Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,941
- 6,856
Hayatakiwi kuwepo popote. Lakini wako watakaomuiga.Hayo maandishi yangekuwa Kwa mgongoni ingependeza kidogo..
Amandla...
Hayatakiwi kuwepo popote. Lakini wako watakaomuiga.Hayo maandishi yangekuwa Kwa mgongoni ingependeza kidogo..
Kuita msaada ushamba huo ni ushambaHuo ni ushamba huo ni.....
Hii ni rushwa!Mheshimiwa Mbunge kulikuwa na haja gani ya kuweka muhuri mkubwa hivyo?
Nadhani hata usingeandika chochote wananchi wangekumbuka mchango wako...
HIZI NDO KAZI ZA MBUNGE?Mheshimiwa Mbunge kulikuwa na haja gani ya kuweka muhuri mkubwa hivyo?
Nadhani hata usingeandika chochote wananchi wangekumbuka mchango wako
Kuweka hilo bango kwa sisi wengine ni fedheha, sawa tu na wale wanaotujengea matundu mawili ya choo na wanaandika kibao 'Donated by.....'
Gharama za kuweka huo muhuri ungeweza kuongeza mashati kadhaa.
Haya mashati yamenichekesha hasaaHivi mashati ya shule kwa shule za serikali si yanatakiwa kuwa meupe full bila maandishi yoyote isipokua nembo ya shule tu (sio lazima) size ya mfuko wa shati hilo,hili la msaada limepiteza sifa ya kuwa shati la shule,Mimi ningekua afisa elimu au mkuu wa shule nisingeruhusu hayo mashati kuvaliwa kama sarw ya shule.
Yangewekwa nembo mgongoni ingependeza zaidi,,
Labda madarasa ya shule atahamishia kwenye hiyo ofisi yakeMheshimiwa Mbunge kulikuwa na haja gani ya kuweka muhuri mkubwa hivyo?
Nadhani hata usingeandika chochote wananchi wangekumbuka mchango wako
Kuweka hilo bango kwa sisi wengine ni fedheha, sawa tu na wale wanaotujengea matundu mawili ya choo na wanaandika kibao 'Donated by.....'
Gharama za kuweka huo muhuri ungeweza kuongeza mashati kadhaa.