Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama

Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama

Maadam jumamosi ni mwisho wa mm kuwa kazini naanza likizo jumapili asubui nakwenda kwa babu Igunga mtakoma na kero zenu.
 
Kwa mnaofahamu,Rais wa Marekani anapozuru nchi kama CHINA NA urusi nao wanafanyiwa hivi kweli???ndege za kivita za Marekani zinaruka na kuizunguka miji ya nchi hizo alipofikia Rais wa Marekani kama zitakavyofanya hapa kwetu?maana kama ni kuogopa maadui hata huko wapo.


Halafu nasikia wamefunga vifaa fulani fulani kwenye maghorofa marefu. Hii ina maana kuwa hakuna siri yo yote kwa wakazi wa maeneo hayo kwani watakuwa wanaonekana kwenye vifaa vyao. Hii ni tahadhari tu kwa wenye ndoa. :A S 13:
:flame::llama:
 
ule ukuta sa hivi unangaa mbaya!!!!!

Omba omba wote wametolewa katikati ya mji,polisi wetu naona wanachakarika
katika hili
Halafu watu wakiwaita wapumbavu wanakuja juu! Miaka yote wanawaacha omba omba na watoto wanaostahili kuwa shuleni wakishinda barabarani leo hii wanawasomba kwenda kuwaficha! Kama serikali inajua kuwa hawatakiwi kuwepo barabarani kwanini wamekuwa wakiwaacha tu wakiongezeka siku baada ya siku? Majanga bongo hayaishi.
 
Halafu watu wakiwaita wapumbavu wanakuja juu! Miaka yote wanawaacha omba omba na watoto wanaostahili kuwa shuleni wakishinda barabarani leo hii wanawasomba kwenda kuwaficha! Kama serikali inajua kuwa hawatakiwi kuwepo barabarani kwanini wamekuwa wakiwaacha tu wakiongezeka siku baada ya siku? Majanga bongo hayaishi.


mwa J kwani we hutaki kwenda marekani
 
yani ni hatari.....................basi watupe nauli na sisi tuende Marekani!Teh teh
 
Karaha tu hakuna raha wala nini..............hivyo vitu vinavyotengenezwa ni temporaly maana wiki si nyingi hali inakuwa vile vile.Unapomwambia mtu asije Dar wamaanisha utampa pesa ya kula au?kwakweli tunanyanyasika sana kati ardhi yetu.
Nyerere alitoa mfano wa kichupa na almasi kama unakumbuka.
Mambo mamii lakini.
 
Na mwisho wa kukaa nje ni saa 12:00jioni kila mtu anatakiwa awe ndani ya nyumba yake 12:05 inawezejana sisi ni wakarim!!
Ata akitaka kumpiga kila mtz fimbo 3tutafurahia tumepigwa na obama
 
Huu sasa wazimu? Hivi watu wangapi wanakuja Dar kila sikuk na hatujawahi kusikia wakiambiwa Dar "imejaa"?
 
Wakiambiwa ni wapumavu na dhaifu wanalimbilia kuomba msaada police. Kundi la vichaa. Waende tena polisi
 
Msituzingue tusije dar kisa obama! mwanzoni tuliambiwa tusiende dar kuna kipindupindu sasa hii ya tusije dar kuna mgeni, tumekuwa watoto wa kimada? ebo!
 
Naunga mkono hoja, tutangaziwe tu wakati wa ujio huo iwe 'public holiday'.Hivi ratiba ya ziara imeshatoka?JE atakuja kwetu Mbagala?akija tutamtembeza Kizuiani,mbande,chamazi,kilungule,kwa nyoka,magenge 20,kwa dumba rume,zakhem,kwa kisauti,kingugi,maji matitu,charambe,nzasa,rangi3,kipati,kwa mnyani,kibonde maji na kiburugwa
 
Membe asema hakuna kustarehe hadi mkuu wa dunia atakaporudi makao makuu ya dunia,
kweli binadamu tumetofautiana.
 
.............................................Viongozi watakaohudhuria mkutanohuo ni Waziri Mkuu wa Malayasia, Najib Razak, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Uhuru Kenyetta (Kenya), Boni Yayi (Benin), Ali Omar Bongo (Gabon), Ikililou Dhoinine (Comoro), Faure Gnassingbe (Togo), Ernest Koroma (Sierra Leone), Blaise Compaore (Burkina Fasso), Mahinda Rajapaska (Sri Lanka) na Mfalme waSwaziland, Mswati II, ambaye aliwasili jana.
Kagame haji?
 
Back
Top Bottom