wise-comedian
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 3,290
- 3,946
Kolomije!.…majina mengine bana
Hata wanao muombea nao wana matatizoTujifunze unapojiona wewe ni msafi sana na kuanza kuchafua majina ya watu matokeo yake ndio haya.nasikia anashinda kwa masheikh na maaskofu wamuombee sijui ndo apate cheti hata aeleweki. Tujifunze jamani
Yule aliyekuwa msemaji wa chama? Lakini uzuri wa yule hajafoji chochote kama ni kaziro kake amekaacha kalivyo na wala hakubadili jinaMbona kuna Mkuu wa mkoa mwingine naye alipata zero
ole sendekaYule aliyekuwa msemaji wa chama? Lakini uzuri wa yule hajafoji chochote kama ni kaziro kake amekaacha kalivyo na wala hakubadili jina
Na yeye walikuwa wanahoji kale kaphd kake kuwa hakakukamilika sijui wameishia wapi. Mimi naona uhakiki sasa uhamie kwa viongozi wote kuanzia mawaziri, ma RC, DC, RAS, DAS, Wakurugenzi wote.Atafumba ili kuficha kashfa ya kuwa alichagua bosheni maana yy ndo alimteua
Aliapa mahakamani ili kutumia 'Makonda'.besti Sasa jiulize hata cheti cha kuzaliwa jamaa kafoji na kupata passport Kwa jina la Makonda
Hata muandamane.Mjadala umefungwa rasmi tunasubiri mamlaka zinazohusika zichukue hatua stahiki......ikifika saa nne na robo(10.15 am) na bado mamlaka hazijachukua hatua mjadala unaendelea.
Gwajima Anasema ana ushahidi wa Cheti cha Makonda cha Form four alichopata Zero! Hapa Mchungaji kasema Uongo. Necta hawatoi cheti kwa Wenye zero
Hata wewe umeshadanganyaKwa taarifa au mada hii INA maana Utawala wa chuo cha uvuvi Nyegezi ulidanganywa.
Chuo cha uvuvi Mbegani walidanganywa
Chuo cha ushirika Moshi walidanganywa
Rais mstaafu Kikwete walidanganywa
Rais wa sasa Dr Magufuli amedangangwa
Watu wote hao kudanganywa na MTU mmoja na umaarufu wa intelligensia yetu kitu ambacho hakiingii akilini hata kidogo.
Na yote haya kwanini yasemwe baada ya Mh Makonda kutangaza vita ya dawa za kulevya???
Ninapata shida kujua ukweli ni UPI lakini naamini Serikali iko makini ktk kazi zake.
One person is wright
Kwisha habari yake,Mama Ndalichako fanya yako please,ndege keshaingia tunduni mwenyewe,Huyu mchungaji au kanyaboya
Kila jambo lina wakati wake, wakati ni sasa.Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Nitarejesha imani yangu kwa Magu endapo atamuondoa huyo Daudi Bashite kwenye hiyo nafasi. Nje ya hapo sitakuwa na imani nae tena kwa kuwa atatuaminisha kuwa anaongoza nchi kwa upendeleo na kuwalinda watu wasio na sifa ambao kwa sasa wapo kwenye nafasi fulani fulani.
Amtumbue Daudi Bashite ili arejeshe imani iliyoanza kupotea.
Nawashangaa maana hatuwaoni tangu tulivyoanza kumpiga za uso mtu wao na wakae wakijua mtanange huu hautaisha mpaka Daud alete chetiTeam Daudi À Bashite kimyaaaa.. Ha ha ha à naona bado wanachungulia madirishani pale lumumba.. Maana Nje hakuendeki
CC ": Lizabon

♂
♂

