Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama

Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama

Yani huku mjini kumekua kweupee huku kariokoo napo ni mateja na wamachinga wanasombwa na kupelekwa sijui wapi, yaani obama katuletea mambo jamani mana huku k[koo toka asubuhi tigo mawasiliano hakuna kabisa.
Yani jumlisha na ile kauli ya membe ya jana ukuonekana unashangaa shangaa tu huku mjini unabebwa kurudishwa kwako au polisi, hehehehe kaaaaaaziii.
 
Habari ndo hii ujio wa obama baaby tujitokeze kwa wingi kumpokea airport tulisukume Gari lake na barabarani tujipange
 
Yani huku mjini kumekua kweupee huku kariokoo napo ni mateja na wamachinga wanasombwa na kupelekwa sijui wapi, yaani obama katuletea mambo jamani mana huku k[koo toka asubuhi tigo mawasiliano hakuna kabisa.
Yani jumlisha na ile kauli ya membe ya jana ukuonekana unashangaa shangaa tu huku mjini unabebwa kurudishwa kwako au polisi, hehehehe kaaaaaaziii.

Hahaaa wakikurudisha kwako si una bahati,maana wengi wao wanapelekwa Polisi
umekiuka agizo la serikali
 
hata ki date wadada na hata wa kaka hununua viwalo vipya! So ndo hulka zetu wabongo
 
Yaani watu wasifanye yao kwa sababu ya Obama?
 
Akili mkichwa mkuu! kama unafanya kazi city centre basi ni bora kuugua tu siku hiyo maana kutakua na foleni ya kufa mtu katika hizo siku mbili. Ukiongezea na barabara zetu za kupita juu kwa juu basi hali ya usafiri itakuwa mbaya sana.

Kwa nini wasitangaze tu kuwa jumatatu na jumanne iwe mapumziko kwa watumishi wa umma? Maana hii sasa ni kutafutana ubaya na mwajiri!
 
Yaani watu wasifanye yao kwa sababu ya Obama?

Inasemekana rais wa marekani ndo rais wa afrika yote. Sijawahi kusikia haya yakifanyika nchi za ulaya anakotembelea mara kwa mara. Tukubali tu kwamba afrika ni watumwa kupitia watawala wetu.
 
Wangekuwa na uezo, naona hata wa Dar es Salaam wangewahamishia Morogoro kwa muda.....
 
Wangekuwa na uezo, naona hata wa Dar es Salaam wangewahamishia Morogoro kwa muda.....
kama walivyohamishwa wachuuzi mjini eh!?
alafu ukiwaona wanavyoliongelea suala la kuhamishana yaani utacheka na kujua kuwa tuna uhaba wa fikra!
 
si watangaze kuwa holiday week kabisa ili watu watulie majumbani? na kova akamalizia kuwa tuwe wakarimu, mgeni akiacha simu kwenye tax mpelekee kwenye hotel uliomwacha.
 
Inasemekana rais wa marekani ndo rais wa afrika yote. Sijawahi kusikia haya yakifanyika nchi za ulaya anakotembelea mara kwa mara. Tukubali tu kwamba afrika ni watumwa kupitia watawala wetu.

Huo ni zaidi ya utumwa. Kwa sababu anazungumza kinadharia tu

Angetueleza watu wote wanaoingia ni wangapi, na Dar es Salaam ina nafasi ya wageni wangapi wa hadhi gani
 
Wangekuwa na uezo, naona hata wa Dar es Salaam wangewahamishia Morogoro kwa muda.....
Kwa mwendo huu, hakika wangeliweza hilo wangelifanya. Leo nimeshuhudia vijana kituo cha basi pale karibu na Helenic Club wakiingizwa kwenye Canter...mie nikajua ni majeruhi wa ajali kumbe ni Safisha Jiji ujio wa BHO
 
Back
Top Bottom