BAOBAO
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,874
- 557
Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.
Ni kweli wewe ni Mkristu !. Hivyo,waacha wakristo na viongozi wao;kwani pilipili usiyoila inakwashia nini ?😛eace: