Mdada, weka sifa kuu ya mume umtakae

Mdada, weka sifa kuu ya mume umtakae


Muliza swalii hawaelewi hao ndiyo maana wanapata shida Sana kwenye ndoa au mahusiano ndiyo maana mahusiano mengi yanavunjika mara ndoa Zina kua ndoano vurugu si vuruguu?
Nawapongeza Sana wanaume kwa sabababu ni wavumilivu na jasiri. Mwanaume ana naweza Kuishi na Mwanamke ambaye Hana kazi anakaa tuu nyumbani kwa Miaka mi5
Lakini Mwanamke Kuishi na Mwanaume ambaye Hana pesa au kazi ni siku 5
 
Hata wao unadhani wanajua wanataka nini..??

Atakwambia intelligent nigga, tallest guy in the world, six packs, big pipe with big balls, charmig, na makorokoro meeengi,,..!

Atokee thatha kama huyo na mwenye pessa ila Eskimo, ana kitambi ka debe la mchanga, kauzu ka papaa mutoto ya ng'ombe cjui ndama

uone utakavyoonwa Nnya ilonyeshewa mvua., !!
mjinga kweli wewe
Eti big pipe and balls
 
Km mnajua tell us now
Kama umenielewa nimesema hatuwezi tukafanana tunavyohitaji hivyo nikikwambia ninachotaka mimi huenda uliyenaye au utakayempata asiwe anahitaji hivyo.

Jitahidi tu kumsoma uliyenaye nina imani hutopata shida ya kujua nini anataka.
 
Back
Top Bottom