Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Ndo maana nikasema habari imekaa kiuongo anaposema anavyeti kumbe anamaanisha matokeo!!!Kuhusu kusoma Nyegezi ni kweli mzee wangu kamfundisha pale Fisheries
Sio..hizo zinaitwa typing error...
 
Hayo maandiko yako ya Kiroho unayotaka kunipa ningeshauri yabadilishe yawe fursa Kwako ili yaweze kukukomboa Kiuchumi na Kifikra na ukishaona umejikamilisha nayo basi ndiyo unipe na Mimi. Hizi dini ziwafanyeni mjue kufikiri na siyo kuwa wa hovyo hovyo kwani hata mwenye dini yake / neno lake Yesu Kristo wa Nazareth hakuwa wa hovyo hovyo Kichwani kama tunaojifanya kukariri maandiko.
Sawa
 
Ninaona mambo matatu kwa haraka:
- Boss wa Bashite anasita kumtumbua kwa sababu labda ndiye alimtuma
-Boss wa Bashite ni mchanga katika masuala ya utawala wa dola kuu. Hili linahitaji uzoefu.
-Gwajima anaonekana ana washauri wazuri kuliko wa boss wa Bashite; ama, washauri wa kule kwa kuwa hawasilizwi wameamua kupeleka ushauri mahali unaposikilizwa. Gwajima anashauriwa, Anafanyishwa mazoezi ya nini cha kuongea na kwa utaratibu upi na zana anapewa.
-Mwisho, maadui wa Bashite wamekuwa wengi. Yeye sasa ni liability siyo asset tena. Kauli-mbiu ya Magogoni huwa ni "No person is more important than a nation".
-Utawala huu haujawa friendly kwa mashirika ya dini. Mzee Wassira na wizara yake iliyofutwa ya Mahusiano inapaswa kufufuliwa. Viongozi wa dini kuingia vitani na dola, si jambo jema hata kidogo.
 
Ni mimi tu au? Naona kuna asilimia ya legitimacy katika madai ya Gwajima...
Hata utendaji kazi wa jamaa haujakaa kisomi ni kutafuta attention na kukurupuka..

Bashite amesaidia kuelaborate ile hoja ya kua, 'Kufeli shule siyo kufeli maisha'
 
  • Miaka hiyo mnasoma evening class nilishamaliza shule siku nyingi huo ufafanuzi hajautoa yeye kasema kasoma Pamba hiyo ya Taasisi wewe ndo unasema na kuhusu Cheti kasema anacho hajasema ni matokeo ya kwenye gazeti wewe ndo umefanunua sasa sijui hii Script umeandaa wewe umempa gwajima!!
Huo ndo ukweli tena Bashite aliingia Kwenye mfumo rasmi akiwa form three ... ndugu zangu ni wenyeji wa Misungwi wanajua in and out Gwajima kajipanga vizuri we subir utakuja kujua hata sababu ya kufagiliwa na Sitta utashangaa Muda ni msemaukweli sana
 
Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Na Makonda alikuwa wapi asiseme mwenyewe kuwa anatumia vyeti vya mtu tena kilema mkazi wa Tabora.
 
Gwajima kasema Ana cheti cha Makonda cha Form four Chenye zero. Sikiliza tena hiyo audio
Vitu vingine ni minor
inawezekana ana leaving certificate, kwani LC siyo cheti, je ukiwa na LC huwezi kujua matokeo yake?
 
Kipindi cha nyuma walikua wanapewa cheti hata wale waliokua wanapata zero.
Waliacha mwaka gan kuto kutoa hivyo.vyet??

Na.daudi alihitimu lini??

Makonda anaweza kuwa na.hali tere ila gwajima kama.ni kiki basi atadhaulika sana
 
hebu jaribu kufikirisha kichwa basi kaka. uongo uko wapi hapo? kwani ukifeli darasa la saba huwezi kwenda sekondari? pamba sekondari ni shule ya binafsi (private). private school huwa hazichukui waliofeli darasa la saba?
Wewe Muongo unaongelea Pamba ipi?Tangu lini Pamba ikawa private?
 
Inaweza kuwa ni kweli lakini sioni mantiki kwa anayejiita mtumishi tena wa Mungu kuendeleza vita. Siku zote watumishi wa kweli humkabidhi Mungu vita vyao. Daudi akasema Mungu pigana na wanaopigana nami...zaburi 35:1b
Dawa ya moto ni moto...acha kijana afundishwe kufanya kazi kwa kutumia akili ......Kwa kupitia haya tutaona kama kweki nchi yetu inafata sheria au la....kumbuka wale waloitwa vilaza mwaka jana Udom na kutimuliwa na hawa wa juzi tcu wanao sema walikosea kuwa dahili...
 
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Kipindi hicho anasoma hicho chuo ndo inasemekana tayari ana cheti cha Paul makonda badala ya jina lake Daudi Bashite.
Huu mchezo hauhitaji hasira ngoja tuone utaisha vipi.
 
Back
Top Bottom