Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Daudi anadai kuna watu walitaka kumdhuru...aliwaona watu 12 wakiwa wamevalia kanzu lakini kutokana na nguvu alizo nazo wameshindwa. Hapo nadhani alikua anaombewa zaidi ili hao waalifu washindwe
fa03a7a085b987476944efa753742cec.jpg
 
Hii inaitwa "hujuma rejea" dah! naona Daud keshaukalia
 
*CV YA PAUL MAKONDA*

1. Alizaliwa tar.15/02/1981 katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.

2. Majina yake halisi ni *Daudi Albert Bushite*

3. Alianza darasa la kwanza mwaka 1988 katika shule ya msingi Koromije akitumia majina ya *Daudi Albert Bushite*. Mwaka 1991 alifeli darasa la 4, akarudia.

4. Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition).

5. Mwaka 1996 alihitimu darasa la 7 lakini hakuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya serikali.

6. Mwaka 1997 akajiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya Pamba.

7. Mwaka 2000 akahitimu kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero).

8. Mwaka 2001 akatumia cheti cha Ndg.Paul Christian Muyenge (chenye div.3 ya points 25) kujiunga na chuo cha uvuvi Nyegezi (Nyegezi Fisheries Training Institute) kwa masomo ya Certificate akahitimu mwaka 2002.

9. Mwaka huohuo 2002 akitumia cheti cha *Ndg.Paul Christian Muyenge*, alijiunga na Chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo kwa masomo ya Diploma ya uvuvi (ORDINARY DIPLOMA IN MASTER FISHERMAN, NTA LEV.6), na kuhitimu mwaka 2005.

10. Mwaka 2003 alikutana na Ndg.Benjamin Sitta (mtoto wa Marehemu Samwel Sitta, ambaye ni Mayor Kinondoni kwa sasa). Wakawa marafiki.

11. Mwaka 2005 baada ya kuhitimu Stashahada yake ya uvuvi, aliomba admission Chuo cha Kilimo Sokoine kusoma shahada lakini akakosa nafasi.

12. Baada ya kukosa nafasi alienda kuishi nyumbani kwa Marehemu Sitta akiwa kama rafiki wa Ben (mtoto wa Sitta). Kwakuwa alitoka familia duni, Sitta aliahidi kumsomesha elimu ya juu.

13. Mwaka 2006, alipata udahili Chuo cha ushirika na biashara Moshi (wakati huo kikiwa chuo kikuu kishiriki cha SUA), kwa kutumia vyeti vyake vya certificate (ya Nyegezi) na diploma (ya Mbegani).

14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management &Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokua akisoma (akawa discontinued).

15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na _carries 3_ ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa _carry over_ na _supplementary_. Akaamua kuacha chuo.

16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.

17. Mwaka 2009 akarudi tena MUCcoBS kwa udahili mpya. Akaachana na CMA akachagua Community &Economic Development (CED).

18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community &Economic Development kwa jina la *_Paul C Makonda_* badala ya majina yake halisi ya *_Daudi A Bushite_*

19. Jina *_Makonda_* analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Cheti cha Form four kinasomeka *_Paul C Muyenge_* lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka *_Paul C Makonda_* baada ya kuapa mahakamani.

20. Ndugu Daudi Albert Bushite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. Na ndiye mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.

Source : M. Mahanga (Facebook)
Noted
 
Hiki kiapo cha mahakamani kitenguliwe, ili hoja ya msingi ya kutumia cheti cha mtu ithibitike kwanza. Arudie tu majina yake kabla ya kiapo. Patamu hapooo
Kuna usemi ukiona kobe kinamisha kichwa ......... Usijekushangaa yatakayojiri siku za usoni. Yeye amesema ni mungu na baba yake amesema hakuna wa kumhoji na yeye ndiye msemaji wa mwisho. Sasa yetu masikio
 
kumbe kazaliwa kijijini. hawa ndio wanatupa ulaji krismasi kuwasafirisha mikoani. ila mwaka jana sumatra mnlinifanyia mbaya nikalipa mahela kibao. mwaka huu lazima nirevenge
 
Pamoja na mafanikio aliyonayo
Mhe RC Shule haimpendi japo Shule sio kipimo cha uelewa wala uwezo wa kumudu maisha wala uongozi
Mimi nina bachelor degree ila mafanikio ya Makonda bado sijui ntayafikia lini japo nina ndoto za kufanikiwa.

Hongera Mhe Makonda kwanza historia yako inaonesha sio mtu wa kukubali kushindwa na unauthubutu, kwa historia yako ningekua mimi ningeshaacha shule kabla ya kuingia form 1.
 
Safi sana....kwa hiyo kumbe ilitakiwa awe mvuvi........Ona sasa anavoharibu nchi kwa kudharirisha watz
 
Back
Top Bottom