Mchungaji Lwakatare Arudisha Yatima 250 Kwao

Mchungaji Getrude Rwakatare alikuwa maji ya kunde, sasa ametakata kwa pesa na wokovu. Pesa ni shetani, kama ni kweli anawarudisha yatima makwao, then shetani la pesa limesha mwingilia.
Nilipomuona kwenye siasa, nikajua ama anapeleka wokovu bungeni kwenda kuliokoa unge letu dhidi ya matukio ya ushirikina, ama uchungaji wake ni wa tamaa ya madaraka.
Aliwahi kuhubiri juu ya utajiri na kusema kusudio la Mungu kwa watu wake ni utajiri katika nchi ya maziwa na asali. Akasisitiza umasikini ni laana.
Hivyo yawezekana hao watoto yatima sasa yaonekana wamelaaniwa, hivyo ameamua kunawa mikono kwa kuwarudisha makwao wakafie mbele.
Tusiseme sana, ngoja tusubiri uthibitisho.

Sawa sawa kabisa mkuu Pasco, huyu mama ni Mkuu wa Shule,Mchungaji wa Kanisa lake,Mbunge na vile vile ni Dr.
Watu wana seema she is a jack of all trades.
Kwa wanaomuelewa she is an oppurtunist of the highest order.
Matokeo yake ni kuwa kila kitu kinaaza kuporomoka kwa sababu ya kukosa matunzo.Pale Mbezi St Mary,s kuna waalimu waliachia ngazi kwa kukosa mishahara.
 
Kwa wanaomuelewa she is an oppurtunist of the highest order.

- Not fair mkuu, bin-adam unawezaje kusonga mbele na maendeleo bila ya kuwa opportunists? Sema kuna u-opportunists wa aina mbali mbali lakini in this case kama ni kweli maana hii habari bado haina uhakika,

- Kama hii habari ni ya kweli basi Mama amefika mahali hawezi tena sasa either asaidiwe na serikali au wadau wengine, lakini mama amefanya ya kutosha na some of us we appreciate that, kwamba angalau amejaribu kuliko kujaribu kumchafua hapa bila sababu ya msingi!
 
Hivi ktk Crisis Situation Serikali haiwezi kuombwa kuchukua jukumu kwa kutumia pesa ya kodi? iwe kama bail out kuliko kuwarudisha hawa watoto makwao?
 
- Mkuu wangu hivi unajua bongo tuna watoto wangapi ambao hawana mbele wala nyuma, I meana hawa huyu mama hawafikii hata 0.1% ya namba yao mkuu ni wengi mno, sasa tunatumia kipimo gani kuwachukua wachache na kuwaacha wengine?

- Mkuu mke wangu ni director wa Charity moja inayowasomesha watoto wasiojiweza huko Musoma, ambayo imewasomesha watoto wengi sana na kuwapatia maisha na hope, lakini huwa sometimes ananiambia matatizo ya kuwachagua yaani yupi apewe na yupi asipewe, anasema huwa ni the worst nightmare kwa shirika lake kwenye hili taifa tuna kazi kubwa sana, halafu sometimes kuna viongzi wetu kujaribu kupenyeza ndugu zao ambao hawana shida kabisa I mean it is just incredible!
 
- Not fair mkuu, bin-adam unawezaje kusonga mbele na maendeleo bila ya kuwa opportunists? Sema kuna u-opportunists wa aina mbali mbali lakini in this case kama ni kweli maana hii habari bado haina uhakika,

- Kama hii habari ni ya kweli basi Mama amefika mahali hawezi tena sasa either asaidiwe na serikali au wadau wengine, lakini mama amefanya ya kutosha na some of us we appreciate that, kwamba angalau amejaribu kuliko kujaribu kumchafua hapa bila sababu ya msingi!
Mkuu FMES wala sisemi hivyo kwa nia mbaya, lakini kama uko Dar tembelea miradi yake yote,na utaona uozo unaoendelea.
Mimi watoto wangu wote wamesoma St Mary's Mbezi.Shule ilikuwa nzuri sana lakini ni hapo zamani mama alipokuwa anaiendesha yeye mwenyewe.Sasa hivi walimu nao wanataka tuition(au kuwalipa hela ya pembeni ili watoto wasome).Wale waalimu serious wote wakatoweka.

Sina matatizo kama mtu anataka kuanzisha miradi mingi, na kama ulivyo sema mkuu FMES oppurtunism ndio drive ya maendeleo, lakini watu wanaoathirika na kutoendelea kwa miradi hii inabidi wawe macho na mama huyu.
Kwa wale waliopeleka watoto Yatima wako square one, si vyema kuwapa watu matumaini , wewe ukapata misaada ya hiyo miradi na kuingia mitini, haileti picha nzuri sana.
 
Kwa wale waliopeleka watoto Yatima wako square one, si vyema kuwapa watu matumaini , wewe ukapata misaada ya hiyo miradi na kuingia mitini, haileti picha nzuri sana.

- Mkuu so far hii habari bado haina uhakika, na besides kama kweli unaamini huyu Mama Rwakatare amefuja mali au misaada aliyowahi kupewa, basi labda uiweke hapa ili tuwe na uhakika na tunachokiongelea, alikuwa akipewa misaada na nani na kiasi gani? Na una uhakika gani kuwa haikutumika inavyotakiwa, sikatai hoja zako ila jaribu kwenda deep kidogo na facts!
 
- Mkuu so far hii habari bado haina uhakika, na besides kama kweli unaamini huyu Mama Rwakatare amefuja mali au misaada aliyowahi kupewa, basi labda uiweke hapa ili tuwe na uhakika na tunachokiongelea, alikuwa akipewa misaada na nani na kiasi gani? Na una uhakika gani kuwa haikutumika inavyotakiwa, sikatai hoja zako ila jaribu kwenda deep kidogo na facts!

Mkuu FMES thanks,kwa jinsi mambo yalivyo huo ndio mwelekeo wa miradi hiyo, data zitatafutwa, pls stay posted
 
Mkuu FMES thanks,kwa jinsi mambo yalivyo huo ndio mwelekeo wa miradi hiyo, data zitatafutwa, pls stay posted

Gwakisa,
Ahadi ni deni, unaweza kutuambia labda tusubiri hizo data kwa muda gani? Ni muhimu kutuambia itachukua muda gani ili tuweze kuweka kumbukumbu zetu sawa na kuweza kukukumbusha kama utakuwa umesahau.
 
Gwakisa,
Ahadi ni deni, unaweza kutuambia labda tusubiri hizo data kwa muda gani? Ni muhimu kutuambia itachukua muda gani ili tuweze kuweka kumbukumbu zetu sawa na kuweza kukukumbusha kama utakuwa umesahau.

Ha ha ha..

Muzee unakaba..!!

Lakini hii nadhani itasaidia kurudisha heshima ya JF, maana below-belts posts na thread-mjinga zimekuwa nyingi mno
 
Baba Gwakisa, naweza sema sifahamu sana habari za namna ya hizi shule kuendeshwa lakini nimepata kusikia habari miaka fulani nyuma nikiwa na watu wanaofanya pale na wengine wa ndani kidogo!
Kuna wakati nadhani alirudisha watoto kwao kwasababu baada ya kuchunguza ikagundulika sio yatima kweli kwa maana baadhi ya wafanyakazi na jamaa wengine wa karibu wakatumia ujanja ujanja kuingiza watu just b'se waitwe wanasoma St.Mary's International - so naweza mkubalia FMES kwamba it's quite hard to tell who is real orphans taking in mind people are not trustworthy when it comes for money.
Kingine pia nilichoelezwa, kwamfano pale Tabata - ilifika mama anatoa fungu fulani kwaajili ya kulipa wafanyakazi lakini either by being busy or by simply trusting her people, the money could not reach to the desired personnels without being deducted. Na wakati mwingine chakula kwa watoto, sasa ukimlaumu mama pekee genuinly kwa hili utakuwa humtendei haki kama watendaji wanashindwa kuperform.
Moreover tunashida Tanzania watu si waaminifu hata kwenye taasisi za kidini na unajua kwa mitazamo ya kiimani ambayo huyu mama yupo si rahisi pia kusema kwamfano mtu anayemwamini katika imani halipi vizuri wafanyakazi.
Nisiwachoshe, wacha tupate kwa anayefahamu zaidi kwanini wanarudishwa kwao kama ni kweli? And what is her reaction? Sasa nimekuwa mbali kidogo sipati taarifa.


Mkuu FMES wala sisemi hivyo kwa nia mbaya, lakini kama uko Dar tembelea miradi yake yote,na utaona uozo unaoendelea.
Mimi watoto wangu wote wamesoma St Mary's Mbezi.Shule ilikuwa nzuri sana lakini ni hapo zamani mama alipokuwa anaiendesha yeye mwenyewe.Sasa hivi walimu nao wanataka tuition(au kuwalipa hela ya pembeni ili watoto wasome).Wale waalimu serious wote wakatoweka.

Sina matatizo kama mtu anataka kuanzisha miradi mingi, na kama ulivyo sema mkuu FMES oppurtunism ndio drive ya maendeleo, lakini watu wanaoathirika na kutoendelea kwa miradi hii inabidi wawe macho na mama huyu.
Kwa wale waliopeleka watoto Yatima wako square one, si vyema kuwapa watu matumaini , wewe ukapata misaada ya hiyo miradi na kuingia mitini, haileti picha nzuri sana.
 
- Anaye-miss the point ni wewe mkuu, maana kwanza hii habari haina uhakika na hata ikiwa na uhakika unaulizwa ni sheria ipi ya jamhuri iliyovunjwa na Mama Rwakatare mpaka ukarukia hapa JF na kujaribu kumuharibia jina?

- Wewe kama una ubavu kwa nini usiwachukue hao watoto? Yeye amefika mahali ameamua kwenda njia tofauti sasa what is wrong with that? Labda ufafanue zaidi mkuu bado hueleweki eti? Unless un some personal ishus na huyu mama, au?

for your information I support 20 of those orphans, and i came here to ask if someone else knows any information about it, wewe tatizo lako unapoliticize kitu ambacho ni serious, mimi nimesema kwamba kama yeye anatelekeza yatima kwa ajili ya kuendeleza miradi yake mingine, hapo ndiyo i have a problem with it.
if you think its right to just return the sick ones mikoani to make way for other projects then thats fine, you are entitled to that opinion, just as I am entitled to the opposite opinion to that notion.
Kama mtu ulikuwa huwezi kuwaangalia dont take them, siyo turn them into a temporary project.
Jambo Forum is a forum of discussions, issues and information, na hamna mntu anamharibia mtu jina kwa kuuliza...na wote humu mna uhuru wa kuwa na opinion juu ya huyu mama, positive or negative...
 
Thred ya kwanza ilikuwa kutafuta mawazo na utafiti ili kupata usahihi na akauliza MWENYE KUJUA ZAIDI AMFAHAMISHE, sasa mbona tunaleta mengine, "STUDENTS FAIL EXAMS BECAUSE THEY DONT ANSWER QUESTIONS"
wengi mmepoteza hoja, yeye aliuliza kama habari ni kweli, tuanze kwa kujibu hilo halafu tuchangie positively sio kulaumu tu.
 
Pole sana for your concern.Lakini neno la Mungu liko wazi,'Utaifahamu kweli nayo kweli itakuweka huru."Sasa hiyo kweli unaijuaje?Hapa napo neno la Mungu liko wazi nalo linasema "Huyo Roho atawafundisha na kuwakumbusha yote."Ni wazi kwa hiyo kwamba Roho mtakatifu ndiye anayefundisha na kukumbusha mambo ya rohoni.Turudi kwa huyu mama sasa.Ni kwamba, mambo yake yako wazi kwa mtu wa rohoni.Mtawafahamu kwa matendo yao!Hapa Roho anahitajika ili kuyaona.Ni yapi hayo?

*Ukimuangalia mama huyu kwa makini utagundua kwamba hana kiasi.Watu wa Mungu wana Kiasi.Nguo anazovaa zinawafaa watu wa duniani sio wachungaji!Ni ghali mno.Mbona kuna wahitaji wengi?
*Mtumishi wa Mungu anaonywa kutotumikia mabwana wawili,kwa maana ya Mungu na kitu kingine.Mama huyu sasa anatumikia mabwana watatu, serikali,Mali na Mungu.Hii ni kinyume na mapenzi ya Mungu.Kwa maana neno la Mungu linasema, utamwacha huyu na kushikamana na huyu.
*Huduma ya mama huyu imesimama zaidi katika miujiza!Haya sio mapenzi ya Mungu.Miujiza iwe matokeo ya kazi tu,isiwe ndio kipao mbele.Wakorintho Mtume Paulo aliwakemea kwa ajili ya upumbavu huo,kupenda miujiza.Alisema kuhutubu,yaani kuhubiri ni bora zaidi!
*Washirika wa huyu mama kibiashara hakuna anayewafahamu sawasawa,hii inaleta mashaka!Siku hizi kuna washirika wasio faa kibiashara.
*Kibiblia,mwanamke haruhusiwi kunena kanisani,wala kuwa Mchungaji.Hili jambo ni controversial katika kizazi cha sasa kilichopotoka,lakini ni sahihi kibiblia.Ukiona dhehebu linasimika mwanamke kuwa mchungaji,jua Mungu wa kweli haabudiwi hapo.
*Huyu mama alishawahi kuolewa.Sasa Mume wake yuko wapi?Ni sahihi kabisa kuuliza hivyo, kwa vile yeye ni mtumishi wa Mungu!Kama angekuwa mtu wa kawaida tusingejali.
*huduma anazofanya katika dhehebu lake hazimpi Mungu utukufu.Mambo ya Misukule nakadhalika.Hakuitiwa hizo.Yeye kaitiwa kuokoa roho za watu ili ziende mbinguni.Mbona hata waganga wa kienyeji wanafanya hayo hayo?
Sasa tukijumuisha mambo yote hayo hapo juu, sishangai hilo unaloliongelea la kuchezea maisha ya hao yatima.Mbona hata hivyo haonekani kama kweli ana mtumikia Mungu?
 
Last edited:
for your information I support 20 of those orphans, and i came here to ask if someone else knows any information about it, wewe tatizo lako unapoliticize kitu ambacho ni serious, mimi nimesema kwamba kama yeye anatelekeza yatima kwa ajili ya kuendeleza miradi yake mingine, hapo ndiyo i have a problem with it.
if you think its right to just return the sick ones mikoani to make way for other projects then thats fine, you are entitled to that opinion, just as I am entitled to the opposite opinion to that notion.
Kama mtu ulikuwa huwezi kuwaangalia dont take them, siyo turn them into a temporary project.
Jambo Forum is a forum of discussions, issues and information, na hamna mntu anamharibia mtu jina kwa kuuliza...na wote humu mna uhuru wa kuwa na opinion juu ya huyu mama, positive or negative...

- Tulitaka kwanza kujua ukweli wa hii habari ambao so far hujauleta, ndio maana tukasema una haribu jina la mama maaana habari haina uhakika, je unao sasa utuonyeshe mkuu badala ya hizi ngonjera?
 
Mimi nimehusika sana na hiyo shule ya yatima itwayo Bright Future, Tabata. Wakati Mch Lwakatare anifungua alipitia wabunge na kuwaomba walete watoto yatima kutoka majimboni kwao. Alisema atawasomesha bure mpaka University. Wajanja wachache, (siyo wabunge )walileeta watoto ambayo siyo yatima na walipogundua waliwarudisha kwao.
Yatima kamili waliendelea lakini Mch Lwakatare hakutaka watoto wathirika au wanayoumwaumwa na wengi walirudishwa kwao.Safari hii ana mpango wakufungua University pale Tabata na kuhamisha yatima waliyobaki Mtoni Kijichi.Ameamua kurudisha kupunguza watoto kwa kisingizio wana ukimwi au wanauguaugua bila hata kuwarifu watu aliyowaomba kuwaleta.Amewaweka kwenye mabasi na watu ambo hawajui walikotoka.Watoto wengi wadogo baada yakukaa pale miaka mitatu hawakumbuki kwao.
Mimi nashangaa mtu kukusanya watoto halafu hutaki waugue. Siku hizi mayatima wengi wametokana na ukimwi kwa hiyo badhi watakuwa waathirika.Wengi waliyorudishwa ni wazima wa afya!!
Angetoa taarifa ka wabunge au wahusika ili wafanye utaratibu mungine kutafuta shule kwa hao watoto.Walikua na matumaini ya kusoma sasa watakua affected psychologically.
 
Mimi nimehusika sana na hiyo shule ya yatima itwayo Bright Future, Tabata. Wakati Mch Lwakatare anifungua alipitia wabunge na kuwaomba walete watoto yatima kutoka majimboni kwao. Alisema atawasomesha bure mpaka University. Wajanja wachache, (siyo wabunge )walileeta watoto ambayo siyo yatima na walipogundua waliwarudisha kwao.
Yatima kamili waliendelea lakini Mch Lwakatare hakutaka watoto wathirika au wanayoumwaumwa na wengi walirudishwa kwao.Safari hii ana mpango wakufungua University pale Tabata na kuhamisha yatima waliyobaki Mtoni Kijichi.Ameamua kurudisha kupunguza watoto kwa kisingizio wana ukimwi au wanauguaugua bila hata kuwarifu watu aliyowaomba kuwaleta.Amewaweka kwenye mabasi na watu ambo hawajui walikotoka.Watoto wengi wadogo baada yakukaa pale miaka mitatu hawakumbuki kwao.
Mimi nashangaa mtu kukusanya watoto halafu hutaki waugue. Siku hizi mayatima wengi wametokana na ukimwi kwa hiyo badhi watakuwa waathirika.Wengi waliyorudishwa ni wazima wa afya!!
Angetoa taarifa ka wabunge au wahusika ili wafanye utaratibu mungine kutafuta shule kwa hao watoto.Walikua na matumaini ya kusoma sasa watakua affected psychologically.

On moral grounds- kama amewarudisha kwa vile wameugua..this is not fair! Je unampenda tu mtoto akiwa na afya njema?

Kwa nini asiwapeleke hospitali?

Kwa nini aliwachukua in the first place?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom