WebPeter
Senior Member
- May 23, 2017
- 111
- 63


















Muliza swalii hawaelewi hao ndiyo maana wanapata shida Sana kwenye ndoa au mahusiano ndiyo maana mahusiano mengi yanavunjika mara ndoa Zina kua ndoano vurugu si vuruguu?
Nawapongeza Sana wanaume kwa sabababu ni wavumilivu na jasiri. Mwanaume ana naweza Kuishi na Mwanamke ambaye Hana kazi anakaa tuu nyumbani kwa Miaka mi5
Lakini Mwanamke Kuishi na Mwanaume ambaye Hana pesa au kazi ni siku 5