Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,769
- 3,644
AWE NA AKILI...namaanisha kichwa chake kiwe kinachemka vizuri,yaani nikikaa naye nusu saa tu niwe na cha kujifunza kutoka kwake.
Huyo ndio mwanaume nimtakaye!
Wacha weee...
AWE NA AKILI...namaanisha kichwa chake kiwe kinachemka vizuri,yaani nikikaa naye nusu saa tu niwe na cha kujifunza kutoka kwake.
Huyo ndio mwanaume nimtakaye!
Mwanaume ndie mwenye jukumu la kumtunza mkewe.
Muliza swalii hawaelewi hao ndiyo maana wanapata shida Sana kwenye ndoa au mahusiano ndiyo maana mahusiano mengi yanavunjika mara ndoa Zina kua ndoano vurugu si vuruguu?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nawapongeza Sana wanaume kwa sabababu ni wavumilivu na jasiri. Mwanaume ana naweza Kuishi na Mwanamke ambaye Hana kazi anakaa tuu nyumbani kwa Miaka mi5
Lakini Mwanamke Kuishi na Mwanaume ambaye Hana pesa au kazi ni siku 5
Aisee!![]()
![]()
![]()
Mkuu heshima nyingi sana kwako maana dah nmecheka sana kusema ukweli,popote ulipo kama hutojali kamata dompoo ntalipa.
Pombe ni wewe ulinifundisha kunywa.Uuuuwi, Raimundo unaskia hii? Lakini afadhali ya bangi asee, aliyekufundisha pombe ndiyo nina hasira nae balaa, amekuharibu mdogowangu unamea YAMAZAKI kama unakunya castle lite! Hasara
Ha ha ha ha ha bahili huyooo mchagaHapo nimemuelewa Raimundo tu.
Ha ha ha ha ha bahili huyooo mchaga
Ebu ntake radhi mwezi huu mtukufu unanisingizia mabalaa!Pombe ni wewe ulinifundisha kunywa.