Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

CDM hamna akili NECTA hawakupi Cheti ukipata DIV 0 huyo mwehu wenu hicho Cheti chenye Ziro kakitoa wapi
Sasa mkuu kinacho mshinda huyo bashite kukitoa hadharani hicho cheti kama kweli anacho ni nini?? Ili huu mjadala huu uishe ni nini??? Kwani hapo ndipo watu wana kuwa na wasiwasi!! Wewe mtu akutuhumu kitu tena cheti ambacho ushahidi uko kwenye maandishi unakuwa mgumu kukitoa hadharani!! Je ungeambiwa wewe ni shoga si ndio mziki mnene ku dhibitisha?!! Hapa bwana kuna shidaaaaaa
 
Ndugu,kipindi cha nyuma walikua wanatoa vyeti hadi kwa wale waliokua wanapata zero,uliza kwa wale waliomaliza zamani.
hawa ni vijana wa facebook na twitter, hawajui hayo
 
CDM hamna akili NECTA hawakupi Cheti ukipata DIV 0 huyo mwehu wenu hicho Cheti chenye Ziro kakitoa wapi
Sasa mkuu kinacho mshinda huyo bashite kukitoa hadharani hicho cheti kama kweli anacho ni nini?? Ili huu mjadala huu uishe ni nini??? Kwani hapo ndipo watu wana kuwa na wasiwasi!! Wewe mtu akutuhumu kitu tena cheti ambacho ushahidi uko kwenye maandishi unakuwa mgumu kukitoa hadharani!! Je ungeambiwa wewe ni shoga si ndio mziki mnene ku dhibitisha?!! Hapa bwana kuna shidaaaaaa
 
Cheti cha zero hakipatikani Ndio sababu hata CCM wakisema Mbowe Ana zero ya form six huwa hawa semi cheti wanacho. Ukiwa Miongo uwe na Kumbukumbu.


Wekeni hadharani hayo Matokeo halisi ya Makonda na ya kughushi!

Mtu Mwenye akili akisikiliza vizuri hiyo audio utasikia namna ya usanii wa Gwajima kwa mfano anajiepusha kwa kutumia Maneno Kama vile a Wana Yule au Kiumbe Yule au kujifanya kasahau Jina la Makonda then Waumini ndio wanataja kwa Sauti then yeye anaendelea kutoa Maelezo. Huu ni aina ya Uongo ambao unausambaza kwa Njia za Ujanja ujanja ili usiingie kwny Mikono ya Vyombo vya sheriay
duh ama kweli mtu ukiamua kutetea kitu unaamua kufumba macho. wewe kweli unaona kuna uongo hapo? mtu anatoa historia yake tangu kijijini darasa la kwanza. anasema alifika la ngapi akahama shule. anakutajia alikohamia. anakutajia jina la mama aliyemlea wakati akimalizia na shule ya msing na kuanza sekondari. (anakuthibitishia kua na namba yake ya simu anayo na yuko hai). anakutajia matokeo yake pale pamba seko (na cheti lakini nadhani kamaanisha result slip/transcript anayo). anakupa jina la aliyemuuzia cheti na kuthibitisha yuko hai. mwenye cheti hicho jina lake ndio hilohilo lilipo kwenye cheti cha makonda. bado unaona ni uongo? unataka ukweli wa aina gani. halafu kwa sasa mwenye kudai kuwa hayo ni madai ya uongo ni yeye mwenyewe Daudi Bashite na sio wewe au mwengine yeyote labda wazazi wake. kashfa nzito. makonda yupo. wazazi wapo unadhani kwanini hawajitokezi kujibu tuhuma na kuweza records sawa?? unajua maisha ya kijijini yalivyo. kijiji ni kidogo tena hasa kwetu usukumani ni kwamba kila mtu anaijua familia nyingine kwa undani. pale kilomije wanajua makonda anaitwa daudi albert bashite na sio paul christian makonda. pamba sekondari ukiwaonyesha sura watakwambia huyu anaitwa daudi albert bashite kwa mujibu wa records zao. chuo cha uvuvi ukiwaonyesha sura watakwambia huyu anaitwa paul christian M (hiyo M sio makonda) kwa mujibu wa records zao. sijui uongo wewe unauona wapi hapo.
 
Waliacha mwaka gan kuto kutoa hivyo.vyet??

Na.daudi alihitimu lini??

Makonda anaweza kuwa na.hali tere ila gwajima kama.ni kiki basi atadhaulika sana
Ivi kweli mkuu una amini gwajima akitaka hizo taarifa hapati?unajua waumini wake?raisi mwenyewe alishasali kanisani kwake na hata akienda kesho gwajima akimuambia simama utubu atasimama na kutubu, akiambiwa ondoka anaondoka
 
Acha uongo miaka gani hiyo walikuwa wanatoa vyeti acheni uongo wa kijinga,Paul kasoma Nyegezi chuo cha uvuvi alitumwa jina la Paul Makonda na mzee wangu kamfundisha mwambieni huyo Gwajima aache wendawazimu
Hata kama kafundishwa na mzee wako kama hakugundua Makonda kutumia jina feki basi huyo mzee nayeye lazima atakuwa na walakini.
 
Kwenye LC hawaonyeshi matoK
keo
Umeamua kubisha ubishi usiokuwa na faida. Wewe unafikiri f4 kuna aina moja tu ya cheti cha matokeo.

Ukiwa na LC unaweza kupata matokeo kirahisi sana hata shuleni hakuna haja ya kwenda Necta.

Necta wanatoa Result slip inayoonyesha matokeo.

Vilevile kuna kitu kinaitwa Transcripts kinaonyesha matokeo.

Ukikoswa hivyo vyote matokeo yote hupelekwa na kubandikwa shule husika.

Kama ubishi ni hulka badi endelea na ubishi wako.
 
Mi uyo jamaa simkubal hata kidog anaenda tofaut na matakwa ya iman kingine ni kwamba Kama mtu alifeli labda sijui anazushiwa haina mantiki Kama anafanya kazi vizuri aonekane kwa uzur wake ukizingatia mnaoona waliofaul ndo wanazingua kwny nchi hii
 
Cheti cha zero hakipatikani Ndio sababu hata CCM wakisema Mbowe Ana zero ya form six huwa hawa semi cheti wanacho. Ukiwa Miongo uwe na Kumbukumbu.


Wekeni hadharani hayo Matokeo halisi ya Makonda na ya kughushi!

Mtu Mwenye akili akisikiliza vizuri hiyo audio utasikia namna ya usanii wa Gwajima kwa mfano anajiepusha kwa kutumia Maneno Kama vile a Wana Yule au Kiumbe Yule au kujifanya kasahau Jina la Makonda then Waumini ndio wanataja kwa Sauti then yeye anaendelea kutoa Maelezo. Huu ni aina ya Uongo ambao unausambaza kwa Njia za Ujanja ujanja ili usiingie kwny Mikono ya Vyombo vya sheriay
So?
 
Gwajimaaaa
Hivi nani alimtunuku PhD?????????
1488144766901.jpg
1488144781178.jpg
 
Tunashukuru sana Gwajima kwa kulikoleza jambo hili. Tunaimani kuwa Bashite atajitokeza kukanusha kwa uthibitisho wa vyeti halali ili kutufumba midomo, akikaa kimya; maana yake inakuwa kweli alitoka bila bila na NECTA.

Nakumbuka Rais aliwahi kusema watu anao wateua anafahamu vema uwezo wao kielimu. Sasa kama kweli Bashite asipo thibitisha vyeti vyake, tumbuaaa haraka sana! Maana hili ni jipu lililokwisha iva, tena usoni.

Na tuvijana tungine tunatoshinda mitandaoni na kujinadi kwamba twenyewe ni tutimu Bashite, tukome kabisa!!!! Na twenyewe ndio hatuna vyeti kabisa; hata feki. Tujinga kabisa!
 
Bavaria huu ujinga wa Makonda umeigharimu Serikali na Chama mambo mengi sana:
a)kashfa yake ya vyeti feki na jina feki limeshaiharamisha operesheni ya uhakiki wa vyeti!
Kwani wahakiki wakienda kwenye halmashauri,nao wataambia:"mbona fulani mmemwacha...kwanini sie tu!"?sijui watajibu nini
b)kashfa hii imetupokonya "kichaka" chetu tulichojifichiamo pale tulipoombwa ajira!hivi wananchi wakisema tuwape ajira,kisingizio kitakuwa ni nini tena?
c)ajenda za uhakiki wa vyeti na watumishi ni kama zishakufa kimtindo!kwani sidhani kama mtu serikalini mwenye ujasiri wa kuziendeleza,hasa baada ya kuona kibano cha Makonda!
d)kashfa hii imeleta picha ya kuwa mh rais alikosa umakini ktk uteuzi wake!na kwamba hata kukesha kwake usiku mzima ilikuwa ni kazi bure!
e)kashfa hii imemweka mh rais kwenye dilemma!akimwacha madongo kwa makonda yatazidi,na akimtoa,basi na gambo ajiandae!
In short makonda katuvua nguo baada ya kukichomba kichaka chetu!
Hivi tukiombwa ajira,madai,madaraja mapya,uhamisho na maboresho ya mishahara,tutasingizia nini?kichaka kipi tujifichiemo?dah!
 
Ivi kweli mkuu una amini gwajima akitaka hizo taarifa hapati?unajua waumini wake?raisi mwenyewe alishasali kanisani kwake na hata akienda kesho gwajima akimuambia simama utubu atasimama na kutubu, akiambiwa ondoka anaondoka
Swali ni.je atapata wapi vyet ambavyo.havitolewagi??

Au watafoji cheti cha DIV 0/Fail
Maana huwa havitolewi

My b kama unaushahidi mwingine ila sio chet cha form4 ambacho daudi alipata zero


Movie inaendelea tutashuhudia mengi kwa kweli

NGOJA siku nae makonda atapo amua kutamka au kujibu hoja kabla magu ajamchinjia bahalini

Naona mtumishi wa mungu kaingia kwenye siasa lasmi
 
Mwaka gani huo mtu akipata Zero anapewa Cheti,tajeni tu miaka
Vuta subra utapata Data zote za Daud Albert ingawa yupo busy anatumia pesa nyingi kuficha ushahidi, watanzania wa sasa wapo makini wameshafunua hadi Uvunguni wapo wametulia wanasikilizia akijidai kukanusha ndipo wataanika A-Z .
 
Back
Top Bottom