Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Bavaria huu ujinga wa Makonda umeigharimu Serikali na Chama mambo mengi sana:
a)kashfa yake ya vyeti feki na jina feki limeshaiharamisha operesheni ya uhakiki wa vyeti!
Kwani wahakiki wakienda kwenye halmashauri,nao wataambia:"mbona fulani mmemwacha...kwanini sie tu!"?sijui watajibu nini
b)kashfa hii imetupokonya "kichaka" chetu tulichojifichiamo pale tulipoombwa ajira!hivi wananchi wakisema tuwape ajira,kisingizio kitakuwa ni nini tena?
c)ajenda za uhakiki wa vyeti na watumishi ni kama zishakufa kimtindo!kwani sidhani kama mtu serikalini mwenye ujasiri wa kuziendeleza,hasa baada ya kuona kibano cha Makonda!
d)kashfa hii imeleta picha ya kuwa mh rais alikosa umakini ktk uteuzi wake!na kwamba hata kukesha kwake usiku mzima ilikuwa ni kazi bure!
e)kashfa hii imemweka mh rais kwenye dilemma!akimwacha madongo kwa makonda yatazidi,na akimtoa,basi na gambo ajiandae!
In short makonda katuvua nguo baada ya kukichomba kichaka chetu!
Hivi tukiombwa ajira,madai,madaraja mapya,uhamisho na maboresho ya mishahara,tutasingizia nini?kichaka kipi tujifichiemo?dah!
Mwizi wa cheti ndo mshauri wa serikali.. ahaha
