Mambo mengi kuhb hadi naogopa.Sasa kbh, za siku?
Maana umepotea, toka mchukue Europa sijakuona tena.
Ila bado tupo sambamba
Mambo mengi kuhb hadi naogopa.Sasa kbh, za siku?
Maana umepotea, toka mchukue Europa sijakuona tena.
Hujaambiwa ufafanue, we toa sifa unayoihitajiWe women tunatofautana interets zetu kwa wanaume zetu na kila mwanamke anadesign yake ya mwanaume anaemuelewa zaidi ambae mwanaume uyo ukienda kwa mwanamke mwingne atakwambua hapana sijamuelewa so we are very very tofauti
Mambo mengi kuhb hadi naogopa.
Ila bado tupo sambamba
Nifanye basi nisiwe na wivuuPamoja sana.
Naelewa, ni wivu tu unanisumbuaga mara nyingi.
Nifanye basi nisiwe na wivuu
Kama Muumba wao aliwapa nyusi na wanang'oa zote na kujichora upya.. My friend hutokaa uweze kuwaelewa hawa mama zetu..

Wanawake wanajua wanataka mwanaume wa aina gani...tatizo Duniani hayupo labda Mars....

hahaha, duh! Mkuu ujue cute b mimi ni dadaangu kabsaaaaaa, mamaangu na mama yake wamechangia babu upande wa shangazi, babaake mjomba ni tumbo moja na bibi! Haiwezi hata kusimama.Mkuu unamwondoa mmoja unamweka mtoto hapo, kama Magu alivyomchakachua Abdallah Possi kumweka mama Salma.
Kama sh ngap?Me nataka mwenye hofu ya Mungu kwanza ila awe na hela 😉
Basi wape muongozo wadogo zakoMdogo wangumimi kwa upande wangu yalishapita hayo.

Magufuli anataka tuhamie nanjilinji na sisi hatutaki.![]()
![]()
Hivi upo jf hii?
Magufuli anataka tuhamie nanjilinji na sisi hatutaki.
Nipo!! huwa nakuja jf kwa kushtukiza afu narudu zangu kijijini
Mwongo huyo kubuhHa ha ha, ngoja aje aseme mwenyewe.