Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

1025421_539001929509905_1368110044_o.jpg

Mimi sio kama wale😉
 
Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.
Hawa uliowataja siwakubali kabisa kabisa! Wanaleta maswali mengi sana kwenye imani! Tuko sawa
 
Hawa uliowataja siwakubali kabisa kabisa! Wanaleta maswali mengi sana kwenye imani! Tuko sawa
Msimamo wa kukataa watumishi ndo uhuru wa kuabudu ambapo Mungu anasema mbele yako nimekuwekea mema na mabaya chagua hivi leo utakaye mtumikia!!
Wewe unapokata watu hao , na wewe unakataliwa na watu wengine kwa kuwa hata wewe hukubariki na watu wote , Kikwete mwenyewe amepigiwa kura na watu 8,000,000 tu kati ya watu 40,000,00 . Roho ya kukataliwa inaendelea
Cha msingi hapa wewe uishi katika maisha ya kumupendeza Mungu na wala usitafute kukubaliwa na watu tafuta kukubaliwa na Mungu!
Huwezi kumushawishi mwanadama akakukubali kwa kuwa haina faida Mbinguni!
 
Mambo yamechanganywa sana kwenye suala hili. Gwajima hawezi kuhusishwa na matatizo ya ndoa ya mtu yeyote yule kwani hakuna anayelazimishwa kumfuata wala kushirikiana naye. Na kuhusu ibada anayoiongoza, watu wana uhuru wa kumuamini, kumsikiliza na kumfuata au la. Hii ni kwa viongozi wote wa kiimani. Followership is never imposed but wooed - at the very least. Watu wenye hekima, uelewa na mapenzi ya kweli baina yao hawawezi kufarakana kirahisi halafu wakamsingizia binadamu mwingine kwa masahibu yanayowapata. Na, zaidi ya yote, watu wanaomuabudu Mungu wa KWELI, hawawezi kujiletea kadhia kama hii (ya kujiadhiri kiasi hicho hadharani) katika maisha yao; hii inatokea tu kwa watu wanaotafuta fursa za kidunia (ama wote au mmoja wao). Gwajima ajadiliwe kwa mengine lakini si kumfanya villain / culprit katika adha inayowasibu wanandoa hao. Wanawajibika wenyewe kwa ndoa yao na maisha yao kwa ASILIMIA 100.
 
Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.

Hao watumishi hata ukimuangalia tu kwnye tv unasikia huzuni fulani moyoni. Yaani hata bila kusikiliza mahubiri yao unasikia hali tofauti moyoni. Ni mpaka uzime hiyo sauti ya Roho wa Mungu ndo utaweza kujiunga nao.
 
nimependa sana hii picha


Nmecheka sana hii picha wako ufukweni au! Kweli wajinga( wazungu, wachina, wajapani, waafrika, wakorea, wahindi) wooote wajinga ndio waliwaoooooooooo
 
Imebaki watengeneze bible zenye maandko kuhusu pesa na miujiza tu!
 
du, kazi ipo! ngoja tusubiri tuone huu mtanange utakapoisha, maana huyu mtumishi kamficha mtoto aliyebakwa--hatujui hata anamfundisha nini.
 
Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.

Wewe huwakubali hao, na mimi watumishi wa dizaini ya akina Papa Francis, Pengo, Malasusa, Mokiwa n.k hawa wote siwakubali.
 
Nitakuwa wa mwisho kuhukumu mtu yeyote na ikiwezekana nitaacha kabisa
 
tema mate chin ndugu wala usikoment chochote kuhusu watumishi ww kaa kimya mungu anajua kama ndio au sio

Bwana Yesu alisema mtawatambua kwa matendo yao, sasa unasemaje akae kimya? Aseme ili wengine tuchukua tahadhari
 
ni kweli gide,japo hatupaswi kuhukumu.tunapaswa kuuona utukufu wa mungu ndani yao. Unyenyekevu,kujishusha,moyo wa huruma,nk sio sehemu ya mafundisho yao wala matendo yao,wao ni utajirisho ndo fundisho kuu

Wewe umebahatika kujua ukweli juu ya Mungu. Wengi wanadanganywa sana na hawa wachungaji ambao mioyo yao imejaa tamaa ya fedha Timothy 6:10
 
Gwajima amedhihirisha kuwa Ni mzinzi wa kimataifa, anawala hadi Japan,,, na saizi meno yote thelathini na nje mbili mbaya wake Emma ananyea debe now mchungaji kwa raha zake, akitaka chumvini anaenda, akitaka katerero anapiga kwa raha bila bugudha
 
Back
Top Bottom