Mbunge wa Mbalari CCM ahamia CHADEMA

Mbunge wa Mbalari CCM ahamia CHADEMA

mkuu ng'wanangwa make sure habari kama hizi una uhakika nazo
unajua mimi binafsi naheshimu sana comment zako,kama sio kweli nitaongea na mods private

Hahaha..Inaonekana kupigwa ban siku hizi humu ndani ni order of the day....
 
Ng'wanangwa tupe habari kamili sio nusu nusu

hana mkono wa kuandika huyo. ulishasoma post yake ukakuta japo ina paragrafu moja? yeye siku zote ni short answers zinazopelekea ugumu wa kuelewa. labda anataka watu tufikirie. huyo ndo Ng'wanangwa.
 
[h=3]TETESI,MBUNGE WA MBARALI CCM AHAMIA CHADEMA[/h]
TAARIFA Zisizo rasimi ambazo. Mtandao huu umezipata na unaendelea kuzifanyia kazi zaidi ni juu ya kujiuzulu CCM kwa mbunge wa Jimbo la Mbarali mkoa wa Mbeya ambaye inadaiwa kajiunga na .chadema
Imewekwa na Francis Godwin ni Iringa na matukio Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook




[TD="class: reactions-label-cell, width: 1%"] UNAMAONI GANI ? [/TD]


[h=4]0 Maoni:[/h]
Post a Comment
[h=4]Links to this post[/h] Create a Link
 
Unapozungumizia mawe, unanikumbusha kipindi kile wananchi waliochoka na utawala wa kikwete walipoamua kumpiga mawe ya kichwa Kikwete pale Mwanjelwa Mbeya na Vyombo vya habari kuagizwa kuto toa habari hiyo, maana ilikuwa aibu sana.

Duuuuh, hawa jamaa si nasikiaga huwa wanmuita shemeji? walimpiga mawe? sasa kwa nini tena jamani, lol

Ila Mwanje sishangai
 
Wadau hizi taarifa zitakuwa rasmi lini? Maana tangia jana ni tetesi now taarifa zisizo rasmi .Come on people JF we are above that .
 
tetesi imekomaa sasa, imefikisha masaa 13 mpaka sasa. tusubiri itimize siku nzima hapo saa 20:35, kama kutakuwa hakuna lolote, mjue Ng'wanangwa alikuwa anawapima upeo wenu. Inabidi mrudi mfute mliyoandika humu ndani
 
ni sawa na kuwa na njaa kali, umepewa maji umenawa lakini msosi hauji duh....
 
wakuu kama ni kweli ndiyo tunaenda uchaguzi mdogo tena? duh jamaa zetu bado wana mahindi ya msaada kibao sasa sijui itakuwaje wananchi wa huko Mbalari.:focus: hivi lile soo lake na mapolisi? si alikuwa lupango huyu kamanda mtarajiwa?
 
wakuu kama ni kweli ndiyo tunaenda uchaguzi mdogo tena? duh jamaa zetu bado wana mahindi ya msaada kibao sasa sijui itakuwaje wananchi wa huko Mbalari.:focus: hivi lile soo lake na mapolisi? si alikuwa lupango huyu mweshimiwa?
jamaa akigombea kupitia CDM tutahitaji gharama ya mil. 20 tu kulichua lakini magamba watapaswa watumie bil. 12 na watalikosa pia.
 
Pipooooz power! source: amplifaya ya milard ayo.

Hii si ajabu kwani wajulikana wale wote wavunja sheria hukimbilia kujificha CDM. Iteni uchaguzi mpya, na mchagueni yeye asimame kwa kiti cha cdm , yatawatokea km ya igunga. Na hivi chama kimefilisika baada ya hela zote kutumika igunga, nadhani hapo Sabodo itabidi apigiwe magoti kuokoa jahazi (kada wa ccm)
 
jamaa akigombea kupitia CDM tutahitaji gharama ya mil. 20 tu kulichua lakini magamba watapaswa watumie bil. 12 na watalikosa pia.

CCM wao hela wanazo wana miradi na wanachama wao wanajiweza, cdm wao wanamtegemea Sabodo (kada wa ccm) na ruzuku itokayo serikali ya ccm. Kwa maana hiyo bila msuli wa kifedha wa ccm , cdm wao hawana kitu !
 
natafuta frem ya biashara mbarali ya kuuzia bia na mishikaki............. msimu wa mavunounkaribia mwezi mmoja wa kampeni ni faida yake ni sawa na miaka 2. unauza 24 hrs kama ATM
 
Back
Top Bottom