Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Mungu ndio mwenye hizo hela?
Wanachukua chao mapema maana mama h a. ....ta. bi. . ri. ki
Mungu ndio mwenye hizo hela?
Wanachukua chao mapema maana mama h a. ....ta. bi. . ri. ki
Awekwe ndaniKamkwepa Musukuma..kwamba tuhuma anazijua Mungu,sasa nani afike huko?
Anayetaka kupata hela bila shida kama anauwezo wa ushawishi akashawishi aletwe Tanga.Hivi usimamizi wa pesa nchi hii ukoje mbona pesa zinaliwa na kupotea hovyo? Takukuru tunaomba hizi pesa zirudi na waliotoa pesa kwa Mkuu wa Mkoa ilikuaje kuaje sasa
Msukuma alichaguliwa kwa kura halali??Msukuma yupo sahihi hili kundi la hawa wateule wapigaji walikua wengi mno yaani wakuu wa mikoa walikua na nguvu hatari...
Mama kavaa taji la Pili,tungojee ....Awekwe ndani huyo Mungu wake anayetetea wizi akamtoe kama bado anaishi
Awekwe ndani
Sio kutumbuatu bali pia akahifadhiwe na Takukuru kama huko Geita ipoHili sio jibu..kama hana maelezo mama atumbue huyu.
Lila mara nimekuwa nikisema hapo Jf, RC Geita, RC njombe, RC mbeya, RC tanga, ni watu hatari sana kwa uchumi wa nchi yetu. Na waliiba sana kipindi cha mwendazake.wakimsifia na kuibaMhe. Musukuma is 100% right. Miradi inatakiwa kutekelezwa na Halmashauri sheria gani inamruhusu RC kuingilia maamuzi ya Halmashauri?.
Ila King Msukuma ana akili mda mwingine
RC Tanga nichamtoto, mkurugenzi ndio baba lao kwa wizi , rushwa na ngono juu kwenye halmashauri.Lila mara nimekuwa nikisema hapo Jf, RC Geita, RC njombe, RC mbeya, RC tanga, ni watu hatari sana kwa uchumi wa nchi yetu. Na waliiba sana kipindi cha mwendazake.wakimsifia na kuiba
Anadaiwa mpaka hoteli, Msukuma bana ni kiboko! 😀Ni tapeli sugu anadaiwa kila kona,ukifanya nae biashara ukae kwa tahadhari
Tapeli wa aina yake,ndio tabia za wanaccmAnadaiwa mpaka hoteli, Msukuma bana ni kiboko!
Wafu huzika wafuAmemtuhumu RC wa Geita kwa kutafuta milioni 600.
Amelaani mamlaka aliyopewa RC kuamua matumizi ya fedha za Halmashauri.
Msikilizeni Musukuma kuanzia dakika ya 3:36 ktk video hapo chini.
Mbunge adai RC Geita kutafuna Mil. 600/-
Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma, amesema Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel, akishirikiana na timu ya mkoa huo wamepata zaidi ya Shs Mil. 600/- kutoka katika fungu la fedha za Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) zinazotolewa na mgodi wa dhahabu wa Geita.www.ippmedia.com