Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
- -
- sio mara ya kwanza unaleta huu mchezo wako kwamba ukianzisha topic lazima wote tukubali tu, otherwise utajaribu kuzunguka zunguka as if sisi wengine wote hapa ni wajinga, unakumbuka ile topic ya kikwete na kutojiamini?
- nimekuuliza time and time again ukweli wa hii habari, unajaribu kunizunguka na ujanja wako mwingi badala ya kujibu swali, what quote yangu has to do na wewe maane na sio wengine wote kwenye hii thread? Unaweza kunijibu hili swali kama wewe ni mkweli kama unavyodai? Acha utoto mkuu wewe uko wazi sana jina lako la kweli ni maane? Wewe huwaoni walio wazi humu kina mkandara na kitila?
Jina langu la kweli si issue. Ukitka ukweli zaidi ingia ndani ya research. Andika jina lako hapa na contact zako zote za ughaibuni na home!!!!!
- tarehe yangu ya kujiunga hapa inahusu vipi na mawazo yangu na wewe na mawazo yako? Halafu eti ndio unataka kuongelea inferioritism? Kweli mkuu unaelewa maana ya hili neno au mnakurupuka tu? Acha hiz bro kama huwezi kuleta ukweli wa habari yako wewe endelea na mawazo yako, lakini usitulazmishe wote hapa tuwe tunakubali tu kama wajinga, hakuna mtoto wako hapa wote sisi ni watuwazima, huna ukweli huna right to speak wala kumlaumu yoyote anayeuliza,
kwenye hii habari simply huna ukweli wa mada na kumhusu huyu mama, sisi hatuko hapa kuchafua majina ya viongozi bila sababu, sio tabia yetu hata siku moja mkuu, samahani kwa kukukwaza lakini umenishanganza sana kwamba from all the people kwenye hii thread wewe tu tena na mchango mmoja ndio umekwazika na kunirushia maneno ya chooni.
sauti ya umeme - fmes!
Tafadhali weka mchango wangu hapa kuhusu hiyo topic ya kikwete kutojiamini.
hizo ni double standards!!!! Sorry
Tafsiri ya either maneno ya chooni au ya bafuni unayo wewe. Ukweli ndio huo na kama unataka kufahamu zaidi nimesema kafanye research.
sauti ya umeme hainitishi. Ongezea radi. Usitutushie hapa. Hapa najikumbusha commands za ma field marshal jeshini!!!! Hapa si jeshini, we talk openly with democracy. Na sina mpango wa kufungua forum yangu kama unavyotaka. Nipo hapa hapa!!!!