Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.

Ni kweli wewe ni Mkristu !. Hivyo,waacha wakristo na viongozi wao;kwani pilipili usiyoila inakwashia nini ?😛eace:
 
Fulo ndio yuko hivyo, anakuwa karibu na wewe saaana, afu anamnyenga mme wako. Ndo zake miaka mia nane.

cc lara 1, siku ile ulidhani nampakazia, Fulo weka mbali na average Joe wako.

Hizi picha za flora,Emma na mke was gwajima ndo tuseme wako close saaaaaana au?
 
Last edited by a moderator:
Dah,kwenye picha naona Mr Mbasha yupo mbali. Hayupo hapo mkutanoni. Nahisi kweli alikua anahisi anaibiwa!
 
Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.

Uwakubali usiwakubali haiongezi wala kupunguza chochote, kama ni watumishi wa Mungu wataendelea hivyo ila hasara itakuwa kwako kukosa kuyafanya mapenzi ya Mungu wanayofundisha, na kama sio watumishi pia itaendelea hivyo.
 
1404516_10152047944048856_819595337_o.jpg

wakuu hebu tathmini pete zao za ndoa......na hata muonekano wao hauna amani,au kuna dhambi nyingine yawafuata?/andama?......siamini kama kuchapiwa ni kitu rahisi,hapa kuna aina fulani ya business....
 
Mtumishi wa mungu anapojitapa na kujigamba kwa madharau na kebehi,dah..!!imani zimeingiliwa wasanii.
Kama Mfarisayo vile. Kwamba:-

  • Mimi si kama huyu mtenda dhambi
  • Huwa natoa fungu la kumi kila mara
  • Nafunga kila wiki
 
mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea mungu atanisamehe.

ni kweli gide,japo hatupaswi kuhukumu.tunapaswa kuuona utukufu wa mungu ndani yao. Unyenyekevu,kujishusha,moyo wa huruma,nk sio sehemu ya mafundisho yao wala matendo yao,wao ni utajirisho ndo fundisho kuu
 
Sitapata hasara yeyote kwa kuwa namtumikia Mungu na kufuata mafundisho yake kulingana na nilivyoyapokea na kuyaelewa sio kama ya hao ya kitapeli.
Uwakubali usiwakubali haiongezi wala kupunguza chochote, kama ni watumishi wa Mungu wataendelea hivyo ila hasara itakuwa kwako kukosa kuyafanya mapenzi ya Mungu wanayofundisha, na kama sio watumishi pia itaendelea hivyo.
 
Ukristu wako una mashaka,kwa kuwa hawa ni watanzania wenzako ndio maana huwakubali?Kwa nini hicho unachokiamini unakiamini?Maana hata hapo katika dhehebu ulilopo leo ni afadhali hawa usiowakubali,tafakari vzuri hata kama husali kwao jivunie kuwa nao.
Kama jambo la Mtanzania mwenzangu naona liko sawa nitakubali,lakini ninapooona kitu hakiko sawa pia nitasema,binafsi sijasema dhehebu langu ndiyo bora kuliko mengine na hata wewe unaweza kulikosoa ndiyo maana tuna madhehebu mengi ili kila mtu aabudu anapoona panamfaa.
 
Kwenda japani,ndio kunahusiana nini na tuhuma zinazomkabili

gwajima,lakatware,mzee wa upako.....na wengine km hao ibada zao zinamaswali mengi.

Mwakasege anajiheshimu sana
 
Kwenda japani,ndio kunahusiana nini na tuhuma zinazomkabili

gwajima,lakatware,mzee wa upako.....na wengine km hao ibada zao zinamaswali mengi.

Mwakasege anajiheshimu sana

Amani kwako,nakubaliana na wewe kwenda Japan hakuhusiani na tuhuma zilizo mbele yake,aidha haihusiani na wito wa Mungu ndani yake pia.
Lakini kama hukubaliani na huduma na jinsi ya wito wa hao uliowataja,yatosha kujinyamanzia kimya ili usijitwike laana isiyokuhusu. Kwamba ni watumishi wa kweli ama la,Mungu ajua,yeye ndiye atakayehukumu.
 
Eti hawezi kufa mpaka amalize kazi..Hivi kumbe yeye anajua siku yakufa kwake..Hivi hii jamani si kufuru...
 
Back
Top Bottom