daniel enocy
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 380
- 413
Mbn ni unsupported
kabla ipi unataka kusema saahizi ndo kabla yake imafika,nchi hii watu tunajuana sana,ila pale unapotaka kuonyesha umafia wako kwa wengine ndo kabla yako inaanzia hapo kwa kufunuliwa hadharani,ona sasa aibu ya karne kwa RC.daudiWalikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Makonda ni hodari sana kuvitumia vyombo vya habari,Nasubiri nione akivitumia ili akanushe tuhuma hizi vinginevyo vyombo vya Habari vimtafute atuambie ukweli wa hili.
Tukumbuke wengi wamepoteza ajiri zao kwa ajili vyeti vya kughushi Kwa nini yeye a achwe? Wapi Ndalichako? Wapi NGOSHA?
Hakuna u fighter wowote wa kutumia njia za kihuni afu tukusifie..... yaani unafoji vyeti afu mnamuita fighter??? Hii nchi yetu mnataka kuipeleka wapi eti mnahalalisha uhuni kwa kuuita ndio UFIGHTER??Well done Makonda
Historia yako imekaa vizuri
You are a fighter
Umetoka familia ya kimasikini lakini kwa sasa Mungu amekufikisha hapo Ulipo...Sio jambo dogo kabisa
Na Mungu atazidi kukubariki
living certificate mkuuNecta wanatoa vyeti kwa waliozungusha??
Labda anamaanisha hicho cheti ina D 2 ambazo hazimpeleki popote,kwa hiyo ikawa sawa na zeroGwajima Anasema ana ushahidi wa Cheti cha Makonda cha Form four alichopata Zero! Hapa Mchungaji kasema Uongo. Necta hawatoi cheti kwa Wenye zero
Na huo ndio utaalamu wetu tuliobobea kuliko wa kumjenga mtu, btw haya mamb watu wangekuwa wanayaibua mapema kabla ya mtu kufanya blunder tungefika mbali maana hapa lazima watu wagawanyike ambapo kuna ambao watasema "roho mbaya kwa kuwa ameibua issue ya madawa" na wengine watasema ni kweliWabongo waogope Sana.
Ukimwaga mboga wao wanamwaga ugali na maji ya kunawa kabisa.
jaman hamjui km kuna living certificateGwajima Anasema ana ushahidi wa Cheti cha Makonda cha Form four alichopata Zero! Hapa Mchungaji kasema Uongo. Necta hawatoi cheti kwa Wenye zero
Taarabu on fleeckMtaangaika sana aliyepewa kapewa katu binadamu hawezi kumpokonya.
Ndalichako c kapiga kimya kumhakiki,sasa Gwajina ndo anavihakikiSasa Vyeti vya Bashite vinafanya nini ofisini kwake?
Amesema ndani ya siku tatu anatoka navyoGwajima tupostie vyeti vya mtu yule kidadeki siafu kakamata korodani za daudi bashite tuone kama hatavua nguo amtoe
Mimi macho kodo nione utupu wa Daudi
Wa njombe au? Angalau ile ya level ya juu kidogoMbona kuna Mkuu wa mkoa mwingine naye alipata zero
UNAJIKUMBUSHA weweMbona mambo ya vyeti yalianzia kwakina mwiguru na mtoto wa rais Leo kimya, siasa za vyeti muachane nazo mumefeli ndugu, kama kuna ukweli katika hili peleka mahakamani, nawakumbusha tu!