Preciouss
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 339
- 278
Nimekubamba leoooo.'Be first to reply safi.Wakina dada mkuje huku
Nimekubamba leoooo.'Be first to reply safi.Wakina dada mkuje huku
Hujaelewa..kutake care!Asee
Here I amAs for me all i want is an intelligent nigga thats it
asante sana kuwaambia hao maana wanadhani kuwa wanawake wote wanafanana kumbe sivyoMmhh! Tunaeleweka bana tatizo mmeshajijengea kwamba wanawake hatujui nini tunataka.
Shida mnataka wanawake wote wafanane wanavyovitaka wakati haiwezekani kwa sababu hata nyie wanaume mpo wa kila aina.
Eti big balls!!!Hata wao unadhani wanajua wanataka nini..??
Atakwambia intelligent nigga, tallest guy in the world, six packs, big pipe with big balls, charmig, na makorokoro meeengi,,..!
Atokee thatha kama huyo na mwenye pessa ila Eskimo, ana kitambi ka debe la mchanga, kauzu ka papaa mutoto ya ng'ombe cjui ndama
uone utakavyoonwa Nnya ilonyeshewa mvua., !!




Kweli kabisaMmhh! Tunaeleweka bana tatizo mmeshajijengea kwamba wanawake hatujui nini tunataka.
Shida mnataka wanawake wote wafanane wanavyovitaka wakati haiwezekani kwa sababu hata nyie wanaume mpo wa kila aina.
Hebu nipe maujuzi ili niwafahamu vizuri.Hujataka kujua tu![]()
![]()
Wenyewe tu hawajui wanataka nini.Hata wao unadhani wanajua wanataka nini..??
Atakwambia intelligent nigga, tallest guy in the world, six packs, big pipe with big balls, charmig, na makorokoro meeengi,,..!
Atokee thatha kama huyo na mwenye pessa ila Eskimo, ana kitambi ka debe la mchanga, kauzu ka papaa mutoto ya ng'ombe cjui ndama
uone utakavyoonwa Nnya ilonyeshewa mvua., !!

Mdogo wanguNdo useme hapa sasa
mimi kwa upande wangu yalishapita hayo.