Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama

Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama

Huu ni ujinga umeshawatafuna viongozi wetu vyakutosha na bado wataendelea kuwa mamburura mpaka wanaingia kaburini.Haiwezekani nchi yetu wenyewe halafu tuwe watumwa kwa mtu ambaye hana manufaa kwa watoto wa kulima.Hawa mwisho wao 2015
 
Obama anakuja na ujumbe wa watu laki ngapi? Jiji la Dar lina uwezo wa kuchukua watu wangapi?
 
Hivi hata tukienda Kwao mambo yanakuwa hv2? Nauliza tu wanajamii maana ds z too much sasa
 
kesha kuwa waziri wa mambo ya ndani....kwani lazima wote wakutane dar? wengine si waende mtwara, lindi, kigoma nk yote si tanzania?
 
karaha ni nyingi kuliko raha kwa kweri. mala kova anatoka na hili huku membe nae anatuzuiaa tusije mjini yaan hii nchi full sarakasi ili mradi Obama aone ni nchi yenye maana kumbe upuuzi ni mwingi kuliko ya maana
 
Kweli mgeni njoo mwenyeji apone. Nilichofurahia tu ni ukarabati wa barabara ya Mwai Kibaki maana ilikuwa inatisha kwa ubovu na kusababisha foleni isiyo ya lazima. Mvua zikinyesha magari yalikuwa yanazama kwenye madimbwi kama mitumbwi!
Hadi TANESCO nao wapepaka rangi ukuta wao unaotazamana na ubalozi wa Marekani....
 
Hivi alipokuja bush mbona haikuwa kero hivyo! Imekuaje mjaluo anakuja na usumbufu kwa wenyeji unakuwa mkubwa hvyo. Lakn ajiangalie tz kuna vitu vizito vyenye ncha kali virukavyo!

jamaa wamejipanga sana,hiyo ni meli ya kivita na hilo ni gari lake
ambalo nimeona jinsi lilivyoundwa ni hatari sana

meli+obma.jpg


Car+Barack+Obama+6.jpg
 
nasikia Mh.Membe kasema hata wanandoa hawaruhusiwi kuwa pamoja hadi mkubwa wa dunia atakapoondoka, loh!.
 
Woote mnazunguka huku na kule kutafuta majibu ambayo mnayo tayari bila kujijua!
Swali rahisi sana, ni Wangapi kati yetu Majumbani mwetu kuna vyombo (vile vizuri) ambavyo havitumiki mpaka mgeni aje?
au ni wangapi kati yetu ambayo majumbani mwetu huwa tunafurahia siku mgeni akija kwani ndio tutakula Vizuri? Hata vijijini kwetu si ndio jogoo tena yule mnono atachinjwa?
Kama ni watoto siku mgeni akija si ndio wataambiwa wavae zile nguo za kabatini?

Sasa tofauti iko wapi, au kwa sababu Serikali ndio inafanya?
kumbukeni Serikali siyo Mashine bali inaongozwa na Watu na watu wenyewe ndio sisi, hivyo msitegemee vitu tofauti na yale tunayoyafanya majumbani mwetu, ni swala la Mila na Desturi, Jamii nyingine haziko hivyo, kama ni vyombo vizuri, basi vinanunuliwa kwa ajili ya Familia kutumia na sio Wageni, kama ni makochi yapo kwa ajili ya Familia na Sio wageni, hiyo ndio tofauti!
 
Woote mnazunguka huku na kule kutafuta majibu ambayo mnayo tayari bila kujijua!
Swali rahisi sana, ni Wangapi kati yetu Majumbani mwetu kuna vyombo (vile vizuri) ambavyo havitumiki mpaka mgeni aje?
au ni wangapi kati yetu ambayo majumbani mwetu huwa tunafurahia siku mgeni akija kwani ndio tutakula Vizuri? Hata vijijini kwetu si ndio jogoo tena yule mnono atachinjwa?
Kama ni watoto siku mgeni akija si ndio wataambiwa wavae zile nguo za kabatini?

Sasa tofauti iko wapi, au kwa sababu Serikali ndio inafanya?
kumbukeni Serikali siyo Mashine bali inaongozwa na Watu na watu wenyewe ndio sisi, hivyo msitegemee vitu tofauti na yale tunayoyafanya majumbani mwetu, ni swala la Mila na Desturi, Jamii nyingine haziko hivyo, kama ni vyombo vizuri, basi vinanunuliwa kwa ajili ya Familia kutumia na sio Wageni, kama ni makochi yapo kwa ajili ya Familia na Sio wageni, hiyo ndio tofauti!

eti mkuu hii ziara ya obama ina msilahi kwa nani? Tanzania au Marekani?
 
eti mkuu hii ziara ya obama ina msilahi kwa nani? Tanzania au Marekani?

Ni swali pana na inategemea maslahi ya kivipi, kwani ukimuuliza dereva teksi aliyekodishwa wiki nzima amenufaika sana tu au mwenye Hoteli, na ukiwauliza wafanyabishara wa marekani watakaopewa Matenda makubwa makubwa pia wamenufaika, hivyo inategemea sana na nani kajipanga kunufaika saana, ila kwa uzoefu tu nafikiri Marekani itavuna zaidi, kwani wao kila kitu kinalipiwa kodi, ila sisi Hela ya Dereva Teksi au mwenye Hoteli au Kahaba inaishia Mikononi mwake basi!

 
eti mkuu hii ziara ya obama ina msilahi kwa nani? Tanzania au Marekani?

The President(Obama) will reinforce the importance that the United States places on our deep and growing ties with countries in sub-Saharan Africa, including through expanding economic growth, investment, and trade; strengthening democratic institutions; and investing in the next generation of African leaders.
 
sisi tuishio gongolamboto na viunga vyake ndio tumeanza kukoma,mfano leo tu sijui watu gani walikuwa wanakuja basi tumekaa barabarani zaidi ya 1hr,na nasikia yote hii ni ujio wa brother Obama.......
 
Karaha
tumeambiwa ikiwezekana tusije salidarama wakati sisi ni wafanya biashara tunategemea mzunguko wa pesa
Hivi kwanza anakuja kufanya nini hasa hasa ??
 
Hata we ukipokea mgeni unatafuta sahani na glasi vyenye aheshima mbele ya wageni!
 
Back
Top Bottom