KATOA FOOTAGE ...YA WATU WALIOKUWA WAKIPANGA KUMDHURU YEYE NA MBOWE......SASA HATUJAJUWA ILE IMEFIKA WAPI ..TAYARI INAKUJA HII....SASA ITAKUWA INACHANGANYA WANANCHI....NAMSHAURI MENGI AFANYE KAZI KWA KARIBU NA IDARA ZA USALAMA KUFIKISHA KILA AINA YA TISHIO ...KABLA YA KWENDA PUBLIC...PENGINE WATAALAMU WA USALAMA WANAWEZA KUMSHAURI PALE AMBAPO INABIDI APIGE MAKELELE ...NA PALE AMBAPO INABIDI AKAE KIMYA ...KUZUIA KUHARIBU UPELELEZI.....!
swala la kudhibirti mtu mmmoja kuwa na vyombo vya habari vingi ni muhimu.....kumbukeni ...haya italy wamepata kupata taanu na SILVIO BERLUSCONI....wakitaka monopoly yake kwenye media ipunguzwe.....mengi ndio silvio berlusconi wetu...kasoro hamiliki timu.....ya mpira..
....otherwise heshima ya watanzania kwa mengi ipo juu...na tungependa tuwe na mengi angalau 100...kwa kuanzia ..uchumi ungekuwa!!!
watu wenye limited access ya internet utawajua tu. siku nzima hukuwepo hapa halafu sasa hivi umeibuka na muda si mrefu utaondoka tena. wabeba maboksi utawajua tu...heheheheheeee
nadhani inawezekana MENGI kweli akawa anaidaiwa kodi kubwa tu lakini ana pre-empt TRA wasimzukie
Mbona hatusikii BAKHRESSA akipiga makelele kama huyu Mengi?