Watu wa X, Chadema na watanzania wengine wanamlaumu sana Thobias Mwesiga Kwa matendo yake ya kihalifu. Hii ndo biography ya Thobias Mwesiga.
Huyu bwana alizaliwa katika kitongoji Cha Nyarubanja, Kijiji Rukurungo,kata Bugandika ,wilaya ya Missenyi.
Amesoma shule ya msingi Kababala, na Chuo...