Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 673
- 859
RC na DED wa Tanga ni kutoka kanda ile ya maji baridi basi ndio watu hawapumui maana ni ndugu na iliyokua mamlaka ya uteuziMsukuma yupo sahihi hili kundi la hawa wateule wapigaji walikua wengi mno yaani wakuu wa mikoa walikua na nguvu hatari...