Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,730
- 2,392
Hahahahaaa, mtake radhi!Nilijua unamuuliza ipi?
Hahahahaaa, mtake radhi!Nilijua unamuuliza ipi?
Muliza swalii hawaelewi hao ndiyo maana wanapata shida Sana kwenye ndoa au mahusiano ndiyo maana mahusiano mengi yanavunjika mara ndoa Zina kua ndoano vurugu si vuruguu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nawapongeza Sana wanaume kwa sabababu ni wavumilivu na jasiri. Mwanaume ana naweza Kuishi na Mwanamke ambaye Hana kazi anakaa tuu nyumbani kwa Miaka mi5
Lakini Mwanamke Kuishi na Mwanaume ambaye Hana pesa au kazi ni siku 5
Hawa viumbe hatujui wanataka nini
As for me all i want is an intelligent nigga thats it
Napenda Mume wangu awe mcha Mungu mwenye mapenz ya dhat.mshiko Muhimu pia awe na hela
Nimependa hekima yako ya ujibuji maswali,barikiwaKama umenielewa nimesema hatuwezi tukafanana tunavyohitaji hivyo nikikwambia ninachotaka mimi huenda uliyenaye au utakayempata asiwe anahitaji hivyo.
Jitahidi tu kumsoma uliyenaye nina imani hutopata shida ya kujua nini anataka.
Ndio.Akili kubwa?
Ahsante sana nashukuruNimependa hekima yako ya ujibuji maswali,barikiwa
Wewe ATM ndo mmeo.Ataeweza kunihudumia kiuchumi