Mbunge wa Mbalari CCM ahamia CHADEMA

Mbunge wa Mbalari CCM ahamia CHADEMA

sio hivyo mkuu.... nilisikia redioni kwamba walim-arrest huko mbeya

au ndio walishajua jamaa anaondoka?

Mkuu, ukisikia mtu amekamatwa na Polisi hapa nchini ujue aidha hana connection au kama anazo basi ametibuana nazo hasa kama ni mtu wa magambani. Mpaka kufikia mbunge wao kukamatwa lazima ujue wanataka kumkomoa tu.
 
Mkuu, ukisikia mtu amekamatwa na Polisi hapa nchini ujue aidha hana connection au kama anazo basi ametibuana nazo hasa kama ni mtu wa magambani. Mpaka kufikia mbunge wao kukamatwa lazima ujue wanataka kumkomoa tu.
well sasa nimeelewa

kwahiyo jamaa walijua kwamba mshkaji hayupo upande wa mafisadi
 
Kama hizi habari ni za kweli, japo siziamini.. Namuonea huruma kwa kwenda Chama kisicho na dira. Kinachoendeleza siasa za kuzungumzia watu.
Hivi Rostam alijiuzulu kwa sababu gani vile? Malisa alisemaje vile kuhusu wana CCM hasa Nape? Ole Millya alisema jana pale kwenye kituo cha polisi? Hawa wote ni wnan Chadema. Masaburi in action
 
well sasa nimeelewa

kwahiyo jamaa walijua kwamba mshkaji hayupo upande wa mafisadi

Yap, kwa maana nyingine alikuwa anaweka mchanga kwenye bakuli lao la uji, yaani anawatibulia mambo yao pale.
 
sasa we unataka wananchi wasiambiwe ubaya wa Jk na magamba wake? Hata kama chadema wangezibwa midomo Mawe yangesema.

ni uchu wa madaraka hakuna lolote.

Nitawapinga magwanda kwa nguvu zangu zote.
 
ni uchu wa madaraka hakuna lolote.

Nitawapinga magwanda kwa nguvu zangu zote.
Kama ndiyo kazi uliyojichagulia pole sana kwa sababu huo msalaba ni mzito, Mzee wangu.
 
Leo Clouds Fm imeleta shangwe kwa wana cdm, maajabu.
 
Jamani 2nahitaji hbr za ukweli,EE MUNGU TWAOMBA IWE KWELI!!
 
Hii taarifa imekaaje hadi muda huu ? Huyu Mbunge ni kweli kaamua kuiangukia nuru au ni tetesi bado ?
 
karibu mbunge uokoe taifa
umekuwa mkweli kutokuwa mnafiki,
anguko kuu kwa magamba limeanza,hadi decemba watajiondoa wengi.
damu ya waliouwawa haipotei bure itawatesa wataumbuana na kuuwana wenyewe kwa wenyewe.
 
mbona tunashangilia hata majambazi yakihamia chadema.... au sio

huyu sio yule aliyewekwa ndani kwa kutishia kuua?



Mkuu hizo ni tuhuma tu, bado haijathibitika. Na kwa mgogoro alionao na viongozi wa serikali huko Mbarari, kupakaziwa na kutiwa ndani ili "kufundishwa uoga" ni mambo yanayotarajiwa!
 
Back
Top Bottom