Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Huyu mama yuko UK sasa mwaka wa Pili anasoma pale Westminster. Lakini cha ajabu hatumuoni kwenye misiba wala magonjwa lakini anaonekana sana kwenye mikutano ya kufungua matawi ya CCM uingereza nzima.
Swali ninalojiuliza ni je anasoma saa ngapi na saa ngapi anakuwa yuko kwenye shughuli alizochaguliwa kufanya?
Maana Sumaye alipokuwa ansoma kule HARVARD huyu mama alikuwa haishiwi vijitripu vya kwenda kule Cambridge. Nimepata nafasi kadhaa kuongea naye kwa karibu lakini naweza kusema kuwa sijui alikuwa na sifa zipi mpaka JK akampa huo ubunge wa kuteuliwa
Uwanja wenu wana JF
Ukiteuliwa na Muadilifu utakuwa muadilifu, ukiteuliwa na fisadi utakuwa nawe fisadi, ukiteuliwa na Mtalii nawe utakuwa mtalii, nafikiri umenipata