Mbunge wa Mbalari CCM ahamia CHADEMA

Mbunge wa Mbalari CCM ahamia CHADEMA

Mmeua Ilemela, mmeua Igunga, mliua Kombe, Shija, KOLIMBA, SOKOINE, Baba wa Taifa, na wale unaowajua NI WAUAJI PERIOD. Ila kila muuaji na yeye atakufa
Nyamongo, Arusha, Mwembe yanga ............jastitumenseni efyuu
 
Mh Kilufi vunja ukimya kwa kuweka hii kitu hadharani! Hupokei simu
 
sasa we unataka wananchi wasiambiwe ubaya wa Jk na magamba wake? Hata kama chadema wangezibwa midomo Mawe yangesema.
Unapozungumizia mawe, unanikumbusha kipindi kile wananchi waliochoka na utawala wa kikwete walipoamua kumpiga mawe ya kichwa Kikwete pale Mwanjelwa Mbeya na Vyombo vya habari kuagizwa kuto toa habari hiyo, maana ilikuwa aibu sana.
 
tetsi masaaa zaidi ya arobaini na nane?
 
Mkuu, ukisikia mtu amekamatwa na Polisi hapa nchini ujue aidha hana connection au kama anazo basi ametibuana nazo hasa kama ni mtu wa magambani. Mpaka kufikia mbunge wao kukamatwa lazima ujue wanataka kumkomoa tu.
Ukitaka kuthibitisha hili, jaribu ku-emagine Ismail Aden Rage angekuwa chadema leo hii angekuwa wapi?? kwanza angekuwa amefungwa kwa kutishia amani hadharani na kuwasababishia watu hofu kubwa
 
Hazina ukweli, jamaa hata sasa hivi ana shati la kijani na limeandikwa CCM. Hazina ukweli
 
watu mlio karibu naye si mlete ukweli?masaa yanasogea,kitu bado inaitwa 'tetesi'!thibitisheni basi!
 
Back
Top Bottom