Mdada, weka sifa kuu ya mume umtakae

Mdada, weka sifa kuu ya mume umtakae

Napenda Mume wangu awe mcha Mungu mwenye mapenz ya dhat.mshiko Muhimu pia awe na hela
 
Najua mtoa mada kasema SIFA moja ila nitaomba niseme zaidi ili kueleweka ....i hope si mthamini huu. ...na ili kujifunza vizuri kwanza lazima ukumbuke mwanamke ni binadamu haki unazostahili wewe kama binadamu ndivyo an azostahili yeye pia. So basically wanawake wote wanapenda
-kupendwa/kujali =k. m Kumpa pesa za matumizi yake, kumjali wakati wa ugonjwa na hali ya ujauzito. ...
-kuthaminiwa=hapa inahusika na kupenda kumsikiliza (wanawake ni watu wa details na very emotional)hivyo kumsikiliza inalipa. Wanapenda mthamini michango yao
-kuheshimiwa =hii inajumuishwa namna ya uongeaji wako siyo unaongea naye kama unaongea na mtu asiyefaa, pia siyo kumlinganisha na mwanamke malaya au mchepuko, kumweshimu pia inajumuishwa na wewe mwanaume kutokuvua ch**pi yako kwa wanawake huko nje ili wanawake wengine wakutumie! !!
-kulindwa =to feel secured akitembea na wewe anajiona yuko safe.
SASA MIND YOU kuna mengineyo hayo ni basic. ...hapo kwenye mengineyo ndiyo tunatofautiana sijui mrefu, kifua ka nini. ...e.t.c
 
Najua mtoa mada kasema SIFA moja ila nitaomba niseme zaidi ili kueleweka ....i hope si mthamini huu. ...na ili kujifunza vizuri kwanza lazima ukumbuke mwanamke ni binadamu haki unazostahili wewe kama binadamu ndivyo an azostahili yeye pia. So basically wanawake wote wanapenda
-kupendwa/kujali =k. m Kumpa pesa za matumizi yake, kumjali wakati wa ugonjwa na hali ya ujauzito. ...
-kuthaminiwa=hapa inahusika na kupenda kumsikiliza (wanawake ni watu wa details na very emotional)hivyo kumsikiliza inalipa. Wanapenda mthamini michango yao
-kuheshimiwa =hii inajumuishwa namna ya uongeaji wako siyo unaongea naye kama unaongea na mtu asiyefaa, pia siyo kumlinganisha na mwanamke malaya au mchepuko, kumweshimu pia inajumuishwa na wewe mwanaume kutokuvua ch**pi yako kwa wanawake huko nje ili wanawake wengine wakutumie! !!
-kulindwa =to feel secured akitembea na wewe anajiona yuko safe.
SASA MIND YOU kuna mengineyo hayo ni basic. ...hapo kwenye mengineyo ndiyo tunatofautiana sijui mrefu, kifua ka nini. ...e.t.c
Eti kumpa pesa ya matumizi nyie ni disabled people ama???
 
Najua mtoa mada kasema SIFA moja ila nitaomba niseme zaidi ili kueleweka ....i hope si mthamini huu. ...na ili kujifunza vizuri kwanza lazima ukumbuke mwanamke ni binadamu haki unazostahili wewe kama binadamu ndivyo an azostahili yeye pia. So basically wanawake wote wanapenda
-kupendwa/kujali =k. m Kumpa pesa za matumizi yake, kumjali wakati wa ugonjwa na hali ya ujauzito. ...
-kuthaminiwa=hapa inahusika na kupenda kumsikiliza (wanawake ni watu wa details na very emotional)hivyo kumsikiliza inalipa. Wanapenda mthamini michango yao
-kuheshimiwa =hii inajumuishwa namna ya uongeaji wako siyo unaongea naye kama unaongea na mtu asiyefaa, pia siyo kumlinganisha na mwanamke malaya au mchepuko, kumweshimu pia inajumuishwa na wewe mwanaume kutokuvua ch**pi yako kwa wanawake huko nje ili wanawake wengine wakutumie! !!
-kulindwa =to feel secured akitembea na wewe anajiona yuko safe.
SASA MIND YOU kuna mengineyo hayo ni basic. ...hapo kwenye mengineyo ndiyo tunatofautiana sijui mrefu, kifua ka nini. ...e.t.c
nilijua itakuwa ngumu kutaja sifa moja..maana lazima kurasa kama kumi hivi zijae...
 
Najua mtoa mada kasema SIFA moja ila nitaomba niseme zaidi ili kueleweka ....i hope si mthamini huu. ...na ili kujifunza vizuri kwanza lazima ukumbuke mwanamke ni binadamu haki unazostahili wewe kama binadamu ndivyo an azostahili yeye pia. So basically wanawake wote wanapenda
-kupendwa/kujali =k. m Kumpa pesa za matumizi yake, kumjali wakati wa ugonjwa na hali ya ujauzito. ...
-kuthaminiwa=hapa inahusika na kupenda kumsikiliza (wanawake ni watu wa details na very emotional)hivyo kumsikiliza inalipa. Wanapenda mthamini michango yao
-kuheshimiwa =hii inajumuishwa namna ya uongeaji wako siyo unaongea naye kama unaongea na mtu asiyefaa, pia siyo kumlinganisha na mwanamke malaya au mchepuko, kumweshimu pia inajumuishwa na wewe mwanaume kutokuvua ch**pi yako kwa wanawake huko nje ili wanawake wengine wakutumie! !!
-kulindwa =to feel secured akitembea na wewe anajiona yuko safe.
SASA MIND YOU kuna mengineyo hayo ni basic. ...hapo kwenye mengineyo ndiyo tunatofautiana sijui mrefu, kifua ka nini. ...e.t.c
Ila kutakua na sifa moja ambayo hiyo haipingik lzma umkatae mfano ana kila kitu lakini jambazi 😛 😛 😛 😀 😀 😀
 
Hata wao unadhani wanajua wanataka nini..??

Atakwambia intelligent nigga, tallest guy in the world, six packs, big pipe with big balls, charmig, na makorokoro meeengi,,..!

Atokee thatha kama huyo na mwenye pessa ila Eskimo, ana kitambi ka debe la mchanga, kauzu ka papaa mutoto ya ng'ombe cjui ndama

uone utakavyoonwa Nnya ilonyeshewa mvua., !!
Mkuu heshima nyingi sana kwako maana dah nmecheka sana kusema ukweli,popote ulipo kama hutojali kamata dompoo ntalipa.
 

Muliza swalii hawaelewi hao ndiyo maana wanapata shida Sana kwenye ndoa au mahusiano ndiyo maana mahusiano mengi yanavunjika mara ndoa Zina kua ndoano vurugu si vuruguu?
Nawapongeza Sana wanaume kwa sabababu ni wavumilivu na jasiri. Mwanaume ana naweza Kuishi na Mwanamke ambaye Hana kazi anakaa tuu nyumbani kwa Miaka mi5
Lakini Mwanamke Kuishi na Mwanaume ambaye Hana pesa au kazi ni siku 5
Umesema kweli mkuu
 
Back
Top Bottom