Mchezo: 'Niongezee Sentensi' – Hadithi Hai ya Mtaa na Taifa

Mchezo: 'Niongezee Sentensi' – Hadithi Hai ya Mtaa na Taifa

Watu wakijiji kile wakamkuta asubuhi, akiwa ameanguka katika kongoro la mto lupaso.

Alisikikaa Mashauri akisema "loh huyu si Haduru, ameanguka, kichwa chini makalio juu"

Bibi yake, akasema jina ndio linamfanya awe mlevi maana ni la urithi, hivyo wakambalisha jina kutoka kuwa Haduru na kumpa jina jipya la Amada!
Kumbe amada alikuwa na mchepuko aliokuwa anaufanya siri
Huyo mchepuko alikuwa anaitwa Wema
 
Hali iliendelea hivyo hivyo kwa Haduri mpaka watoto walimdharau.

Siku moja aliamka asubuhi na kuwaza safari ya kuelekea Msamvu stendi kupanda basi la BM Coach linalokwenda jijini Dar es Salaam.
Aliamini akienda jijini humo, maisha yake yanaweza kumuendea sawia licha ya kuwa hana kipaji wala ujuzi wowote.

Siku ya safari ilifika na akaelekea Msamvu stendi kutafuta basi la kwenda jijini Dar es Salaam ili kutafuta maisha....
Alijua kuwa safari hii ilikuwa ni mkombozi wake, hata kama alikosa kila kitu kilichohitajika ili kufanikiwa.
Alifikiria kuwa jiji hilo kubwa lingemwonyesha fursa mpya, na angeweza kujenga upya maisha yake, ingawa alijua hakukuwa na uhakika wa mafanikio yake.
 
Alijua kuwa safari hii ilikuwa ni mkombozi wake, hata kama alikosa kila kitu kilichohitajika ili kufanikiwa.
Alifikiria kuwa jiji hilo kubwa lingemwonyesha fursa mpya, na angeweza kujenga upya maisha yake, ingawa alijua hakukuwa na uhakika wa mafanikio yake.
Na vilevile aliwaza jinsi rafiki yake aitwaye Festo alivyokuwa akiwasimulia uzuri wa jiji la Dar na viunga vyake, aliwaambia kuwa "....unaweza kwenda na ukapata pa kulala na kula bila tatizo ili mradi ukubali kujiunga na makundi ya vijana wenzako mitaani"
Hilo wazo ndilo lililompelekea Haduri kukata shauri la kwenda jijini Dar Es Salaam....
 
Kumbe amada alikuwa na mchepuko aliokuwa anaufanya siri
Huyo mchepuko alikuwa anaitwa Wema
Kumbe, Amada alikuwa na mchepuko wa siri, na aliishi maisha ya kuishi kwa hofu ya kugundulika. Huyo mchepuko aliyejivunia hakuwa mwingine bali ni Wema, mrembo aliyemfanya Amada kuwa na miguu ya chuma kila alipopita mbele yake.
Aliishi kwa mbinu za kuandika sms za kimahaba, akisema, "Wema, sijui ni vipi lakini kila nikikunywa pombe, picha yako huniletea ulevi mwingine," na Wema, akiwa na tabasamu, alimjibu, "Pombe inashusha akili, lakini mapenzi yangu yatakufanya upate akili zaidi!"
 
Na vilevile aliwaza jinsi rafiki yake aitwaye Festo alivyokuwa akiwasimulia uzuri wa jiji la Dar na viunga vyake, aliwaambia kuwa "....unaweza kwenda na ukapata pa kulala na kula bila tatizo ili mradi ukubali kujiunga na makundi ya vijana wenzako mitaani"
Hilo wazo ndilo lililompelekea Haduri kukata shauri la kwenda jijini Dar Es Salaam....
Haduri alikumbuka maneno ya Festo akisema, "Huko mjini, hakuna njaa wala shida, lakini lazima uwe tayari kutafuta namna ya kujitengenezea nafasi yako."
Hayo maneno yalitia wazimu kichwani mwake, na akaona kuwa hiyo ilikuwa fursa ya pekee, ingawa alijua kuwa maisha ya jiji hayakuwa rahisi kama alivyokuwa akifikiria.
 
Haduri alikumbuka maneno ya Festo akisema, "Huko mjini, hakuna njaa wala shida, lakini lazima uwe tayari kutafuta namna ya kujitengenezea nafasi yako."
Hayo maneno yalitia wazimu kichwani mwake, na akaona kuwa hiyo ilikuwa fursa ya pekee, ingawa alijua kuwa maisha ya jiji hayakuwa rahisi kama alivyokuwa akifikiria.
...aliwaza mpaka akafika Msamvu stendi na kukata tiketi yake, kisha akaingia ndani ya basi na kujituliza tuli ndani ya basi huku akitafakari jinsi atakavyotua jijini Dar bila kuwa na ndugu wala rafiki, alijiambia moyoni "mwanaume haogopi shida..."
Pembeni ya siti yake alikaa kijana barubaru mmoja aitwaye Majaliwa...
 
...aliwaza mpaka akafika Msamvu stendi na kukata tiketi yake, kisha akaingia ndani ya basi na kujituliza tuli ndani ya basi huku akitafakari jinsi atakavyotua jijini Dar bila kuwa na ndugu wala rafiki, alijiambia moyoni "mwanaume haogopi shida..."
Pembeni ya siti yake alikaa kijana barubaru mmoja aitwaye Majaliwa...
Majaliwa alikuwa na sura ya kijana mwenye maamuzi, aliyevaa fulana ya buluu na suruali za jeki. Alikuwa kimya, lakini macho yake yaliashiria kuwa alikuwa na mawazo mengi kama Haduri.
Haduri alijua kuwa safari hii ingekuwa ni ya maisha na kielelezo cha ustahimilivu, lakini alijiuliza ikiwa Majaliwa alikuwa akimwonea huruma au kama alikuwa na hadithi ya kufanana na yake.
 
Majaliwa alikuwa na sura ya kijana mwenye maamuzi, aliyevaa fulana ya buluu na suruali za jeki. Alikuwa kimya, lakini macho yake yaliashiria kuwa alikuwa na mawazo mengi kama Haduri.
Haduri alijua kuwa safari hii ingekuwa ni ya maisha na kielelezo cha ustahimilivu, lakini alijiuliza ikiwa Majaliwa alikuwa akimwonea huruma au kama alikuwa na hadithi ya kufanana na yake.
....na asingeweza kumuuliza Majaliwa lolote lile kuhusu jiji la Dar Es Salaam kwani naye alionekana amezama kwenye dimbwi la mawazo.
Ila ili asiumbuke mbeleni ilibidi ajikusanye na kuanza kumsalimia Majaliwa huku moyoni akijiambia 'ujinga wakati wa kwenda'..... alianza "habari yako mshkaji, mimi naitwa Haduri natokea Morogoro, naelekea Dar sehemu panapoitwa Ubungo"....

Majaliwa hakuitikia salamu ya Haduri, bali alimkata jicho kali sana....
 
....na asingeweza kumuuliza Majaliwa lolote lile kuhusu jiji la Dar Es Salaam kwani naye alionekana amezama kwenye dimbwi la mawazo.
Ila ili asiumbuke mbeleni ilibidi ajikusanye na kuanza kumsalimia Majaliwa huku moyoni akijiambia 'ujinga wakati wa kwenda'..... alianza "habari yako mshkaji, mimi naitwa Haduri natokea Morogoro, naelekea Dar sehemu panapoitwa Ubungo"....

Majaliwa hakuitikia salamu ya Haduri, bali alimkata jicho kali sana....
Haduri alijua kuwa alikosea kumkaribia Majaliwa, lakini alijikaza kuwa mvumilivu, akijua kuwa ilikuwa ni sehemu ya mchakato wa maisha.
Majaliwa aligeuza kichwa kwa haraka, akimwangalia Haduri kwa macho makali, kana kwamba alikuwa akitafuta majibu ya maswali yasiyo na majibu. Haduri alijua kuwa alikuwa akimwonyesha ukali wa jiji ambalo alikuwa akielekea, lakini alijua pia kuwa jiji lenyewe lilikuwa likimsubiri kwa namna hiyo.
 
Haduri alijua kuwa alikosea kumkaribia Majaliwa, lakini alijikaza kuwa mvumilivu, akijua kuwa ilikuwa ni sehemu ya mchakato wa maisha.
Majaliwa aligeuza kichwa kwa haraka, akimwangalia Haduri kwa macho makali, kana kwamba alikuwa akitafuta majibu ya maswali yasiyo na majibu. Haduri alijua kuwa alikuwa akimwonyesha ukali wa jiji ambalo alikuwa akielekea, lakini alijua pia kuwa jiji lenyewe lilikuwa likimsubiri kwa namna hiyo.
Kama vile Haduri alijua akiwazacho, ghafla Majaliwa alimgeukia na kumwambia...."sikia kaka, sina muda na salamu zako, nilikotoka nimesalimiwa sana"
Haduri akaona hapa kazi ipo, akajikunyata na kuendelea na safari.
Ghafla muhudumu wa kike wa ndani ya basi alimfikia Haduri na kumuuliza anashukia wapi?
Haduri ikabidi awe mpole "mimi naelekea Dar Es Salaam kutafuta maisha baada ya wazazi wangu kunifukuza kijijini. Hivyo mtakapoishia ninyi wasafiri na wahusika, ndipo na mimi nitashukia hapohapo"

Yule muhudumu alitabasamu huku akiliangalia body la Haduri kwani alikuwa amejazia kiaina....
 
Kama vile Haduri alijua akiwazacho, ghafla Majaliwa alimgeukia na kumwambia...."sikia kaka, sina muda na salamu zako, nilikotoka nimesalimiwa sana"
Haduri akaona hapa kazi ipo, akajikunyata na kuendelea na safari.
Ghafla muhudumu wa kike wa ndani ya basi alimfikia Haduri na kumuuliza anashukia wapi?
Haduri ikabidi awe mpole "mimi naelekea Dar Es Salaam kutafuta maisha baada ya wazazi wangu kunifukuza kijijini. Hivyo mtakapoishia ninyi wasafiri na wahusika, ndipo na mimi nitashukia hapohapo"

Yule muhudumu alitabasamu huku akiliangalia body la Haduri kwani alikuwa amejazia kiaina....
Muhudumu alimtazama Haduri kwa macho yaliyojaa tamaa ya kimahaba, akijua kuwa kila hatua ya safari hii ingeweza kumletea mabadiliko. Aliendelea kutabasamu kwa upole, huku akirembua rembua kidogo na kung'ata vidole vyake.

Alijikusanya, akimwangalia Haduri kwa jicho la kimahaba, kisha kwa sauti ya chini akamwambia, "Ukifika unapoelekea naomba nishtue tafadhali.." Alionekana kuwa na hisia za kipekee, akimfundisha kwa njia ya upole lakini yenye tamaa, kana kwamba alikuwa akimwambia kuwa alikuwa na fursa ya kumvutia kwa njia isiyo wazi.
 
Muhudumu alimtazama Haduri kwa macho yaliyojaa tamaa ya kimahaba, akijua kuwa kila hatua ya safari hii ingeweza kumletea mabadiliko. Aliendelea kutabasamu kwa upole, huku akirembua rembua kidogo na kung'ata vidole vyake.

Alijikusanya, akimwangalia Haduri kwa jicho la kimahaba, kisha kwa sauti ya chini akamwambia, "Ukifika unapoelekea naomba nishtue tafadhali.." Alionekana kuwa na hisia za kipekee, akimfundisha kwa njia ya upole lakini yenye tamaa, kana kwamba alikuwa akimwambia kuwa alikuwa na fursa ya kumvutia kwa njia isiyo wazi.
Haduri alijiona anaelekea kwenye ushindi dhahiri.
Yule binti alirudi tena mara ya pili kwa Haduri akiwa ameshika maji makubwa na korosho na kumpatia atafune.
Haduri alipokea huku akipapasa mkono wa yule dada kimahaba huku akimpa ishara ya asante.

Walipofika Mlandizi, Majaliwa alishuka na siti yake iliyokuwa tupu akaja kukaa yule muhudumu na hapo ndipo yakazaliwa maongezi matamu kati ya muhudumu na Haduri.
Yule muhudumu kiukweli alikuwa ameshaanza kumpenda Haduri, japo mila za kitanzania ni ngumu kwa mwanamke kumtamkia mwanaume kuwa unampenda.
 
Haduri alijiona anaelekea kwenye ushindi dhahiri.
Yule binti alirudi tena mara ya pili kwa Haduri akiwa ameshika maji makubwa na korosho na kumpatia atafune.
Haduri alipokea huku akipapasa mkono wa yule dada kimahaba huku akimpa ishara ya asante.

Walipofika Mlandizi, Majaliwa alishuka na siti yake iliyokuwa tupu akaja kukaa yule muhudumu na hapo ndipo yakazaliwa maongezi matamu kati ya muhudumu na Haduri.
Yule muhudumu kiukweli alikuwa ameshaanza kumpenda Haduri, japo mila za kitanzania ni ngumu kwa mwanamke kumtamkia mwanaume kuwa unampenda.
Haduri alijiona anakaribia ushindi, hasa alipoona jinsi muhudumu alivyokuwa akimvutia kwa upole, alivyomkabidhi maji makubwa na korosho, na kumshika mkono kimahaba. Walipofika Mlandizi, Majaliwa alishuka, na muhudumu alikalia siti ya Haduri, ambapo mazungumzo yao yakaanza kuchukua mwelekeo wa kimahaba. Haduri, akiwa na uhakika kuwa muhudumu alikuwa akivutiwa na haiba yake na alijua ilikuwa ni fursa nzuri ya kuu"win" moyo wa binti huyo. Alijikusanya na kusema, "Wewe ni mrembo sana, na si tu uso wako unavyoangaza, bali na roho yako pia inawaka na kutoa nuru ya huruma hata kwa mtu usiyemjua kama mimi, usichokijua ni kwamba umekuja katika maisha yangu, umeleta mwangaza."
 
Haduri alijiona anakaribia ushindi, hasa alipoona jinsi muhudumu alivyokuwa akimvutia kwa upole, alivyomkabidhi maji makubwa na korosho, na kumshika mkono kimahaba. Walipofika Mlandizi, Majaliwa alishuka, na muhudumu alikalia siti ya Haduri, ambapo mazungumzo yao yakaanza kuchukua mwelekeo wa kimahaba. Haduri, akiwa na uhakika kuwa muhudumu alikuwa akivutiwa na haiba yake na alijua ilikuwa ni fursa nzuri ya kuu"win" moyo wa binti huyo. Alijikusanya na kusema, "Wewe ni mrembo sana, na si tu uso wako unavyoangaza, bali na roho yako pia inawaka na kutoa nuru ya huruma hata kwa mtu usiyemjua kama mimi, usichokijua ni kwamba umekuja katika maisha yangu, umeleta mwangaza."
"Ni kweli mimi mrembo, mbona sipati mpenzi?"...binti yule muhudumu aliuliza.

"Kwanini nikudanganye?, niliacha kupanda Shabbiy na Abood nikaamua kuja kwenu BM kwa maana nilivutiwa na wewe mrembo..."

"Mbona hayo mabasi uliyotaja yana warembo kama mimi tu...?" Binti alizidi kudadisi.

"Uzuri wa mtu uko ndani ya macho ya mtazamaji..."

Wote wakacheka na kuanza kupiga stori za hapa na pale.
Ndipo yule binti akajitambulisha jina kuwa anaitwa Aminata, au Emmy, na anaishi Kinondoni Mkwajuni nyuma ya ofisi za CCM, amepanga chumba pale na anaishi mwenyewe.

"Leo naweza kuwa mgeni wako?" Haduri alianza kumchokoza Emmy

"Ni wewe tu, na hivyo sijakumbatiwa siku nyingi, nitafurahi sana" alijibu Emmy kiuchokozi.

Kwa kuwa basi lilikuwa linashusha abiria njiani maana walikuwa wanakaribia Kibaha, Emmy alimuaga Haduri na kumwambia asishuke.
"Usishuke popote, umeahidi kuwa mgeni wangu leo, mimi acha nisogee kwa dereva maana kuna abiria huwa wanashuka vituo vya njiani...."

Laiti Emmy angejua kuwa Haduri ni mgeni wa jiji na hana anayemjua, hata neno usishuke asingelitamka, bado Haduri asingeshuka manaa hajui A wala B za jiji la Dar.

Emmy alijikokota na kwenda kwa dereva ili kujiandaa kwa ajili ya kushusha abiria.
 
"Ni kweli mimi mrembo, mbona sipati mpenzi?"...binti yule muhudumu aliuliza.

"Kwanini nikudanganye?, niliacha kupanda Shabbiy na Abood nikaamua kuja kwenu BM kwa maana nilivutiwa na wewe mrembo..."

"Mbona hayo mabasi uliyotaja yana warembo kama mimi tu...?" Binti alizidi kudadisi.

"Uzuri wa mtu uko ndani ya macho ya mtazamaji..."

Wote wakacheka na kuanza kupiga stori za hapa na pale.
Ndipo yule binti akajitambulisha jina kuwa anaitwa Aminata, au Emmy, na anaishi Kinondoni Mkwajuni nyuma ya ofisi za CCM, amepanga chumba pale na anaishi mwenyewe.

"Leo naweza kuwa mgeni wako?" Haduri alianza kumchokoza Emmy

"Ni wewe tu, na hivyo sijakumbatiwa siku nyingi, nitafurahi sana" alijibu Emmy kiuchokozi.

Kwa kuwa basi lilikuwa linashusha abiria njiani maana walikuwa wanakaribia Kibaha, Emmy alimuaga Haduri na kumwambia asishuke.
"Usishuke popote, umeahidi kuwa mgeni wangu leo, mimi acha nisogee kwa dereva maana kuna abiria huwa wanashuka vituo vya njiani...."

Laiti Emmy angejua kuwa Haduri ni mgeni wa jiji na hana anayemjua, hata neno usishuke asingelitamka, bado Haduri asingeshuka manaa hajui A wala B za jiji la Dar.

Emmy alijikokota na kwenda kwa dereva ili kujiandaa kwa ajili ya kushusha abiria.
Basi lilipofika jijini Dar es Salaam, Haduri alibaki na Emmy wakiwa wanatembea pamoja, wakijadili masuala ya mahusiano. Emmy alizungumza kuhusu umuhimu wa uvumilivu na kujitolea katika mahusiano, akisisitiza kwamba si tu ya tendo la ndoa tu bali pia ya kujenga uaminifu na ushirikiano. Haduri alikubali kwa kichwa, akijua kuwa alihitaji msaada wa wengine ili kufikia malengo yake. Walipokuwa wakizungumza, Haduri alijua kuwa safari yake ya maisha mjini ilikuwa inaanza kwa njia nzuri, na Emmy alikuwa na nafasi kubwa ya kumsaidia.
 
Basi lilipofika jijini Dar es Salaam, Haduri alibaki na Emmy wakiwa wanatembea pamoja, wakijadili masuala ya mahusiano. Emmy alizungumza kuhusu umuhimu wa uvumilivu na kujitolea katika mahusiano, akisisitiza kwamba si tu ya tendo la ndoa tu bali pia ya kujenga uaminifu na ushirikiano. Haduri alikubali kwa kichwa, akijua kuwa alihitaji msaada wa wengine ili kufikia malengo yake. Walipokuwa wakizungumza, Haduri alijua kuwa safari yake ya maisha mjini ilikuwa inaanza kwa njia nzuri, na Emmy alikuwa na nafasi kubwa ya kumsaidia.
Wakati wote wa mazungumzo Haduri alikuwa anawaza jinsi atakavyopata pesa za kuwasaidia wazazi wake pia kumsomesha mdogo wake wa pekee wa kike aliyekuwa darasa la 3 wakati huo.

Baada ya kumaliza ratiba zote, Emmy akamchukua Haduri na kumpeleka Kinondoni anapoishi huku akimuahidi asubuhi ya kesho yake atakwenda kwa baadhi ya rafiki zake wa kiume kuulizia kibarua chochote kitakachomfaa Haduri.

Walifika ndani, wakaoga na kutoka tena nje ili kupata chakula cha usiku maeneo ya jirani, na baada ya kula walirudi ndani kupumzika ili kuangalia ratiba ya kesho.

Walizima taa, kujifunika shuka na kulala....
 
Wakati wote wa mazungumzo Haduri alikuwa anawaza jinsi atakavyopata pesa za kuwasaidia wazazi wake pia kumsomesha mdogo wake wa pekee wa kike aliyekuwa darasa la 3 wakati huo.

Baada ya kumaliza ratiba zote, Emmy akamchukua Haduri na kumpeleka Kinondoni anapoishi huku akimuahidi asubuhi ya kesho yake atakwenda kwa baadhi ya rafiki zake wa kiume kuulizia kibarua chochote kitakachomfaa Haduri.

Walifika ndani, wakaoga na kutoka tena nje ili kupata chakula cha usiku maeneo ya jirani, na baada ya kula walirudi ndani kupumzika ili kuangalia ratiba ya kesho.

Walizima taa, kujifunika shuka na kulala....
Walijikuta wameamka saa tano asubuhi,huku wakiwa na uchovu wa mwili kutokana na "shughuli pevu" waliyoshughulika nayo usiku kucha. Usingizi ulijua mtamu, lakini bado walijua kuwa siku mpya ilikuwa inawangojea na walihitaji kujiandaa. Emmy aliketi kitandani akimwangalia Haduri kwa macho ya shauku, akimwambia, "Leo tutaanza rasmi, nakuahidi nitafanya kila liwezekanalo kukusaidia kupata kazi." Haduri alitabasamu kwa kutambua kuwa alikuwa na mtu wa kumsaidia katika safari yake ya mabadiliko. Walijua kuwa safari hiyo ilikuwa ngumu, lakini walikuwa tayari kushirikiana na kupambana kwa pamoja ili kufikia malengo yao. Baada ya kutimiza majukumu ya asubuhi, walijipanga na kuondoka kwenda kwa rafiki wa Emmy ili kuanza mchakato wa kumtafutia Haduri kibarua.
 
Walijikuta wameamka saa tano asubuhi,huku wakiwa na uchovu wa mwili kutokana na "shughuli pevu" waliyoshughulika nayo usiku kucha. Usingizi ulijua mtamu, lakini bado walijua kuwa siku mpya ilikuwa inawangojea na walihitaji kujiandaa. Emmy aliketi kitandani akimwangalia Haduri kwa macho ya shauku, akimwambia, "Leo tutaanza rasmi, nakuahidi nitafanya kila liwezekanalo kukusaidia kupata kazi." Haduri alitabasamu kwa kutambua kuwa alikuwa na mtu wa kumsaidia katika safari yake ya mabadiliko. Walijua kuwa safari hiyo ilikuwa ngumu, lakini walikuwa tayari kushirikiana na kupambana kwa pamoja ili kufikia malengo yao. Baada ya kutimiza majukumu ya asubuhi, walijipanga na kuondoka kwenda kwa rafiki wa Emmy ili kuanza mchakato wa kumtafutia Haduri kibarua.
...na breki ya kwanza ilikuwa ni Magomeni kwa fundi ujenzi aitwaje Abdalla, huyu alikuwa ni rafiki wa kaka ake Emmy.
Abdalla alisema vibarua wamejaa ila nafasi itakapopatikana basi atapigiwa simu kujulishwa.

Wakaelekea mpaka mitaa ya Magomeni Kagera pale kuna ofisi ya kukatisha tiketi za mabasi na Emmy akamwambia Hedaru kuwa hii kazi haitakufaa....kumbe Emmy aliona wivu asije akanyang'anywa Haduri wake na abiria.

Basi walizunguka siku nzima, huku Emmy akimtia moyo Haduri kuwa kazi zipo ni kupambana tu.
Na ilipofika jioni walirudi nyumbani kuendelea na ratiba zao huku Emmy akimueleza kuwa kesho ni siku ya kuhudumu ndani ya basi, hivyo itabidi akamkodie gesti kwa maana kuonana siku moja tu si kigezo cha kumuamini kiasi cha kumuachia chumba chake abaki nacho.
Haduri alijiapiza kuwa yeye si mwizi wala kibaka kwanini hamuamini

"Wazazi wangu wamenilea vyema, na sikuwahi kuiba na wala sina hiyo tabia..., hiyo pesa ya kunilipia gesti siku mbili kwanini tusifanye ya kula? Huoni kama unachezea pesa?"
Haduri alimuuliza Emmy

"Sawa, nakuamini, ila itabidi kesho nikitoka nawe utoke ukatafute kazi, omba kazi kama mwanaume, usichague kazi...nakuombea kila la kheri ufanikiwe...nakupenda"

Emmy alimjibu Haduri huku akitabasamu na kumkumbatia.
Hakika penzi lao lilichipua ghafla mithili ya tawi jipya la mgomba.

Emmy, binti wa miaka 23 aliyechanganywa kimapenzi vilivyo na Haduri, kijana shababi wa miaka 30.
Hakika ungethubutu kuwaona kwa siku hiyo ungedhani labda penzi lao lina miaka 5 au 8...kumbe ndio kwanza wana siku 2 tu tangu waonane na kujuana.

Kweli mapenzi upofu....
 
Back
Top Bottom