Bora hata kubuhu unipigie debe maana Nitakufa na hii bikiraMkuu unamwondoa mmoja unamweka mtoto hapo, kama Magu alivyomchakachua Abdallah Possi kumweka mama Salma.
Bora hata kubuhu unipigie debe maana Nitakufa na hii bikiraMkuu unamwondoa mmoja unamweka mtoto hapo, kama Magu alivyomchakachua Abdallah Possi kumweka mama Salma.
Utaweza tuuuMimi walishatimia wanne siruhusiwi tena kuongeza mkuu wangu...lol!
cc Raimundo
Bora hata kubuhu unipigie debe maana Nitakufa na hii bikira
Basi niikupeHiyo kubuhu utakufa nayo tu, hamna namna.
Basi niikupe
Nigga???As for me all i want is an intelligent nigga thats it
Eti kumpa pesa ya matumizi nyie ni disabled people ama???Najua mtoa mada kasema SIFA moja ila nitaomba niseme zaidi ili kueleweka ....i hope si mthamini huu. ...na ili kujifunza vizuri kwanza lazima ukumbuke mwanamke ni binadamu haki unazostahili wewe kama binadamu ndivyo an azostahili yeye pia. So basically wanawake wote wanapenda
-kupendwa/kujali =k. m Kumpa pesa za matumizi yake, kumjali wakati wa ugonjwa na hali ya ujauzito. ...
-kuthaminiwa=hapa inahusika na kupenda kumsikiliza (wanawake ni watu wa details na very emotional)hivyo kumsikiliza inalipa. Wanapenda mthamini michango yao
-kuheshimiwa =hii inajumuishwa namna ya uongeaji wako siyo unaongea naye kama unaongea na mtu asiyefaa, pia siyo kumlinganisha na mwanamke malaya au mchepuko, kumweshimu pia inajumuishwa na wewe mwanaume kutokuvua ch**pi yako kwa wanawake huko nje ili wanawake wengine wakutumie! !!
-kulindwa =to feel secured akitembea na wewe anajiona yuko safe.
SASA MIND YOU kuna mengineyo hayo ni basic. ...hapo kwenye mengineyo ndiyo tunatofautiana sijui mrefu, kifua ka nini. ...e.t.c
Awe na nyumba na gari za halali halfu awe na uezo wa kuingiza japo milion 1 tu kwa mwezi inatosha kwangu lkn awe na nyumba km hana hayo milion 1 kwa mwez haitoshiKama sh ngap?
nilijua itakuwa ngumu kutaja sifa moja..maana lazima kurasa kama kumi hivi zijae...Najua mtoa mada kasema SIFA moja ila nitaomba niseme zaidi ili kueleweka ....i hope si mthamini huu. ...na ili kujifunza vizuri kwanza lazima ukumbuke mwanamke ni binadamu haki unazostahili wewe kama binadamu ndivyo an azostahili yeye pia. So basically wanawake wote wanapenda
-kupendwa/kujali =k. m Kumpa pesa za matumizi yake, kumjali wakati wa ugonjwa na hali ya ujauzito. ...
-kuthaminiwa=hapa inahusika na kupenda kumsikiliza (wanawake ni watu wa details na very emotional)hivyo kumsikiliza inalipa. Wanapenda mthamini michango yao
-kuheshimiwa =hii inajumuishwa namna ya uongeaji wako siyo unaongea naye kama unaongea na mtu asiyefaa, pia siyo kumlinganisha na mwanamke malaya au mchepuko, kumweshimu pia inajumuishwa na wewe mwanaume kutokuvua ch**pi yako kwa wanawake huko nje ili wanawake wengine wakutumie! !!
-kulindwa =to feel secured akitembea na wewe anajiona yuko safe.
SASA MIND YOU kuna mengineyo hayo ni basic. ...hapo kwenye mengineyo ndiyo tunatofautiana sijui mrefu, kifua ka nini. ...e.t.c
Ila kutakua na sifa moja ambayo hiyo haipingik lzma umkatae mfano ana kila kitu lakini jambazi 😛 😛 😛 😀 😀 😀Najua mtoa mada kasema SIFA moja ila nitaomba niseme zaidi ili kueleweka ....i hope si mthamini huu. ...na ili kujifunza vizuri kwanza lazima ukumbuke mwanamke ni binadamu haki unazostahili wewe kama binadamu ndivyo an azostahili yeye pia. So basically wanawake wote wanapenda
-kupendwa/kujali =k. m Kumpa pesa za matumizi yake, kumjali wakati wa ugonjwa na hali ya ujauzito. ...
-kuthaminiwa=hapa inahusika na kupenda kumsikiliza (wanawake ni watu wa details na very emotional)hivyo kumsikiliza inalipa. Wanapenda mthamini michango yao
-kuheshimiwa =hii inajumuishwa namna ya uongeaji wako siyo unaongea naye kama unaongea na mtu asiyefaa, pia siyo kumlinganisha na mwanamke malaya au mchepuko, kumweshimu pia inajumuishwa na wewe mwanaume kutokuvua ch**pi yako kwa wanawake huko nje ili wanawake wengine wakutumie! !!
-kulindwa =to feel secured akitembea na wewe anajiona yuko safe.
SASA MIND YOU kuna mengineyo hayo ni basic. ...hapo kwenye mengineyo ndiyo tunatofautiana sijui mrefu, kifua ka nini. ...e.t.c
NjooAs for me all i want is an intelligent nigga thats it
We bado kivulana ukikua utajuaEti kumpa pesa ya matumizi nyie ni disabled people ama???
Hata wao unadhani wanajua wanataka nini..??
Atakwambia intelligent nigga, tallest guy in the world, six packs, big pipe with big balls, charmig, na makorokoro meeengi,,..!
Atokee thatha kama huyo na mwenye pessa ila Eskimo, ana kitambi ka debe la mchanga, kauzu ka papaa mutoto ya ng'ombe cjui ndama
uone utakavyoonwa Nnya ilonyeshewa mvua., !!
Mkuu heshima nyingi sana kwako maana dah nmecheka sana kusema ukweli,popote ulipo kama hutojali kamata dompoo ntalipa.Umesema kweli mkuu
Muliza swalii hawaelewi hao ndiyo maana wanapata shida Sana kwenye ndoa au mahusiano ndiyo maana mahusiano mengi yanavunjika mara ndoa Zina kua ndoano vurugu si vuruguu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nawapongeza Sana wanaume kwa sabababu ni wavumilivu na jasiri. Mwanaume ana naweza Kuishi na Mwanamke ambaye Hana kazi anakaa tuu nyumbani kwa Miaka mi5
Lakini Mwanamke Kuishi na Mwanaume ambaye Hana pesa au kazi ni siku 5