oh pole kumbe na wewe ni mtu wajuzi juzi...mamy....enzi hizo zero walikuwa wanapata vyeti but miaka ya 200_ ndipo vyeti vya waliopata zero vikawa vinazuiwaziro wanapewaga vyeti?
Acha unafiki ndugu, ni Bwana gani aliyekutuma wewe!Bwana yesu asifiwe sana...
bwana yesu asifiwe sana...
Bwana aliye mwema amenituma nizungumze nanyi mawili matatu juu ya dungu yetu bwana daudi....
Sasa basi
GHapa kwenye Ofisi ya Kanisa tunacho cheti chake alichozungusha
ZERO0⃣...sema Ameeen!!![]()
"Ameeeen!!
[HASHTAG]#gwajima[/HASHTAG]
Jibu mubashala kabisa ndiyo akome kuuliza ujingaNdio wanapewa, kwani wewe hukupewa?
jaman hamjui km kuna living certificate
Tulia dawa ukuiingie taratibu utapona,Makonda kasoma Ushirika na marafiki zangu hii story walishanimegea zamani sana sikuamini leo Askofu kaniondolea mashaka dhidi ya huyu dogo hana mahali pa kwenda.




ziro wanapewaga vyeti?
Na kama halipo linakujaLisemwalo lipo
Hata Yeye kawasema sasa na ndio sasa nawao wanamsema mwacheni tu asemwe walisema wenyewe kila jiwe litawekwa juu na mawe yenyewe si mmeanza kuyaona kigumu Chama Chao MafahaliWalikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
mkuu, huyu ni nani?Lakini huyu kijana aliekua machachari ghafla amekua mkimya sana siku za sasaView attachment 475014
Kwa kesi hii ina maana si kweli kuwa Mchungaji ana cheti cha jamaa cha zero,maana mwaka 2004 sio zamani kiongozi.miaka ya zaman walikuwa wanapewa, baada ya ndalichako kuanza kuwa Katibu Mtendaji wa baraza, huku mwenyekiti wake akiwa Prof Mkandala, ndio wakasitisha hyo huduma...
fuatilia kwenye familia yako huko nyuma utakuta kuna ndugu anacho, kama hakuna kabisa
Jibu mubashara kbsaHahaaaa raha sana,jibu saizi yake kabisa