Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Haya sasa!
Kumjadili mtu na huku facts kwanza ni potofu.Ndugu kwani huyu Mchungaji kakukosea nini hadi utake kumchafua humu mtandaoni? Kama anayoyafanya ni rahisi hebu na wewe ujaribu halafu na sisi tuje hapa tukujadili.Kwamba anaendesha kanisa kwa misingi usiyoipenda, hiyo siyo juu yako kumhukumu.Yuko JUDGE MKUU wa kuhukumu kila mtu hiyo siku ikifika.
Kama yupo Jaji mkuu wa kumhukumu mbona tunawajadili mafisadi hapa na watu kibao. Why cant she be discussed hapa jamvini??. Au mwambia Mods aondoe celebrity forum. Najua nimewagusa wengi bt habari ndio hiyo! Ni watu gani wanapaswa kujadiliwa kama mkuu wa kaya anajadiliwa. Mbona waraka wa kikatoliki na mahakama ya kadhi vilijadiliwa?? Vp WOS, mbona unaniangusha Madam?