Bora hata kubuhu unipigie debe maana Nitakufa na hii bikira
hat yakwako tunaitakaWe women tunatofautana interets zetu kwa wanaume zetu na kila mwanamke anadesign yake ya mwanaume anaemuelewa zaidi ambae mwanaume uyo ukienda kwa mwanamke mwingne atakwambua hapana sijamuelewa so we are very very tofauti
Hahahahhahahahahhahahhahahaha jinga weweAiyaaa, imerudi lini boss wangu?
Aaahh wapi.Hapana mpwa, huyu cute b anataka kutugombanisha tu!
Aiyaaa, imerudi lini boss wangu?
Kubuh achana na huyo mcheza kamari atakuharibuMmmh, ngoja nijiridhishe kwanza mpwa, maana hizi kitu zinavunjaga undugu.
Kubuh achana na huyo mcheza kamari atakuharibu
Yaleee eti?Mimi najua ananizuga tu nijikute nimekukabidhi kwake eti ni kaka yako.
Ila kubh nimemiss mambo yetu yalee!
Yaleee eti?
Haya nitumie nimesubiri sana.
Pesa pesa pesa mkuuKama kichwa kinavojieleza,
Mdada ni ipi sifa kuu na muhimu zaidi kwako ambayo ukimkuta mwanaume mwenye sifa hiyo basi huta hangaika kutafuta mwingine.
Usiweke sifa zaidi ya moja kwasababu hapa tunataka moja ambayo wewe unahisi ni ya muhimu kuliko zote kwa mtu umtakae.
Karibuni.