Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Manina... sema wewe Mchungaji manake tukisema sisi....
 
Huyu ukimuweka katika microscopic scrutiny ni majanga matupu bin taabani.

Na washawasha!



Kuna mtu anajiita Askofu,anaongopea watu kupitia madhabahu kuwa "ana vyeti vya kutoka NECTA" vyenye daraja sifuri.Kama kuna mwenye taarifa hizi,ni lini NECTA wameanza kutoa vyeti kwa wanaopata daraja sifuri? au yupo kwenye arosto?
 
kipindi cha nyuma walikua wanatoa vyeti hadi kwa wale waliokua wanapata zero,uliza necta
 
Inaweza kuwa ni kweli lakini sioni mantiki kwa anayejiita mtumishi tena wa Mungu kuendeleza vita. Siku zote watumishi wa kweli humkabidhi Mungu vita vyao. Daudi akasema Mungu pigana na wanaopigana nami...zaburi 35:1b
Anachokifanya ni sawa tu.
 
Hapo ndo nimejua chanzo cha wanfunz wenzang dar kukamata mkia wa ng'ombe .....mwalimu kapata zero wanafunz mtapata nn
 
Hii kashfa ni mbaya kwani inahusisha vyombo vya dola.Mimi ninaamini kabla Rais hajateu mtu vyombo vya dola hukagua usafi wa mtu iwapo mtu uraia wake unamatatizo,au elimu au kashfa yoyote mtaani(ujambazi,wizi ,ulevi nk)vyombo vya dola vinawajibu wa kumshauri Rais sasa kwa hili la mtu kuungaunga vyeti vyombo vya dola lazima viingie lawamani na waliohusika wachukuliwe hatua za kinidhamu ili lisijetokea baya zaidi.Haki kwa wote.
 
kipindi cha nyuma walikua wanatoa vyeti hadi kwa wale waliokua wanapata zero,uliza necta


Huyu mtuhumiwa wa kuzaliwa 80s ana kipindi gani cha nyuma katika elimu? Ndio matokeo ya kupiga soga madhabahuni badala ya kumhubiri Kristo.

Na washawasha!
 
Halafu sijawasikia redio Clouds na tv yake wakiliongelea suala la Daudi Kilaza.
 
Bashite kajiharibia mwenyewe, angetulia kwanza asingekurupuka mbona badae angekuwa hata rais feki
 
Kwani huyu hana somo la kufundisha waumini wake? Kila siku ni kumuongeleq mtu madhabahuni aweke press conference atoe hilo povu lake madhabahu si sehemu ya mipasho.
 
Back
Top Bottom