Mchungaji Lwakatare Arudisha Yatima 250 Kwao

Japo sina saabu za msingi sana za kutom-mind mama huyu, mimi binafsi nahisi something is not right katika shughuli zake. Lazima kuna mahala anajificha, nahisi ni kanisani. Though najua ni kawaida kwa binadamu kutaka 2 baada ya kupata 1, na kutaka 3 baada ya kupata 2 na kuendelea.

SAsa huyu ni mtanzania kaanzisha shule na pia inakwenda kuwa UNi, jamani mlitaka iwe inamilikiwa na mwekezaji kutoka wapi sasa?? Mbona tunakuwa tena hatuungi mkono Mtanzania mzalendo akileta jambo jema???

Kwa hiyo kila mtanzania akiwekeza ni BOT?????

Yeye kuwa nyuma ya mtu or something kama kanisa ulitaka fedha zitoke nchini au ziingie nchini??

Ndugu yangu kama ni hela za kanisa kama unavyojua wewe huyu mama nafanya kazi kubwa sana to make fundraisation abroad ni kazi kubwa sana kwani anazunguka makanisani kwa kwenda mbele. Mungu ammbariki.
 
Kwa wale waliokuwa wadogo miaka ya 80 ngoja niwape historia ya Mama Lwakatare, alikuwa na NGO yeye na mjaluo mmoja simkumbuki jina wakawapiga picha watoto wa kimaskini kama 200 picha zikaenda Marekani kila mwaka zikawa zinatumwa mamilioni ya fedha kwa ajili ya matunzo,huduma ya afya na elimu ya watoto wale kutoka makanisa ya kule.Sasa Lwakatare na mshirika wake wakagombania mgao ikawa scandal kubwa sana na yule jamaa akatengenezewa kesi kuwa si raia akafungwa, nadhani pia alifukuzwa nchini.
 
Wewe Preacher,nashukuru kwa mchango wako hapo juu,na unaelekea una mawazo mazuri sana,na pia kwa mtizamo wangu wewe ni mpendwa,nisamehe kwa nitakalo changia,kwenye kuchangia inakuwa vizuri kama utatumia lugha moja kulikoni,kutumia lugha mbili tofauti zitakazo leta maana tofauti,kwa lugha ya kiingereza huwezi kutumia neno "Fragile" kama ulivyo imanisha hapo juu,neno ambalo lingeleta maana lingekuwa "Vulnerable",mpendwa bwana wa mabwana azidi kukutia ndugu,na kukufanikisha kwa kila jambo,ubarikiwe kwa kila jambo,shalom.
 
Hi habari ni tetesi tu! wenye data walete.

I not a fun wa huyu mama (dont ask me why, i have reasons), lakini anajadilika, kama kawarudisha kweli, au laa.

Cost benefit ya kuwatunza na kuwasomesha OVC 200 St. mary, ada sh ngapi? au hawalipii ada/ kama hawalipii ada wanatumia ada ya wazazi wa watoto wengine kusoma? je yeye atathubutu kusema anawasomesha na kuwatunza? THINK OUTSIDE THE POT - kwa maana ningekuwa box ungelichana!!!
 
MjasiriamaliShupavu

I take her a very strong, future-focused and energetic woman. Very few women dare to do it!

Namheshimu sana huyu mama. Whether kanisa liko kwenye kiwanja chake ama la, tunachotazama ni kwamba je watu wanapata nafasi ya kumwabudu Mungu wao hapo ndani?!..ishu ingekuwa kama anatumia kitabu chake binafsi kufundisha neno, na si Biblia! Pale kuna wasomi waelewa wazuri sana ambao ni waumini wake, na hawajuti kuwa kwake!

Juu ya hilo tamasha, ni namna fulani ya mchango ambao hao uliowataja wameamua kumtolea Mungu!..hawakushikiwa silaha!

Ni kama mchango wa hiari ambao unakuwa hauna limit ya juu ya kutoa!


Umenifurahisha sana na majibu yako hongera mimi umemaliza niliotaka kusema. Naongezea kuhusu ajira. Ajira ngapi za watanzania zimetokana na juhudi zake?
Naomba watu tuwe na upeo mkubwa wa kufikiri.
Hakuna anayenyimwa kununua kiwanja na kuanzisha kanisa hata akiliita jina lake watu wamuabudu Mungu na kumpokea Yesu na kutenda mema na kuanzisha miradi watu wajipatie ajira ili mradi havunji sheria za nchi.

Kuhusu tamasha mtu yeyote anaruhusiwa kufanya tamasha hata kwa kiingilio cha milioni hizo hela wakati mwingine zinarudi kuisaidia jamii yetu wala sio kwa ajili ya kufanyia starehe binafsi kama baadhi ya wasanii wetu wanapopata vijisenti wanavyotumbua na mabinti mwisho wa siku wanakua omba omba.
 
Ichunguzwe kama ni kweli Serikali imnyang'anye sehemu ile maana aliipata kwa kisingizio cha yatima na kuaminiwa kutokana na imani yake.Pia ni vema ajiuzulu Ubunge ikithibitika ni kweli amewahamisha wale watoto yatima.
 
wengi hawamjui huyu mama ni sawa na utukufu anaopewa bwana MENGI.lakini siku Rostam alipoeleza upande wa pili wa shilingi.Mengi hakurudi kujibu akaamua kuwatuma wafanyakazi wake.

Mama Rwakatare amekaa Marekani miaka nane akatengeneza NGO ya kusaidia Yatima na Wajane kupitia UKIMWI.HIZI PESA ni mali ya YATIMA NA WAJANE.

wako wengi wametumia njia ya UKIMWI mnakumbuka bilioni 49 zilizopotea kienyeji CRDB kwa jina la Mzee WETU MENGI?hadi sasa hakuna taarifa wala ripoti juu ya upotevu wa BILLION 49. karibu nusu ya pesa za watu wote wa Epa.

watu wanalia na KAGOBA iliyochukua BILIONI 40 huku wakisahau kuna BILIONI 49 hazijafanyiwa uchunguzi wowote hadi sasa.

Sorry off point; go straight.
1. mwizi/mdokozi
2. mwizi na mbadhilifu dhidi ya mali ya umma.
1=2?
 
I think watu mna miss point, Orphans ndiyo wanatunzwa na Taifa Lote, lakini kuwarudisha tu kwao kisa unataka kuanzisha University, I am concerned with that notion. I have confirmed this story already na baadhi wanaorudi hawana ndugu huko kwao, dont think sihusiki na kulea yatima, ila ukiwatreat kama comodities tu kuendeleza miradi yako, dont do it in the first place (you cant downsize orphans!!)...these are fragile people especially the sick ones that need more care than others....

Nadhani ni muhimu kuanza kampeni hapa ya kumtaka huyu mama awarudishe wale yatima wote pale kwenye estate ya bima...nashauri aendelee kuratibu kutunzwa kwao hadi hapo watakapoweza kumaliza standard seven...na kuwapeleka shule za boarding .....hatakuwa peke yake ...mimi binafsi na marafiki zangu tumepata kuchangia pale..Si mimi raia wa kawaida tu,hata muheshimiwa rais kikwete akiwa singida kwenye kampeni alimkuta mtoto mwenye mazingira magumu sana akaamua kumu adopt kumsaidia...shule aliyochagua kumuweka ni pale bima pamoja na wale watoto...sasa labda niulize kama amewarudisha wote pamoja na yule aliyekuwa akisaidiwa na rais au atakuwa amefanya double standard kujipendekeza kumtunza alafu akawaondoa wengine!!

.kama hataki kuendelea na kile kituo ni bora aache kuchukua wapya simple...that is what we call EXIT STRATEGY .....msomi kama yeye lazima awe na mipango ya aina hiyo....huwezi kuacha jambo ghafla...

wale watoto watakuwa wameadhirika kisaikolojia ....kuliko alivyo wachukua...kwani alikuwakuta na maisha magumu ..ambayo walichayaona kama sehemu yao...bora angwasaidia hukohuko kabla.......lakini kitendo cha kumchukua mtu kwenye maisha magumu tena mtoto na kumuonjesha pepo halafu unamrudisha ulikomtoa kabla hajapata uwezo wa kujitegemea au kufikisha miaka 18...its amounting to suicide!!

naomba watoto warudishwe haraka ...jamii haiwezi kuvumilia ,kama huwezi kumsaidia mtu ...hadi mwisho ...wala usijaribu kumsaidia ....Naomba ieleweke kuwa jamii haitamsuta akiamua kuwarudisha kwani sisi ni binadamu na hatujakamilika!!!
 
Mch Lwakatare alipoanzisha shule ya yatima alisema atakuwa nao 1000 na watasoma mpaka Chuo Ki Kuu. Alizunguka na kuomba wabunge walete watoto kutoka majimboni. Watoto wengi walitoka kwenyefamily duni wakilelewa na ma bibi na mababu. Utapeli ulikuwepo kidogo wafanyakazi wakaingiza watoto ambayo siyo yatima wakala hela ya wazazi, lakini ilipogundulika watoto wakatolewa. Watoto walifika 700 na mwaka jana alirudisha 250 kama mizigo kwenye ma basi. Wahusika waliowaleta hao watoto hawakujulishwa mapema.Wahusika hapo shuleni wanasema wakifunga Shule mwezi huu hao wengine wote watarudishwa kwao.
Watoto hao wengine walibidi warudishwe nyuma kimasomo ili wajifunze kizungu. Sasa wanarudishwa kwenye ma shule ya kiswahili ili waanze tena system nyingine. Angalau angewafikisha la saba. Watoto wengi walezi wao wameisha kufa, wengine hawana hata ndugu, itakuaje?
Mch Lwakatare ana shule nyingi nchini na anaweza kuwasambaza hao yatima kwenye mashule yake.
Sisi wengi tunategemea watumishi wa Mungu watoe mfano kulea yatima na wajane.
Hao watoto kisaikolojia watakuwaje???
 
Mimi sina tatizo kabisa na huyu mama,ni mama jasiri na anyewawezesha watu watu wazima na vijana,pia ni mama mbunifu na mjasiria mali kwelikweli.Matatizo niliyoshuhudia mwenyewe ni matatizo ya kiutawala tu na hasa pale shuleni kwake Mbagala St'Marys School,Utawala wa pale unanitia wasiwasi kwa kweli;-
1.Kuna duka lililoanzishwa pale na mwanae Rose,duka hili limebadilisha kabisa tabia za watoto,watoto kwa sehemu kubwa muda mwingi wanawaza Ice creams,choclates,pipi n.k hivyo inapunguza sana performance,na hii iweka uhasama mkubwa kati ya mzazi na mtoto maana zamani ukimpa mtoto 5,000 mpaka likizo ya pili anakuwa amebaki walau na hela kidogo,lakini sasa hivi mtoto anataka 10,000 hadi 15,000,naomba alifuatilie hili.
2.Watoto wanaotoka mikoani wanapata majaribu makubwa na hata wizi,kwa sbbu inakuwa vigumu sana kuvumilia wanapoona wenzao wana visitiwa na wazazi wao na kuachiwa hela kwa ajili ya tamutamu hizo.
3.Nashangaa sana kuona kuwa shule hii mikutano ya wazazi ni mwiko,hili linanipa taabu sana.Hakuna biashara inayoweza kubarikiwa kama wazazi waliowengi wana kinyongo,hakuna mahali pa kutolea mawazo,au kutoa ushauri hakuna,email zake zote dormant hili kweli ni tatizo,atoe mwanya ili kuwe na uwazi zaidi ktk utawala,shule gani haina vikao vya wazazi?(Mpaka wazazi waji organise waandamane kuomba vikao?),hii itamharibia sana Mh.huyu>

Otherwise sina matatizo na Ujasiria mali wake!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom