Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

Mimi ni mkristu lakini watumishi dizaini ya gwajima,kakobe,mama lwakatare,mwingira siwakubali,
kama nakosea Mungu atanisamehe.

hujatwambia unaowakubali umetwambia husiowakubali,haya twambie sasa "ninawakubali....,.....,....na.....(endelea)
 
Ukiangalia hii picha utagundua kuna matatizo kati yao, na moja wao anajua anachokifanya
1404516_10152047944048856_819595337_o.jpg
 
Mimi nafikiri kati yenu mnaodai mchungaji kaharibu ndoa ya Mbasha kungekua na mahakama mkaitwa kutoa ushaidi kila mmoja wenu angedai hajui lakini humu JF full kelele,ni dhambi kumtuhumu mtu jambo ambalo hauna uhakika nalo,mambo mengine kama hayo ni ya siri lakini watu wanaongea kama walikuwepo hivi tena kibaya zaidi unaweza kuta mtu hamjui ata baba yake halisi lakini katika hili anajidai kujua kila kitu,badilikeni.
 
Waumini wa kilokole hua ni misukule wanaonaga hao wachungaji wao ni Mungu,pambafff
 
Sawa wakuu nyote mlio comment dhidi ya mchg.Gwajima na wengine mnaopenda ku assassinate character za watumishi wa Mungu,lakini kumbukeni kuwa si vyema kuwahukumu na kuwatukana hata kama watakosea,badala yake waombeeni na hata kama wakikengeuka mlio wa Roho warejezeni tena kwa upole,huo ndio ukristo-let love lead!
Aidha kabla hujamnyoshea MTU YEYOTE kidole jichunguze wewe mwenyewe uone u mtakatifu/mwadilifu/mwema kiasi gani,yaani shughulikia banzi kwenye jicho lako kwanza kabla hujageukia boriti kwenye jicho la mwenzako?
Tusinukuu maandiko na kuyatumia kuwahukumu watu,badala yake tuwaombee rehema na hasa kama jambo baya likiwapata watumishi wa Mungu ni muhimu tuwaombee ili kazi yake iendelee.
Ndugu zangu,tusitofautiane na kunyosheana vidole kwa sababu ya dini na madhehebu yetu,tuheshimiane hata kama hatufanani kwa sababu sisi sote tu wanadamu tulioumbwa na Mungu mmoja.
Nahitimisha kwa kusema TUJIFUNZE kusameheana na kuombeana!
MWISHO: "let's not purchase a curse with such a low price-`condemnation'"
Thanks!
 
Mimi nafikiri kati yenu mnaodai mchungaji kaharibu ndoa ya Mbasha kungekua na mahakama mkaitwa kutoa ushaidi kila mmoja wenu angedai hajui lakini humu JF full kelele,ni dhambi kumtuhumu mtu jambo ambalo hauna uhakika nalo,mambo mengine kama hayo ni ya siri lakini watu wanaongea kama walikuwepo hivi tena kibaya zaidi unaweza kuta mtu hamjui ata baba yake halisi lakini katika hili anajidai kujua kila kitu,badilikeni.

ahsante kaka kwa ushauri wako Mungu atusaidie kujiheshimu na kuwaheshimu wengine hata kama ni waovu tuwaombee.
 
siku za mwisho zimekaribia hata watumishi wa bwana wa zamani walitukanwa walipondwa mawe lakini hawakusita kulitangaza neno la bwana, usimsemehe moyo mtu yeyote yule kwa jambo ambalo huna uhakika nalo unalisikia kwa watu af unalivalia njuga kama ww ndo ulikuwepo wakati frola na huyo gwajima wakiwa wanamegana...... kila mtu atajibu hukumu yake siku za mwisho awe mbasha kabaka ni yeye awe frola kamsingizia mumewe ni yeye kama gwajima kweli ana mmega frola ni yeye ili msimchukie mtu kwa mambo yakusikia ,.....ni ushauri tuuu nionavyo mimi....
 
Nimeupenda huu msemo wa mch. Gwajima "MIMI SI KAMA WALE"!
Nakubaliana na Gwajima kwamba ni kweli,yeye si kama wale ....!
 
Misemo maarufu ya watumishi 1).Gwajima:"Mimi si kama wao"
2)A.Lusekelo:"Watashindana lakini hawatashinda".
3)....
9)....
 
yeye kuhusishwa tu na hiyo kashifa tayari inamcapa doa kubwa
mtumishi wa Mungu na kama anaijua Biblia vizuri hawezi kutumia neno "mimi sio kama wale" nje ya hapo ni ukanjanja.
 
Mimi nafikiri kati yenu mnaodai mchungaji kaharibu ndoa ya Mbasha kungekua na mahakama mkaitwa kutoa ushaidi kila mmoja wenu angedai hajui lakini humu JF full kelele,ni dhambi kumtuhumu mtu jambo ambalo hauna uhakika nalo,mambo mengine kama hayo ni ya siri lakini watu wanaongea kama walikuwepo hivi tena kibaya zaidi unaweza kuta mtu hamjui ata baba yake halisi lakini katika hili anajidai kujua kila kitu,badilikeni.
Sasa wewe ukiulizwa wakati mbasha anabaka ulikuwepo?
Maana huyo unayemtetea yasemekana anakula Bata na mke wa mbasha na sasa kapelekwa Gerezani ili Frola awe Free ajiachie kwa raha zake Je ? Ungelikuwa ni wewe unatendewa Haya ungekuja na story hizi? Kumbuka Mlundikano wa wafungwa magerezani umetokana na kesi kuchukua mda mrefu huko mahakamani sasa nani ataenda huko kuhangaika na mambo ya hao wapenzi aacha kazi zake?
 
Sasa wewe ukiulizwa wakati mbasha anabaka ulikuwepo?
Maana huyo unayemtetea yasemekana anakula Bata na mke wa mbasha na sasa kapelekwa Gerezani ili Frola awe Free ajiachie kwa raha zake Je ? Ungelikuwa ni wewe unatendewa Haya ungekuja na story hizi? Kumbuka Mlundikano wa wafungwa magerezani umetokana na kesi kuchukua mda mrefu huko mahakamani sasa nani ataenda huko kuhangaika na mambo ya hao wapenzi aacha kazi zake?

Mahakama ndo yakuthibitisha kama amebaka,wewe hadi unauliza wakati mbasha anabaka nilikuwepo,kwenye maelezo yangu kuna sehem umesoma nikidai mbasha kabaka,kwani mimi ni mahakama?kuna anayedai kabakwa yeye ndo ataithibitishia mahakama kwani ndo muhusika mkuu,je kwa upande wa Gwajima na Flora kuna aliyethibitisha kua wana uhusiano husiofaa,ukiitwa uthibitishe utakua na evidence apart from maneno ya watu?
 
Sasa wewe ukiulizwa wakati mbasha anabaka ulikuwepo?
Maana huyo unayemtetea yasemekana anakula Bata na mke wa mbasha na sasa kapelekwa Gerezani ili Frola awe Free ajiachie kwa raha zake Je ? Ungelikuwa ni wewe unatendewa Haya ungekuja na story hizi? Kumbuka Mlundikano wa wafungwa magerezani umetokana na kesi kuchukua mda mrefu huko mahakamani sasa nani ataenda huko kuhangaika na mambo ya hao wapenzi aacha kazi zake?

Badili sentensi husiseme yasemekana,sema kama ulimuona ili ubebe thambi kamili au utukufu kamili.
 
Natamani sana ningekuwa na uwezo ningemuona Mwenyezi MUNGU nitete nae hata kwa sekunde kadhaa tu kuhusu hawa Binadamu wenzangu.............

Mungu yuko hapo ulipo, just ongea nae na atakusikiliza wala hana shida!!!!![h=1]God is Omnipotent, Omnipresent, and Omniscient[/h]
 
Ukristu wako una mashaka,kwa kuwa hawa ni watanzania wenzako ndio maana huwakubali?Kwa nini hicho unachokiamini unakiamini?Maana hata hapo katika dhehebu ulilopo leo ni afadhali hawa usiowakubali,tafakari vzuri hata kama husali kwao jivunie kuwa nao.

Upumbavu utabaki upumbavu hata kama watu wote waupende! Mungu haangalii wingi anataka kicho. Kumbuka wangapi waliokoka gharika.
 
Hutasamehewa kama umewahukumu, imeandikwa usihukumu ili na wewe usihukumiwe.

Gide MK yuko sawa, Mungu hapendi mwenye dhambi aangamie! Gide Mk hajahukumu alichosema ndicho binlia inasema zichunguzeni hizo roho! Tusiamini kila mtu, hata shetani hujigeuza awe malaika wa nuru.
 
Back
Top Bottom