Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama

Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama

Warus na wachina wanajimudu kijesh kiakili na wanamisimamo yao kama nchi unazani ni huu upuuzi wa viongozi wetu? Wanaoweza kupiga magoti kwa obama
 
Kwani obama anakuja kwa ajili ya hayo mambo.........................yeye akija mwaambieni tunataka nchi yako i counter-offer mikataba ili iwe minono zaidi ya ile tuliyoingia na wachina kwa ajili ya madini na gas.....mambo mengine ni kumpigia mbuzi gitaaaaa
 
si watangaze kuwa holiday week kabisa ili watu watulie majumbani? na kova akamalizia kuwa tuwe wakarimu, mgeni akiacha simu kwenye tax mpelekee kwenye hotel uliomwacha.

Wakenya mwaka 2008 walikuwa na Obama day ambayo ilikuwa ni siku ya mapumziko kisa tu kachaguliwa kuwa rais wa Marekani.

Ni ujinga wa juu kabisa kwa sababu hata huko ambako alichaguliwa kuwa rais siku hiyo wala kesho yake haikuwa siku ya mapumziko kusherehekea ushindi wake.

Obama Day

Obama Day was a national holiday celebrated in Kenya on November 6, 2008, in honor of Barack Obama's victory in the United States presidential election, 2008.[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP]

Shortly after the U.S. election result was announced, Kenyan president Mwai Kibaki declared the holiday, because Obama's father, Barack Obama, Sr., was Kenyan
 
hv ingekuwa ni chadema isingekuwa hivi eeee! akili za viroba na ganja bhana

Huu ni ujinga
umeshawatafuna viongozi wetu vyakutosha na bado wataendelea kuwa
mamburura mpaka wanaingia kaburini.Haiwezekani nchi yetu wenyewe halafu
tuwe watumwa kwa mtu ambaye hana manufaa kwa watoto wa kulima.Hawa
mwisho wao 2015
 
Jamani au macho yangu..Rais Kagame na Kabila sijaona kama sehemu ya marais watakao hudhuria mkutano huo au..
 
Huo ni zaidi ya utumwa. Kwa sababu anazungumza kinadharia tu

Angetueleza watu wote wanaoingia ni wangapi, na Dar es Salaam ina nafasi ya wageni wangapi wa hadhi gani

Sijui ni lini na sisi watu wenye ngozi nyeusi na nywele nyeusi na ngozi ngumu na nywele ngumu na akili ngumu tutapa uhuru kamili?
 
Kwa mwendo huu, hakika wangeliweza hilo wangelifanya. Leo nimeshuhudia vijana kituo cha basi pale karibu na Helenic Club wakiingizwa kwenye Canter...mie nikajua ni majeruhi wa ajali kumbe ni Safisha Jiji ujio wa BHO

Ona sasa, hiyo ni sawa kweli? Na mkuu wa mkoa bila aibu anasema kuwa hayo hayahusiani na ujio huo! Time will tell kama ni ukweli....
 
Kwa mwendo huu, hakika wangeliweza hilo wangelifanya. Leo nimeshuhudia vijana kituo cha basi pale karibu na Helenic Club wakiingizwa kwenye Canter...mie nikajua ni majeruhi wa ajali kumbe ni Safisha Jiji ujio wa BHO
wataamishwa wengi tena kwa kipigo kizito
 
Kama tumeambiwa tusiende mjini (na tusije Dar) si ingetangazwa basi ni 'public holiday' ili tukae nyumbani kabisa? Hivi ratiba ya ziara yake imeshatoka? Je huku kwetu Mbagala atafika? Akija tutampeleka Mbagala Kizuiani, Zakhem, Kwa nyoka, Mbagala kuu, Charambe, Nzasa, Mbande, Magenge 20, Kingugi, Kibonde Maji na Kwa Kisauti!
 
Kama tumeambiwa tusiende mjini (na tusije Dar) si ingetangazwa basi ni 'public holiday' ili tukae nyumbani kabisa? Hivi ratiba ya ziara yake imeshatoka? Je huku kwetu Mbagala atafika? Akija tutampeleka Mbagala Kizuiani, Zakhem, Kwa nyoka, Mbagala kuu, Charambe, Nzasa, Mbande, Magenge 20, Kingugi, Kibonde Maji na Kwa Kisauti!

hiyo ndo ratiba yake!!!!!u can see kwamba mbagala haipo

  • July 1 with a meeting with President JK, who will host a state dinner that evening for the US leader and First Lady Michelle Obama
  • On the same day (July 1) he will speak in Dar es Salaam with a group of business leaders from several African countries and from the United States
  • July 2 Mr & Mrs Obama will lay a wreath at the site of the 1998 US embassy bombing and then he will speak at the Ubungo power plant on US support for energy initiatives in Africa.
  • On Friday, July 2, Mrs Obama will participate in an African First Ladies' Summit on the theme of investing in women. Laura Bush, wife of former US President George W Bush, will also attend this event.
  • The Obamas are scheduled to depart Tanzania to return to Washington late in the day on July 2


This is according to the Mr. Ben
Rhodes, a spokesman for the US National Security Council.

 
Ina maana hata vihotel vyetu huku Sinza vimejaa!! Sasa tutaenda wapi, doh
 
huu ni upumbavu, kwann akifika airport asipande chopa maalum hadi ikulu? wale vibaraka wake wapande mabasi spesho kama 20 hvi. hii ingesaidia kuondoa usumbufu town, viongozi wetu c wabunifu. mbona obama akiwa usa anatumia chopa hadi ikulu kwake!
 
Back
Top Bottom