Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,723
- 284,662
Pamoja na mechi ya Azam vs Yanga kutangazwa kuliko vita vya Iran lakini mwitikio wake imekuwa Duni mno, Hakuna watu uwanjani na Wala ufuatiliaji wake kwenye TV ni kiduchu mno.
Wachunguzi wa Mambo wanaeleza kwamba Tayari wananchi washaanza kuamka na kuachana na Mambo yaliyotumika kuwapumbaza
Hongereni sana Wananchi kwa kushituka, Japo kwa kuchelewa
Better late than Never
Wachunguzi wa Mambo wanaeleza kwamba Tayari wananchi washaanza kuamka na kuachana na Mambo yaliyotumika kuwapumbaza
Hongereni sana Wananchi kwa kushituka, Japo kwa kuchelewa
Better late than Never