Meli ya MV Skagit yazama

Meli ya MV Skagit yazama

ndiyo maana hata ma-meli ya iran yanapewa vibali kutumia vya huku nchini kwetu

maladministration of our government, very weak and careless government
 
Mungu awaokoe katika wimbi hili la ajari tunawaombea wapate kuokolewa
 
serikali dhaifu waziri atasema(SERIKALI IMEJIPANGA AJALI KAMA HII ISITOKEE TENA)huku kila kukicha zinaua raia
 
poleni sana waZNZ...ila jukumu la kuokoa inabidi muwaachie waBara,iyo shughuli inaitaji watu wakakamavu..
 
Hivi tunavyozungumza Meli MV. Skaget iliyokuwa inaelekea Zanzibar ikiwa imebeba abiria zaidi ya 200 inazama Zanzibar.
 
Kumbe hata meli zinazidiwa na upepo, mi nilidhani mashua tu, au kulikuwa na mawimbi ya kitafranitafrani


Yeh inawezekana .. hata hivo habari hizo nimezipata kutoka kwa mzenji flani... huko huko TZN
 
BBCAfricaHYS Confirmed that a ferry travelling from Dar to Zanzibar capsized. Rescue effort on-going. Reported 220 on board #zanzibar
 
Last edited by a moderator:
Hapana ni SeaGull sio hio uliyotaja, au ni jina lingine? Kuna thread inaripoti tayari
 
PIcha hizi zilipigwa mapema na abiria aliyekua angani kwenye ndege baada ya pilot kuspot hiyo meli

0
 
Mtumeeee
Selikali hapa inapaswa kuwajibika Kuanzia Waziri hadi Takataka nyingine zinazo husika... Sumatra nanyie Muwajibike Kwanini muache Meli mbovu ziendelee kusafirisha Abiria?
 
Aerial pixs.. utaona bbadhi ya abiria wakiwa kwenye maboya

0
 
Mh jana niliona taarifa ya habari kuwa ilivutwa sasa kama ilianza tena safari leo, watakuwa wamefanya makusudi kabisa .

Tajiri na wahusika wa meli hii ni wazi watakuwa na kesi ya kujibu ya mauaji ya makusudi.
 
Acha ujinga, nazungumzia upepo ulivyokuwa mkali kwetu, nikifananisha na huyo aliyesema kulikuwa na upepo mkali, pengine bahari ilichafuka, tibuka, so kama sikuwa karibu sana na bahari unafikiri suala la Mimi kuappriciate kulikuwa na upepo mkali ningelifananisha na niliouona wapi leo hii?!
watu wanajadili vitu vya maana kama ubovu wa meli we unatangaza eti nguo zimekauka nani ana nguo?
 
Back
Top Bottom