Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Sisi watanzania ni wanafiki sana Leo hii sisi wa kumtetea binadamu mwenye scandal ya vyeti feki badala ya kupaza sauti mamlaka husika ithitibishe au kukanusha...kweli Waswahili sisi hatuna maana mmesahau maumivu ya ndugu zetu ya uhakiki wa vyeti hadi wengine Kupata ajali katika movement za kwenda kuhakikiwa! Yeye makonda ni nani hasa mpaka tumtetee aachwe!? Yeye pia ni mtumishi japo ni wa kuteuliwa na zoezk hili la uhakiki lilipaswa lianze na wao kisha sisi, maana Mkuu wa nchi alikosea sana kuwataka wakuu wa mikoa na wilaya kutafuta watu wachafu huku wao wenyewe wakiwa na soni katika nyuso zao
 
Huu ndio mtihani pekee kwa mheshimiwa, ngoja tuone kama kweli atamtumbua au la, dalili zote zinaonyesha jamaa ni kweli atakua kachakachua cheti, akiachwa huyu basi mheshimiwa naye ni walewale, anaenda kwa kujuana.
 
Kwani aliyetoa ushauri wa kuhakiki vyeti ni nani?Kwani nani alisema hataki vilaza udom?
None sense,! Siasa nyepesi sana kwa watu walio serious.!
Hivi ya Ben saanane mlimalizaje? Kwa aina hiyo ya upinzani u guys mnategemea kuongoza Nchi hii kweli?!
Next tym kumbuka Rais anao Uhuru wa kumteua amtakaye. Sio umtakae wewe. So awe makonda au awe bashite its none of ua business,! Issue ni kuwa alienda chuo akasoma iwe kwa jina lake au la mwingine, huyo Wa kwenu kama alifaulu kwanini hakuendelea na masomo yaliyo fuata..?
Uzuri zaidi kuna mtu anaweza kuwa na kesi ya kuuza cheti chake au cha mtu mwingine endapo hilo pia lina ukweli. Huyo Dada wa kihaya, na huyo Paulo wenu nadhani ni vema jeshi la polisi wakawatafuta kwa maelezo zaidi ya namna biashara ilivyofanyika na uhalali wa hiyo biashara nadhani jinai haina muda.
 
Naomba tukumbuke kuwa ukipata zero NECTA hawakupi cheti. Kwahiyo huwezi kusema una ushahidi wa cheti cha mtu kwenye zero. Unaweza kuwa na matokeo lakin sio cheti.
Jaman kama umesoma shule 2010 uku ndio utasema ivyo ila vyeti vilikua vinatolewa mpaka wa dv 0 ndalichako ndio alikuja kutengua iyo issue ikawa mtu anayepata cheti mwisho dv 4 ya 28 tatizo wabongo kukurupuka unachokijua muwe mnafanya tafiti gwajima yupo sahihi na makonda hawezi jibu maana alichokifanya ni kosa la kufungwa jela kabisa
 
Dah! Magufuli kimyaaaaa kauchuna kama hasikii haya wakati anapita humu.
Unataka afanyie kazi majungu? Wenye uwezo wa kuchunguza vyeti vya elimu ni NECTA siyo Gwajima
 
Kama hayo ndiyo mahubiri basi MUNGU msaidie Gwajima.
May be aache huo uaskofu aingie kwenye siasa tu.
Asajiri kanisa lake kuwa chama cha siasa.
 
Mate TE="BAK, post: 19899621, member: 1397"]Dah! Magufuli kimyaaaaa kauchuna kama hasikii haya wakati anapita humu.[/QUOTE]
Naye anaogopa msala usijemgeukia na ile PhD yake fake ya maganda ya korosho!
 
Nahisi Gwajima ana profile za watu,akiguswa tu anakiwasha
 
Hizi teuzi zinafanyikaje? Hakuna vetting? Hakuna ukaguzi wa vyeti? Hakuna ufuatiliaji wa historia ya mtu kabla ya uteuzi?

Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
 
Nani anayeweza chukua gamba la zero? Ili likakusaidie nini hasa?

Na washawasha!


Jaman kama umesoma shule 2010 uku ndio utasema ivyo ila vyeti vilikua vinatolewa mpaka wa dv 0 ndalichako ndio alikuja kutengua iyo issue ikawa mtu anayepata cheti mwisho dv 4 ya 28 tatizo wabongo kukurupuka unachokijua muwe mnafanya tafiti gwajima yupo sahihi na makonda hawezi jibu maana alichokifanya ni kosa la kufungwa jela kabisa
 
Jaman kama umesoma shule 2010 uku ndio utasema ivyo ila vyeti vilikua vinatolewa mpaka wa dv 0 ndalichako ndio alikuja kutengua iyo issue ikawa mtu anayepata cheti mwisho dv 4 ya 28 tatizo wabongo kukurupuka unachokijua muwe mnafanya tafiti gwajima yupo sahihi na makonda hawezi jibu maana alichokifanya ni kosa la kufungwa jela kabisa
Narudia tena, Tanzania hii hakujawahi kutolewa cheti kwa aliyepata zero. Kama una cheti na ulipata zero, kiweke hapa tukuonyeshe ni fake na hakijatolewa na NECTA.
 
Ndalichako sio mjinga kufanyia kazi kauli za huyu mchungaji kibwetere
Asipofanyia kazi nitashangaa sana. Hamna aliyejuu ya sheria. So they say. Huu ndio mtihani haswa kwa Magufuli. Wakimaliza la vyeti waendelee na tuhuma nyingine. Serikali wasijaribu nao ku twist ukweli, naamini watu wana documents mkononi.

Sijaelewa Rais anamkingia kifua huyu kwa sababu gani. Kwa uelewa wangu alikuwa hamfahamu vizuri hata wakati alivyohutubia wazee wa Dar na kumsifu kwa fundraising efforts zake. Huyu huyu alikuwa rafiki wa karibu na mtuhumiwa mkubwa wa madawa ya kulevya. Hatusemi amfanyie kama alivyomfanyia Kabwe, though revenge is sweet, tunachotaka achunguzwe na achukuliwe hatua za kinidhamu na kisheria.

Wakimaliza wawashughulikie na wazazi wake, nao walishiriki katika udanganyifu huo.

Mliozoea kuishi kwa ujanja ujanja na kufaidika na jasho na akili za wengine, mwisho wenu umefika. Hata ukiwa nani.

Kwa kukurahisishia, sina chama wala si shabiki wa timu ya mpira. Hao wote siwajui personally, sina ndugu fisadi wala muuza unga, sina bifu. Ninachosimamia mimi ni haki. Sipendi uonevu kwa group lolote la watu au mtu binafsi. Napenda utawala wa sheria. Tanzania ni mali ya watanzania wote.
 
Pascal Mayalla natumain umemsikia Gwajima.Utetezi uliyokuwa unauhitaji kwa watu,jamaa,marafiki na majirani wa Mh. Makonda umeupata kutoka kwa mtu aliyetoka kijiji kimoja.Nini maoni yako?.
 
Sisi watanzania ni wanafiki sana Leo hii sisi wa kumtetea binadamu mwenye scandal ya vyeti feki badala ya kupaza sauti mamlaka husika ithitibishe au kukanusha...kweli Waswahili sisi hatuna maana mmesahau maumivu ya ndugu zetu ya uhakiki wa vyeti hadi wengine Kupata ajali katika movement za kwenda kuhakikiwa! Yeye makonda ni nani hasa mpaka tumtetee aachwe!? Yeye pia ni mtumishi japo ni wa kuteuliwa na zoezk hili la uhakiki lilipaswa lianze na wao kisha sisi, maana Mkuu wa nchi alikosea sana kuwataka wakuu wa mikoa na wilaya kutafuta watu wachafu huku wao wenyewe wakiwa na soni katika nyuso zao
Sijui upumbavu ni tusi,?! Am sorry nimejikuta limenitoka tu juu yako.! Hivi unajua kulikuwa na walimu ambao hata darasani hawajaenda, Ila wanakula mshahara wa gvt kwa jina la mtu? Leo mnataka kufananisha na mtu aliyesoma kwa jina la mtu mwingine, sio kupata kazi.! Je paul hajasoma? Hajapata elimu? Kama amesoma tuhuma zenu ni nini?
 
Back
Top Bottom