Wanaona aibu kuvaa hizo shati itakuwa siyo level yao watavaa za level zao, huko Igunga nikijijini hata nguo wanazovaa wanakijiji wengi ni old fashion Sasa asipochafua hivyo u aweza kukuta Hilo shati kalivaa mzazi au limevaliwa na jamii inayojiweza, Mimi nampongeza Ila Nampa ushauri yagongwe nyuma ya shati ili watoto wa wavae nguo safi na walafi wa nguo za misaada wakae pembeni.