Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 481
Ni kweli wewe ni Mkristu !. Hivyo,waacha wakristo na viongozi wao;kwani pilipili usiyoila inakwashia nini ?😛eace:
mkuu naomba nifafanue kuhusu maneno "kristo" na "kristu"neno "kristo" limetoholewa kutoka kwny neno la kigiriki(kiyunani) kristos likimaanisha Christ kwa kiingereza na neno "kristu" limetoholewa kutoka kwny neno la kilatini "kristus" likimaanisha Christ kwa kiingereza.Wamishionari wa kikatoliki walipendelea kutumia neno kristu ndo maana unaona wakatoliki hutumia neno kristu au mkristo na wamishionari wa kiprotestant walipendelea kutumia neno kristu ndo maana makanisa ya kiprotestant hutumia neno kristo au mkristo.Hivyo maneno kristu na kristo ni neno 1 na maneno mkristo na mkristu ni neno 1 na lenye maana 1.