CCM wao hela wanazo wana miradi na wanachama wao wanajiweza, cdm wao wanamtegemea Sabodo (kada wa ccm) na ruzuku itokayo serikali ya ccm. Kwa maana hiyo bila msuli wa kifedha wa ccm , cdm wao hawana kitu !
ni uchu wa madaraka hakuna lolote.
Nitawapinga magwanda kwa nguvu zangu zote.
Mh Kilufi vunja ukimya kwa kuweka hii kitu hadharani! Hupokei simu
ccm ndo wauwaji wamemwambukiza huyu jamaa,fuatilia historia ya nchi hii utajua kuna mauaji ya watu mbalimbali wakiwemo wanaccm na hata viongozi wa serikali kupitia vyombo vya usalama au kwa kufanya njama na watu wa kawaidaAcha aende kwa wauaji wenzake cdm; maana ccm c mahala pa kutishia kuwaua wananchi!
Mkuu komaa naye anaweza kupokea!
Kwa hiyo!!!
Cdm wamefilisika ukitokea uchaguzi mwingine inabidi watembeze bakuli kwa ccm wasaidiwe
ccm ndo wauwaji wamemwambukiza huyu jamaa,fuatilia historia ya nchi hii utajua kuna mauaji ya watu mbalimbali wakiwemo wanaccm na hata viongozi wa serikali kupitia vyombo vya usalama au kwa kufanya njama na watu wa kawaida
Wangwe mlimmaliza kwa kugombea madaraka , halafu nyie ndio mnataka mpewe nchi eti !
Tuwe makini magamba mengine yanakuja kujua kilichomo ndani halafu wakipeleke huko kwa wenye magamba maarufu. mifano mnayoAmeamua kujivua gamba
wewe nawe ni miongoni mwa washiriki wa kauli ya masaburiCdm wamefilisika ukitokea uchaguzi mwingine inabidi watembeze bakuli kwa ccm wasaidiwe
ni uchu wa madaraka hakuna lolote.
Nitawapinga magwanda kwa nguvu zangu zote.
Jamani hakuna mwanaJF Mbarali kutuhibishia au kutukanushia habari hii, maana tumechoka na tetesi muda mrefu wote huu. Hebu mnaoweza kufanya hivyo fanyeni hima.
Wangwe mlimmaliza kwa kugombea madaraka , halafu nyie ndio mnataka mpewe nchi eti !