Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

FLORA+3.jpg
 
Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.
Ukristu wako una mashaka,kwa kuwa hawa ni watanzania wenzako ndio maana huwakubali?Kwa nini hicho unachokiamini unakiamini?Maana hata hapo katika dhehebu ulilopo leo ni afadhali hawa usiowakubali,tafakari vzuri hata kama husali kwao jivunie kuwa nao.
 
Nadhan huyu jamaa anaisomaga biblia ameigeuza! Kwa hyo sometym huwaga anaona maandishi kama kavaa lenzi mbonyeo....

Cha ajabu wala waumin hawastukii kuwa hiyo n sauti ya tanishe!!!

Mungu atusaidie waja wake, hv hawakuchanga tena ile 9m???
 
gwajima.jpg
Mume wake flora naona hana hata raha..kaamua azuge zuge tu na kisimu chake,pembeni namwona :evil:
 
Hizi picha za flora,Emma na mke was gwajima ndo tuseme wako close saaaaaana au?
 
Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.

tema mate chin ndugu wala usikoment chochote kuhusu watumishi ww kaa kimya mungu anajua kama ndio au sio
 
Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.

Hutasamehewa kama umewahukumu, imeandikwa usihukumu ili na wewe usihukumiwe.
 
Kaazi kweli kweli....ila kumpora mtu mke ni kinyume cha utaratibu. Kama anafanya hivyo ni kosa kubwa!
 
Watu wamfuate yeye kisa wajapani wanakuja kusali kwake,haya ni mawazo duni kabisa! Halafu hawezi kufa mpaka kazi aliyo kuja kuifanya iishe,haya fanya kazi yako mtumishi.
 
Back
Top Bottom