Tetesi: Mbunge Shangazi ana ubia na Kampuni ya DP World

Kama kuna Hila utapeli na kweli Hapo na mambo Kama hayo Basi Mwenyezi Mungu Ingilia Kati ili!

Zaburi 109:8-16
8Siku za maisha yake ziwe chache,
mtu mwingine na achukue kazi yake!

9Watoto wake wawe yatima,
na mke wake awe mjane!

10Watoto wake watangetange na kuombaomba;
wafukuzwe katika magofu ya nyumba zao!

11Anayemdai kitu amnyanganye mali yake yote;

na wageni wanyakue mapato ya jasho lake!

12Pasiwe na mtu wa kumwonea huruma,
au Kuwatunza watoto wake yatima!

13Wazawa wake wote wafe;
jina lake lisahauliwe katika kizazi kijacho!

14Mwenyezi-Mungu aukumbuke uovu wa wazee wake,
dhambi za mama yake zisifutwe kamwe!

15Mwenyezi-Mungu azikumbuke dhambi zao daima;
lakini wao wenyewe wasahauliwe duniani.

16Mwovu huyo hakujali kabisa kuwa na huruma,
ila aliwadhulumu maskini na fukara,
kadhalika na watu wanyonge mpaka kifo

Watu wote Waseme AMINA

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Sijui uko wapi. Wewe unajua ulipo ?
Najuwa 👇🏾

 
MBUNGE, Rashid Shangazi anatajwa kuwa ndiye Dalali wa Kampuni ya DP World inayotaka kuuziwa bandari zote Tanzania isipokuwa za Zanzibar tu, Shangazi alianza kuipigia debe na baadaye kuwaleta nchini na kukamilisha hiyo dili ambalo limezua mgogoro mkubwa Tanzania.

Ushahidi wa ni SWALI NA 58 LA TAREHE 4 NOVEMBA, 2022 ambapo kwa mujibu wa Tovuti ya Bunge, Mbunge huyo aliuliza

"58. MHESHIMIWA RASHID ABDALLAH SHANGAZI (MLALO) :Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi: Je, ni lini utekelezaji wa Mkataba wa Kibiashara kati ya Serikali na Kampuni ya Dubai World utaanza"
Serikali kupitia Naibu Waziri wa Ujenzi( ATUPELE MWAKIBETE ALIJIBU NAKUU)

United Republic of Tanzania


Primary Questions
MHE. RASHID A. SHANGAZI aliuliza: -

Je, ni lini utekelezaji wa Mkataba wa kibiashara kati ya Serikali na Kampuni ya Dubai World utaanza?

Answer

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI (MHE. ATUPELE F. MWAKIBETE) alijibu: -

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Rashid Abdallah Shangazi, Mbunge wa Mlalo, kama ifuatavyo: -

Mheshimiwa Spika, mwezi Februari 2022 Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), ilisaini Hati ya Makubaliano (MoU) na Kampuni ya Dubai Port World (DP-World) ya Umoja wa Falme za Kiarabu, kuhusu uwekezaji katika maeneo ya bandari nchini. Aidha, tarehe 25 Oktoba, 2022 Serikali ilisaini makubaliano na Serikali ya Dubai (Inter-Governmental Agreement - IGA).

Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa mkataba wa kibiashara unakwenda katika hatua mbalimbali. Hatua ya kwanza ni mkataba kati ya nchi na nchi (Intergovernmental Agreement - IGA) ambao tayari umesainiwa. Mkataba huo unaweka msingi wa Serikali za pande mbili kuanza majadiliano kuhusu maeneo ya uwekezaji.

Baada ya kusainiwa kwa mkataba huo, majadiliano yataendelea kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi ili kuhakikisha kwamba uwekezaji huo unakuwa na tija kwa nchi. Matarajio ya Serikali ni kuwa majadiliano hayo yatafikia tamati mwishoni mwa mwezi Desemba, 2022.

Mwisho wa Kunukuu.

Hivyo basi Watanzania tusimtafute mchawi wa suala hili kwani aliyeileta kampuni hii na kuipenyeza serikalini ni Mhe. Shangazi ambaye ni Katibu wa Wabunge wa CCM ambaye ametumia ushawishi wake alionao ndani ya Chama na Serikali kuileta kampuni hii na kumchafua Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Mbunge Shangazi ni Mbunge wa Mkoa wa Tanga amepigia debe ili bandari zote ziuzwe kwa kampuni hiyo ambayo inasemekana yeye wadau wake wamepewa donge nono kuhakikisha kampuni hiyo inanunua bandari zote na kuendesha kwa miaka isiyojulikana.

View attachment 2649962
Rashid Shangazi- Mbunge wa Mlalo
Unasema ili kumchafua Samia? Kwamba yeye hana akili? Why alikubali? Watanzania wengi wenu ni wanyama.
 
Unasema ili kumchafua Samia? Kwamba yeye hana akili? Why alikubali? Watanzania wengi wenu ni wanyama.
 
Kuna ubaya gani kuileta kampuni ya DPworld Tanganyika?

Mkataba ufanyiwe marekebisho.

Hii ni Dubai 1960 bandari yao ilikuwa ya Mitumbwi na Majahazi wakati huo sisi tulikuwa tumeachiwa Bandari kubwa na Mkoloni
d1c87fa70fad7baf560c59743f79a26d.jpg
 
MBUNGE, Rashid Shangazi anatajwa kuwa ndiye Dalali wa Kampuni ya DP World inayotaka kuuziwa bandari zote Tanzania isipokuwa za Zanzibar tu, Shangazi alianza kuipigia debe na baadaye kuwaleta nchini na kukamilisha hiyo dili ambalo limezua mgogoro mkubwa Tanzania.

Ushahidi wa ni SWALI NA 58 LA TAREHE 4 NOVEMBA, 2022 ambapo kwa mujibu wa Tovuti ya Bunge, Mbunge huyo aliuliza

"58. MHESHIMIWA RASHID ABDALLAH SHANGAZI (MLALO) :Atamuuliza Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi: Je, ni lini utekelezaji wa Mkataba wa Kibiashara kati ya Serikali na Kampuni ya Dubai World utaanza"
Serikali kupitia Naibu Waziri wa Ujenzi( ATUPELE MWAKIBETE ALIJIBU NAKUU)

United Republic of Tanzania


Primary Questions
MHE. RASHID A. SHANGAZI aliuliza: -

Je, ni lini utekelezaji wa Mkataba wa kibiashara kati ya Serikali na Kampuni ya Dubai World utaanza?

Answer

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI (MHE. ATUPELE F. MWAKIBETE) alijibu: -

Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Rashid Abdallah Shangazi, Mbunge wa Mlalo, kama ifuatavyo: -

Mheshimiwa Spika, mwezi Februari 2022 Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), ilisaini Hati ya Makubaliano (MoU) na Kampuni ya Dubai Port World (DP-World) ya Umoja wa Falme za Kiarabu, kuhusu uwekezaji katika maeneo ya bandari nchini. Aidha, tarehe 25 Oktoba, 2022 Serikali ilisaini makubaliano na Serikali ya Dubai (Inter-Governmental Agreement - IGA).

Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa mkataba wa kibiashara unakwenda katika hatua mbalimbali. Hatua ya kwanza ni mkataba kati ya nchi na nchi (Intergovernmental Agreement - IGA) ambao tayari umesainiwa. Mkataba huo unaweka msingi wa Serikali za pande mbili kuanza majadiliano kuhusu maeneo ya uwekezaji.

Baada ya kusainiwa kwa mkataba huo, majadiliano yataendelea kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi ili kuhakikisha kwamba uwekezaji huo unakuwa na tija kwa nchi. Matarajio ya Serikali ni kuwa majadiliano hayo yatafikia tamati mwishoni mwa mwezi Desemba, 2022.

Mwisho wa Kunukuu.

Hivyo basi Watanzania tusimtafute mchawi wa suala hili kwani aliyeileta kampuni hii na kuipenyeza serikalini ni Mhe. Shangazi ambaye ni Katibu wa Wabunge wa CCM ambaye ametumia ushawishi wake alionao ndani ya Chama na Serikali kuileta kampuni hii na kumchafua Rais wetu Samia Suluhu Hassan.

Mbunge Shangazi ni Mbunge wa Mkoa wa Tanga amepigia debe ili bandari zote ziuzwe kwa kampuni hiyo ambayo inasemekana yeye wadau wake wamepewa donge nono kuhakikisha kampuni hiyo inanunua bandari zote na kuendesha kwa miaka isiyojulikana.

View attachment 2649962
Rashid Shangazi- Mbunge wa Mlalo
Baada ya JPM kuondoka Kingmakers wote washajikusanya + Deal Makers; na ni kweli ni ubunifu wa hali ya juu, maana Bandari ni moneymaker; kashelf company kameanzishwa Mauritius hao wote wamepata Share zao watakula mgao milele - SASA ndiyo mtajua yule bwana alikuwa katili kwa nini!!
 
Back
Top Bottom