Waziri Kombo: Kote tulikokwenda nimeulizwa, "Kwanini hamkuja mapema? Tumedanganywa sisi, taarifa tulizoletewa siyo alizoandika Samia"

Waziri Kombo: Kote tulikokwenda nimeulizwa, "Kwanini hamkuja mapema? Tumedanganywa sisi, taarifa tulizoletewa siyo alizoandika Samia"

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,958
Reaction score
8,130
Hivi Kombo anatuchukulia sisi watani zake eeeeh? :BearLaugh::BearLaugh: Halafu hapo hapo anakwambia tumewaalika Maseneta waje wahakikishe kama hatuuani kidini! Sasa kama walielewa somo kwanini mmewaalika?

Halafu hivi Maseneta walisema nchini kuna vita ya kidini? Serikali kuambiwa mnakandimiza uhuru wa kuabudu ambao tulishuhudia kwa Gwajima na waumini wake kila siku kunyanyaswa, yule kaka mwimba injili Mwanza mpaka leo hajulikani alipo, ndio mseme maseneti walisema tunachinja wenyewe kwa wenyewe sababu ya imani zetu? Masheikh nao wakaingia mzima mzima, japo siwashangai sana maana wao ni kasuku... lakini mnafikiri wananchi ni wajinga kiasi hiki? Eti guys Dr. Mwigulu Nchemba

Screenshot 2026-05-28 194958.png
Screenshot 2026-05-28 195051.png
Screenshot 2026-05-28 195213.png
Screenshot 2026-05-28 195233.png

Alipowasilisha hotuba ya Wizara ya Mambo ya Nje na kupata michango kutoka kwa wabunge, Kombo alisema.....

Baada ya kuapishwa mheshimiwa Rais na baada ya kututeua akanikabidhi barua 25 ambazo mimi nimekwenda nazo duniani kueleza nini kilichotokea Tanzania.

Kote nilikokwenda mimi duniani nimeulizwa, "Kwa nini hamkuja mapema?" Nikajibu tulikuwa kwenye uchaguzi. "Kwa nini hamkuja mapema?" Rais wetu alikuwa hajaapishwa. "Kwa nini mlikuwa hamkuja mapema?" Serikali ilikuwa haijaundwa na mawaziri bado hawajachaguliwa.

Lakini kote nilivyokwenda wakasema, "Tumedanganywa sisi. Taarifa tulizoletewa siyo hizi alizoandika Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kalamu yake na amesign kwa wino wake." Kuanzia siku hiyo Tanzania ilibadilika na wakatukubalia, mpaka Papa, mkuu wa madhehebu ya Katoliki duniani. Mimi ndiyo niliyotumwa kwenda. Mheshimiwa Palamagamba Aidan Kabudi tulikwenda naye pamoja, yuko wapi?

Nilimweka yeye kiongozi kwa sababu yeye mavitabu yale ya historia na vitu yale anayajua zaidi yale. Na yeye huwa anabeba mafaili huku na huku. Akianza kumsimulia Mwalimu Nyerere na 1961 alionekana yeye anajua zaidi, maana mimi 1961 hata kuzaliwa sijaizaliwa, wala mama yangu hawajaoana bado.

Yeye alionekana, na kufika kule akampa Papa vitu vyake na Papa akatupa vitu vyake. Tukarudi hapa kwa mafanikio yameisha mpaka leo. Sasa leo nchi yetu iko calm, iko cool, kila mmoja anakwenda kazini, kila mmoja anakwenda kutekeleza majukumu yake, ya nini chochoko jamani? Ya nini tunataka kurudi kwenye chokochoko?...



 
Hivi Kombo anatuchukulia sisi watani zake eeeeh? :BearLaugh::BearLaugh: Halafu hapo hapo anakwambia tumewaalika Maseneta waje wahakikishe kama hatuuani kidini! Sasa kama walielewa somo kwanini mmewaalika?

Halafu hivi Maseneta walisema nchini kuna vita ya kidini? Serikali kuambiwa mnakandimiza uhuru wa kuabudu ambao tulishuhudia kwa Gwajima na waumini wake kila siku kunyanyaswa, yule kaka mwimba injili Mwanza mpaka leo hajulikani alipo, ndio mseme maseneti walisema tunachinja wenyewe kwa wenyewe sababu ya imani zetu? Masheikh nao wakaingia mzima mzima, japo siwashangai sana maana wao ni kasuku... lakini mnafikiri wananchi ni wajinga kiasi hiki? Eti guys Dr. Mwigulu Nchemba


Alipowasilisha hotuba ya Wizara ya Mambo ya Nje na kupata michango kutoka kwa wabunge, Kombo alisema.....

Baada ya kuapishwa mheshimiwa Rais na baada ya kututeua akanikabidhi barua 25 ambazo mimi nimekwenda nazo duniani kueleza nini kilichotokea Tanzania.

Kote nilikokwenda mimi duniani nimeulizwa, "Kwa nini hamkuja mapema?" Nikajibu tulikuwa kwenye uchaguzi. "Kwa nini hamkuja mapema?" Rais wetu alikuwa hajaapishwa. "Kwa nini mlikuwa hamkuja mapema?" Serikali ilikuwa haijaundwa na mawaziri bado hawajachaguliwa.

Lakini kote nilivyokwenda wakasema, "Tumedanganywa sisi. Taarifa tulizoletewa siyo hizi alizoandika Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kalamu yake na amesign kwa wino wake." Kuanzia siku hiyo Tanzania ilibadilika na wakatukubalia, mpaka Papa, mkuu wa madhehebu ya Katoliki duniani. Mimi ndiyo niliyotumwa kwenda. Mheshimiwa Palamagamba Aidan Kabudi tulikwenda naye pamoja, yuko wapi?

Nilimweka yeye kiongozi kwa sababu yeye mavitabu yale ya historia na vitu yale anayajua zaidi yale. Na yeye huwa anabeba mafaili huku na huku. Akianza kumsimulia Mwalimu Nyerere na 1961 alionekana yeye anajua zaidi, maana mimi 1961 hata kuzaliwa sijaizaliwa, wala mama yangu hawajaoana bado.

Yeye alionekana, na kufika kule akampa Papa vitu vyake na Papa akatupa vitu vyake. Tukarudi hapa kwa mafanikio yameisha mpaka leo. Sasa leo nchi yetu iko calm, iko cool, kila mmoja anakwenda kazini, kila mmoja anakwenda kutekeleza majukumu yake, ya nini chochoko jamani? Ya nini tunataka kurudi kwenye chokochoko?...


upotoshaji team is back on air right?🐒

ila waziri wa mambo ya nje Tanzania kwakweli tunae, sidhani kama kuna anaebisha kuhusu jembe hili 🐒
 
Yaani hadi mnakataa maneno yenu mnasema upotoshaji, mmebanwa pabaya hivi? :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh:
unabanwa wapi kwa mfano na mfuata mkumbo lofa tu 🤣

waziri Kombo is very clear, even if utamlisha maneno mbofumbofu na useless kujaribu kupindisha ukweli mtupu ambao anauhubiri waziri,

in fact,
upotoshaji wote mnaojaribu kufanya humu jukwaani na kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ni mwepesi mno, ambao umefanya wananchi wengi kuupuuza on the spot 🐒
 
unabanwa wapi kwa mfano na mfuata mkumbo lofa tu 🤣

waziri Kombo is very clear, even if utamlisha maneno mbofumbofu na useless kujaribu kupindisha ukweli mtupu ambao anauhubiri waziri,

in fact,
upotoshaji wote mnaojaribu kufanya humu jukwaani na kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ni mwepesi mno, ambao umefanya wananchi wengi kuupuuza on the spot 🐒
Clever indeed, mpaka kaja kujieleza kwa 'Malofa', na bado. Tulieni vizuri dawa iingie:BearLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:
 
Hivi Kombo anatuchukulia sisi watani zake eeeeh? :BearLaugh::BearLaugh: Halafu hapo hapo anakwambia tumewaalika Maseneta waje wahakikishe kama hatuuani kidini! Sasa kama walielewa somo kwanini mmewaalika?

Halafu hivi Maseneta walisema nchini kuna vita ya kidini? Serikali kuambiwa mnakandimiza uhuru wa kuabudu ambao tulishuhudia kwa Gwajima na waumini wake kila siku kunyanyaswa, yule kaka mwimba injili Mwanza mpaka leo hajulikani alipo, ndio mseme maseneti walisema tunachinja wenyewe kwa wenyewe sababu ya imani zetu? Masheikh nao wakaingia mzima mzima, japo siwashangai sana maana wao ni kasuku... lakini mnafikiri wananchi ni wajinga kiasi hiki? Eti guys Dr. Mwigulu Nchemba


Alipowasilisha hotuba ya Wizara ya Mambo ya Nje na kupata michango kutoka kwa wabunge, Kombo alisema.....

Baada ya kuapishwa mheshimiwa Rais na baada ya kututeua akanikabidhi barua 25 ambazo mimi nimekwenda nazo duniani kueleza nini kilichotokea Tanzania.

Kote nilikokwenda mimi duniani nimeulizwa, "Kwa nini hamkuja mapema?" Nikajibu tulikuwa kwenye uchaguzi. "Kwa nini hamkuja mapema?" Rais wetu alikuwa hajaapishwa. "Kwa nini mlikuwa hamkuja mapema?" Serikali ilikuwa haijaundwa na mawaziri bado hawajachaguliwa.

Lakini kote nilivyokwenda wakasema, "Tumedanganywa sisi. Taarifa tulizoletewa siyo hizi alizoandika Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kalamu yake na amesign kwa wino wake." Kuanzia siku hiyo Tanzania ilibadilika na wakatukubalia, mpaka Papa, mkuu wa madhehebu ya Katoliki duniani. Mimi ndiyo niliyotumwa kwenda. Mheshimiwa Palamagamba Aidan Kabudi tulikwenda naye pamoja, yuko wapi?

Nilimweka yeye kiongozi kwa sababu yeye mavitabu yale ya historia na vitu yale anayajua zaidi yale. Na yeye huwa anabeba mafaili huku na huku. Akianza kumsimulia Mwalimu Nyerere na 1961 alionekana yeye anajua zaidi, maana mimi 1961 hata kuzaliwa sijaizaliwa, wala mama yangu hawajaoana bado.

Yeye alionekana, na kufika kule akampa Papa vitu vyake na Papa akatupa vitu vyake. Tukarudi hapa kwa mafanikio yameisha mpaka leo. Sasa leo nchi yetu iko calm, iko cool, kila mmoja anakwenda kazini, kila mmoja anakwenda kutekeleza majukumu yake, ya nini chochoko jamani? Ya nini tunataka kurudi kwenye chokochoko?...


Hivi kwa nini Zanzibar kuna walaghai wengi?

Sijasema hata sithubutu kusema wote ni walaghai; ila kundi hili linalotafuta kuwatawala waTanganyika kwa nguvu na kumwaga damu wanaitwisha mzigo mkubwa Zanzibar yote.

Huyu Kombo ni msirika wa karibu sana katika maovu yanayofanywa na Samia Suluhu Hassan.
Ni wakati wa kuanza kumtazama kwa jicho makini sana mtu huyu
 
Hivi Kombo anatuchukulia sisi watani zake eeeeh? :BearLaugh::BearLaugh: Halafu hapo hapo anakwambia tumewaalika Maseneta waje wahakikishe kama hatuuani kidini! Sasa kama walielewa somo kwanini mmewaalika?
Ajieleze kwanza zile dola 45,000 kila mwezi wanazowalipa kile kikampuni kinacholobby hao hao maseneta ni za kazi gani hizo

Hicho kikampuni kimeshindwa kazi sasa anakuja na ulaghai kama huu?

Aeleze Papa alielewa nini kwenye hizo barua walizoandiikiwa

Huo ukweli wa mauaji, mbona sisi wahusika hatuelezwi nasi tuelewe kama hizo nchi 25.

Hizo habari walizodanganywa; ni nani huyo mwenye uwezo wa kudanganya kirahisi namna hiyo.

Mbona yeye anashindwa kuwadanganya waTanzania hapa hapa; na badala yake wanaona uongo mtupu kila neno linalotoka mdomoni kwake.
 
Ukimtizama vizuri Kombo shape ya kichwa chake ile sehemu ya ubongo ni ndogo kweli. Yeye na Chalamila, vichwa vimejaa taya na mdomo.

Si ajabu wanaongea pumba muda mwingi, kichwani ubongo kiduchu.
 
Back
Top Bottom